mwanamke

  1. yuda75

    Kwanini Mwanaume ukilala na Mwanamke usipompa hela baada ya tendo anakudharau sana?

    Utamaduni wa wenzetu walioendelea huwa mtu akitoka out na mpenziwe mwanamke ndiye anaclear bill lakini kwa nchi zetu za kibongo ukimtoa mwanamke out atafanya kukukomoa aagize vitu vya gharama balaa isitoshe zaidi watoto wa chuo hakawii kubeba marafiki zake wa kutosha. Sasa ukija swala la kudo...
  2. JOESKY

    Natafuta mwanamke wa kuoa

    Habari zenu wanajukwaa? Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nipo Dodoma mjini. Nina shahada ya kwanza ya ualimu ila sijabahatika kuajiriwa. Natafuta mwanamke wa kuishi naye maisha ya ndoa awe ni mcha Mungu na awe na miaka kati ya 24 na 30. Mwanamke mwenye mtoto mmoja anatakiwa awe na kazi...
  3. J

    Nahitaji mwanamke asiyezaa

    Kama wewe ni mwanamke mgumba umri 18 - 30, basi mie nilikuwa nakutafuta wewe! Kiufupi ni kwamba nataka kuoa ila sina mpango wowote wa kuwa na mtoto (yaani mpango wowote). Kwa minajili hiyo basi mwanamke anaenifaa zaidi mie ni mwanamke mgumba ili tujenge maisha pamoja. Niweke angalizo: 1...
  4. R

    Hakuna kitu naogopa kama kumgharamikia Mwanamke vitu vya gharama

    Habari za Jumapili wana JamiiForums km kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mimi hakuna kitu naogopa kama kumgharamia mwanamke vitu ghali Kuna mwaka mmoja niliwah kutana na msichana mmoja jina kapunj huyu dada alikuwa bikra kabisa na niliitoa mm sasa siunajua maneno ya mtaan oooh bikra...
  5. babu M

    Dkt. Kizzmekia Shanta Corbett mwanamke mweusi aliyeusika katika ufumbuzi wa chanjo ya Covid 19!!

    Dr. Kizzmekia "Kizzy" Shanta Corbett ni Viral immunologist katika National Institute of Allergy and Infectious Diseases, National Institutes of Health (NIAID NIH) based in Maryland - USA. Ni scientific lead of the VRC's Coronavirus Team. Mchango wake na team yake ulikuwa kwenye SARS-CoV-2...
  6. FredMaria

    Mwanamke anayeingia hedhi kila ifikapo tar 21(haibadiliki), mzunguko wake ni wa siku ngapi?

    Habari watu wa JF Kama mada vile inasema, napata utata Sana kujua Mzunguko wa siku za mwenzangu baadhi ya watu niliokwisha uliza wanakuwa wakisema Mzunguko wake uko na siku 28 mwingine vile akisema uko na siku 31. Sasa nakua dilemma which is which. Pia katika kupitia siku hizo za Mzunguko wa...
  7. Amydiz

    Je, mwanamke anayo haki ya kudai fidia kwa kuvunjwa kwa ahadi ya ndoa?

    Kwa mujibu wa kifungu namba 69 cha sheria ya ndoa, mwanamke anaweza fungua kesi ya fidia dhidi ya mwanaume aliyevunja ahadi ya ndoa dhidi yake.
  8. R

    Ni mambo gani yanadhihirisha utayari wa mwanamke kuingia katika mahusiano ya ndoa/ mapenzi?

    Habari za mchana wakuu wa MMU. Natumai mpo salama na mnaendelea vyema kabisa na majukumu ya hapa na pale. Lengo kubwa la uzi huu ni kutaka kujua ni ishara gani au ni vitu gani vinadhihirisha kwamba mwanamke yupo tayari kuingia katika mahusiano ya kimapenzi/ndoa. Nimeuliza hivyo kwa sababu kila...
  9. AbuuMaryam

    Mwanaume ndio chanzo cha kuharibika jamii, mwanamke ni matokeo tu hivyo asilaumiwe

    Wanaume wenzangu. Siri ya mafanikio ya kuitunza ndoa yako ni ule UANAUME uliopo ndani yako. Wanawake huwa wanapenda mwanaume ambaye ni MWANAUME kweli kweli ndani mpaka nje. Kuna wakati anaweza kukuomba idhini ya jambo ili kukupima tu je utamkubalia au kumkatalia. Kumkatalia mwanamke kwenye...
  10. Red Giant

    Nasikia watu wa Mtwara mwanamke anaweza kumfukuza mwanaume nyumbani

    Bibi yangu alisomaga huko masasi miaka hiyo. Sasa alinisimulia kuwa wakiwa vijijini siku moja wakakuta mdingi amebeba vitu kama anahama. Walipomuuliza akawajibu kuwa mama yenu kanifukuza. Ni kweli hizi ishu zipo? Maana najua kuna ishu za matrinia na patrinia lakini nilikuwa naona kama hadithi tu.
  11. Namora

    Huyu mwanamke atanitoa roho

    Maishani mwangu sikua naamini katika mapenzi kabisa, then nikakutana na huyu mwanamke aliyenibadirisha maisha na fikra zangu. Nampenda kutoka ndani ya moyo, shida huyu mwanamke jamani ananitesa sana. Hali yangu mbaya kuna muda nakaa naona kuna kitu kimepungua then nakumbuka ni yeye naumia moyo...
  12. King Loto

    Nampenda lakini ana tabia za uswahili uliopitiliza. Nifanye nini kumbadilisha?

    Hey! Wakuu wajukwaa hili naamini bado hamjakata tamaa kwenye lolote na bado mapambano mpaka dakika ya 90. Basi wakuu katika pitapita nikakutana na mtoto mmoja kaloweya Dodoma, sema kwao Handeni, malezi yake kapewa na mama wote wazigua, mtoto anaitwa Hamida, anyway nisitoe utambulisho wote...
  13. A

    Sijisikii vizuri lakini nimepima sina UKIMWI

    Naombeni ushauri Maana toka nimefanya mapenzi na huyo mwanamke nimekua nikiugua ugua tu nishaenda kupima nikakutwa Niko vizuri sijajua shida ninini?
  14. Waziri wa Kaskazini

    Hivi kuna mwanaume mwenye elimu yake anayeweza kuoa mwanamke ambaye hajasoma?

    Mambo mengi mda mchache... Naombeni kuuliza hivi mwanaume ambaye mwenye elimu ya u Dkt. Engineering, Prof. akaoa mwanamke ambaye hana elimu yoyote yaani hajaenda shule hata kaenda alifeli darasa la nne na kurudi zake nyumbani huyu mwanaume yupo? Na je watoto watakuja kurithi akili za baba yao...
  15. chawa wa mama

    Je, ni sahihi kwa Mwanamke kupiga picha na rafiki wa mume na kuzitunza katika simu yake?

    Naomba msaada wa mawazo wakuu, Mama Ngina wangu nikiwa niko safari, kukawa na hafla huku nyuma ya jirani yetu. Nimekuta wife kapiga picha akiwa pamoja na rafiki yangu na mwanangu mdogo. Ni picha zaidi ya kumi, ila ajabu hana hata picha yangu kwenye simu yake. Hapa niko chumbani nazikagua na...
  16. Mkogoti

    Kwenye maisha yangu sitokuja kumsahau yule Mwanamke

    Nipo naongea kwa uchungu sana Wana JF naona Mahusiano kwangu hayana Maana tena, Nimeumia Wanawake sio watu kabisa anaweza kukufanya ukaijutia siku yako nzima? Na ukakosa raha kabisa, Nasema kuanzia leo sitakuwa sehemu na Mwanamke, story ipo hivi Nilikutana jana na Mwanamke kwenye sherehe...
  17. E

    Nitumie mbinu zipi ili nioe mwanamke wa kiarabu?

    Habarini za pilikapilika wakubwa, Jana usiku nikiwa nimetulia zangu chumbani nilijikuta naingiwa na wazo la kutafuta mwanamke wa kuoa. Wazo hili lilinijia ghafura sana mara baada ya kuona sasa umri umekwenda kwa hivyo mimi kama kijana sasa ni vyema nikajipatia mke sasa kisha nianzishe familia...
  18. S

    💃Mwanamke dawa nashuhudia 🏝

    1. Ni siku ya tatu leo. Nipo hoi kitandani Natweta sijitambui. HAKIKA mwanamke ameniponya.🦚 2. Tumbo limenitesa, Tumbo limekatakata Nimekwenda NENDA nenda rudi, mbio bila mshindani.🏃🏾‍♂️ 3. Muziki mkali ulipigwa, Huo bila ya nota, Nikifumba macho Kwa maumivu tele, Lakini mwanamke dawa. Mchana...
  19. yuda75

    Kati ya Mwanaume na Mwanamke nani akifumania anaumia zaidi?

    Hebu tuwe wakweli jamani mana nasikia watu wanakunywa hadi sumu maana nasikia wanaume wanaumia sana hadi wanakonda ila dada zetu wala hawaumi sana na haswa akiwa mzuri Kwani sijawahi sikia mwanamke kumuuwa mumewe kwa wivu wa mapenzi ila mwanaume ndio wanauwa tena kinyama
  20. mwanamwana

    Kumbe Harmonize joka la kibisa! Mkewe aanika wazi kuwa hana uwezo wa kumpa mwanamke mimba

    ''Kukubali mtoto ambaye unajua kuwa siyo wako kisa huna uwezo wa kutunga mimba, Huo ni ''USHAMBA'' Msanii Harmonize kutoka Konde Gang siku ya jana alimtambulisha mwanaye wa kike ambaye anadai kumficha kwa takriban miezi 19. Harmonize amedai kuficha mtoto huyo ili kulinda mahusiano yake na...
Back
Top Bottom