Yoweri Kaguta Museveni (pronunciation ; born 15 September 1944) is a Ugandan politician who has been President of Uganda since 1986. Museveni was involved in rebellions that toppled notorious Ugandan leaders Idi Amin (1971–79) and Milton Obote (1980–85) before capturing power in the 80s. In the mid to late 1990s, Museveni was celebrated by the West as part of a new generation of African leaders. During Museveni's presidency, Uganda has experienced relative peace and significant success in battling HIV/AIDS. At the same time, Uganda remains a country suffering from high levels of corruption, unemployment and poverty. Museveni's presidency has been marred by involvement in the civil war in the Democratic Republic of the Congo and other Great Lakes region conflicts; the rebellion in Northern Uganda by the Lord's Resistance Army which caused a humanitarian emergency; and the suppression of political opposition and constitutional amendments scrapping presidential term limits (2005) and the presidential age limit (2017), thus enabling the extension of his rule.
President Samia Suluhu Hassan has congratulated President-elect Yoweri Museveni on his re-election as President of the Republic of Uganda. In a message posted on X, President Samia said the victory reflects the confidence and trust Ugandans have in his leadership and vision. She reaffirmed...
Kwa afya na umri wake, hata afanyeje, kuna siku ataitwa rais wa zamani au aliyekuwa rais wa Uganda YAK.
Jitu binafsi, choyo, king'ang'anizi, na hovyo sina mfano. Kwanini mijitu mingine haina utu na inapenda madaraka kuliko utu? Hata likifia madarakani, so what? May Museveni perish!
Pamoja na mauzauza yote yanayofanywa na Yoweri Museveni kwenye uchaguzi unaoendelea huko Uganda, angalau kuna mambo anayafanya kiungwana.
Nimefuatalia vituo kadhaa vya kupigia na kuhesabu kura, nimependa staili yao ya kuhesabu kura hadharani mbele ya wapiga kura kadhaa.
Mambo ya kuhesabu kura...
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi, maarufu kama Bobi Wine, ametangaza kuwa ataitisha maandamano ya nchi nzima ikiwa Rais Yoweri Museveni ataiba kura katika uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Alhamisi ya wiki hii. Akizungumza na shirika la habari la AFP nyumbani kwake jijini...
Museveni anacheza smart kwa kumuachia mpinzani wa mchongo (sio Besigye) apige kampeni ila kwenye kutangaza mshindi atatajwa Yoweri Museveni kwa 62.9% tofauti na Malawi ambao mpaka damu imwagike Kwanza halafu uunde Tume baadae maridhiano (Feki).
NB: Game Ile Ile ila inachezwa kwa level 2 tofauti.
Ugandan President Yoweri Museveni has called on African nations to unite militarily and strategically to safeguard the continent’s security, arguing that while major powers such as the United States possess overwhelming superiority in air and naval forces, Africa could hold a significant...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Jumuiya za Ukanda wa Maziwa Makuu na Nchi Wanachama wa Mkataba wa Amani, Usalama na Ushirikiano kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na eneo la...
dkt. emmanuel nchimbi
dkt. nchimbi
emmanuel nchimbi
gani
jamhuri ya muungano
jumuiya
kabila
makamu wa rais
maziwa makuu
museveni
nchi
nchimbi
rais wa jamhuri
wewe
yoweri
yoweri museveni
Kauli ya Rais wa Uganda Yoweri Museveni kuhusu kuwapa askari risasi 120 kabla ya uchaguzi mkuu imezua hofu na ukosoaji mkubwa. Upinzani na wananchi waonya vitisho hivyo vinaweza kudhoofisha amani, demokrasia na haki.
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amekosolewa vikali kufuatia kauli yake kuhusu...
Baba yake kuwa madarakani muda mrefu na kumuweka jeshini na vyeo kwa umri aliopo na cheo chake ni kama anaishi kwa baba yake nawaza hilo.
Kejeli anazotoa kwenye mtandao X ,kudhihaki, kuleta taharuki ndani na nje ya nchi yake.
Sidhani kama mtu Rizi one angekuwa anafanya mada za ajabu akijua ana...
President Yoweri Museveni responded firmly to this assertion. In a video broadcast on Uganda Broadcasting Corporation (UBC), the national public broadcaster, Museveni addressed citizens directly, emphasizing the capabilities of the security apparatus. He stated that each security personnel is...
Mzuka Wana jamvi!
Hawa walinzi wa rais wa Uganda Yoweri Kaguta Mseven Wanafanana kama wamachinga kariako na Karume.
Wanakaa kishamba shamba tu.
Yani wakowako tu na wanasura ngumu balaa kama watu wa Mara.
Hata madalali wa bongo wako nadhif kuwaliko.
Yani hawafananii kabisa na "ubodyguard".
Askofu wa CHADEMA Mwamakula kaandika hivi kwenye ukurasa wake wa Facebook;
__________________________
GEN Z WALIOMUINGIZA MUSEVENI IKULU!
Edith (15) mmoja wa ma Gen Z wa Museveni akilinda Hospitali Kuu ya Kampala baada ya Yoweri Museveni kuukamata mji wa Kampala mwaka 1986 katika mapigano...
Wakuu
Nimeona hii video ikimuonesha Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ambaye pia ni mgombea wa wa Urais kuelekea uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Janury 2026.
Kuna wakati trump aliwa diss sana sana UN, ni namna gani wapo bias na wanafiki
Sasa ndio naelewa kwanini
This is what we call paid activism, wanafurahia pesa za mafuta hawa🚮🚮
Lisemwalo lipo na kama lipo basi linakuja ni kwamba pale ikulu ya tanzania kuna nini ambacho mpaka damu za watanzania zimemwaga kwa ubavu mkubwa.
Je vikosi vilivyoombwa na kashafa kuwa wametoka uganda walikuja kwa ajili ya mslahi ya nani?.
Tunajua mradi mkubwa wa mafuta umepita hapa na kwa...
Ni kama vile kwa mtu unaesikiliza ukitembea kwenye ardhi hii ya nchi hii, mtu anayepemda Haki na mwenye HOFU ya Mungu hata wale wachawi wanasikia kabisa vilio vya nafsi za waliokufa OKTOBA 29 -MASSACRE DAY IN TANZANIA (MAUAJI YA HALAIKI) zikidai Haki hata wakiwa umautini.. ni kama vile tupo...
Anachokifanya sasa ni Kuzusha tu mara Museveni mara Kagame na tunajua soon atahamia pia Kumshutumu Chapo.
Eti Museveni anaitaka Kagera (Bukoba) kwakuwa Nyerere aliichukua Kinguvu. Yaani Museveni huyu huyu ambaye hadi leo anaishukuru Tanzania kwa Kumuondoa Amini na kumsaidia Yeye kuikomboa...
Huku Tanzania kijani kunameremeta kule Uganda ni full njano. Uganda wamekuwa wakimlalamikia Museveni wakidai hawamtaki sasa hao waliokusanyika hapo wametoka wapi au wamesafirishwa?
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, ametangaza rasmi nia yake ya kugombea urais mwaka 2026 dhidi ya Rais Yoweri Museveni.
Tangazo hilo lilitolewa leo katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa kwa ajili ya kuonyesha cheti chake cha kuwania urais kupitia...
Kama kweli lengo la Museveni lingekuwa mfano wa kuigwa, basi yeye mwenyewe angeonekana mnafiki, kwa sababu alimfanya mwanaye Muhoozi kuwa Mkuu wa Majeshi na wengine akawapa vyeo vikubwa serikalini. Kabla ya kumsema mwingine, Rais Museveni alipaswa kuanza kwa kutoa kibanzi kilichoko kwenye jicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.