mungu

  1. Setfree

    Kama Kweli Mungu ni Mungu wa Israeli, Kwanini Anaiacha Israeli Inapata Vipondo?

    Swali hilo limekuwa likiulizwa na watu wengi, hasa katika nyakati hizi tunapoona Taifa la Israeli likipitia mateso, vita, au mashambulizi makali. Huenda hata wewe unajiuliza: “Je, ni kweli Mungu bado ni Mungu wa Israeli? Kama ni hivyo, mbona hawalindi?” Kwa jicho la kibinadamu, hali hii inaweza...
  2. Samia atosha tukutane2030

    New prophet in Town. Ninafanya free style prophecy hapahapa JF

    Hallelujah, Jambo usilolijua utaliona kama mlima, possibility utadhani impossibility. As a upcoming prophet of these bad days leo nitakuonyesha kusudi la Mungu maishani mwako, kwasababu watu wengi wanaishi nje ya kusudi la Mungu maishani mwao. Comfortability mtu ataipata siku akikikaa na...
  3. C

    Mungu wa kikristo na Mungu wa Waislamu ni huyu moja anitwa "Allah" hata kwenye biblia ya kiarabu yumo

    Mungu wako na Mungu wetu ni Mungu mmoja kwa kuwa kuna Mungu mmoja tu kama ilivyoandikwa katika. "Shema" (Kumbukumbu la Torati 6:4) na Marko 12:28, na kama inavyoainishwa katika kanuni ya kwanza kati ya Kanuni 13 za Imani ya Kiyahudi. Ikiwa unasisitiza kuwa "Allah" katika tafsiri ya Kiarabu ya...
  4. ndege JOHN

    Najisikia kuhamia upande wa MUNGU

    1.Ni muda mrefu sasa sijapost thread yoyote nimekuwa na maisha mazuri Sana japo yenye changamoto nyingi.mambo ni mengi but najiskia pia faraja hatimaye nimekuwa Baba,Baba grace amezaliwa ana kama week mbili ni faraja kwa familia yangu hasa ukizingatia hofu Ile ya matumizi ya pombe Kali kwa muda...
  5. MK254

    Kwa wale ambao hamuamini katika uwepo wa Mungu au miujiza, hii nini kwa kweli

    Haya mataifa yote yenye rangi ya kijani ni ya kiislamu, wote wana chuki dhidi ya Wayahudi, ambayo ilianza tangu enzi za Mohammad ambaye aliwahi kusababisha mauaji kwa Wayahudi na hata kuuza watoto wao utumwani. Na hata ukisoma maandiko yao kwenye "sahih muslim 2921" waislamu wameamrishwa...
  6. KakaKiiza

    Ni kitu gani kifanyike ili amani ya DRC Congo??

    Katika kipindi cha zaid ya miongo 3 tumeshuhudia Amani ya DRC haijawahi kuwa na Amani iliyotulia,lakini kama mnakumbuka DRC ni miongoni mwanchi zilizojiunga na EAC na baadae akapata uanachama baada ya kukidhi vigezo,sasa kama mwanachama mwenza ni lazima tujadili amani ya DRC kwa sababu ni sehemu...
  7. R

    Mungu wa Israel ni mkuu

    Iran kwa miongo minne amekuwa akitengeneza na kutekeleza mikakati ya kuiangamiza Israel. Katika foreign policy yake kuifuta Israel ni moja ya sera zake za nje. Iran ameunda vikundi vya kigaidi kuizunguka, Israel katika nchi za Lebanon, Syria, Iraq, Yenen na Gaza; vikundi hivyo amevipatia...
  8. The Father of All

    Lissu akitaka maombi yake yafike, asimuombe Mungu bali Samia

    Leo nimemsikia Tundu Lissu akilalamikia kutoruhusiwa kwenda kusali na kumuomba Mungu. Mie namshauri amuombe Samia na kumshukuru na mambo yake yatanyooka.
  9. Allen Kilewella

    Mnaoamini hakuna Mungu kwanini mnasikitika watu wakiuana?

    Hii vita ya Urusi na Ukraine na Sasa Iran na Israel imenifanya niwaze baadhi ya mitizamo (siyo misimamo) ya wasioamini kuwa kuna Mungu. Kwa mfano kinachowafanya wasioamini kuwa kuna Mungu wasikitike watu wakiuana ni nini? Msingi wa masikitiko yao ni nini?
  10. Surya

    Muamuzi wa maisha ya Binadamu ni Mungu, Maisha ni ubatili

    Yaliyomkuta Mfalme Daudi. Mipango ya Mungu na Udhaifu wa Binadamu: Hadithi ya Daudi na Absalomu Katika safari yetu ya maisha, mara nyingi tunajiuliza ni kiasi gani cha hatima yetu kimepangwa na ni kiasi gani tunatengeneza sisi wenyewe. Imani ya kwamba Mungu hupanga kila kitu ni jambo lenye...
  11. The Humble Dreamer

    Nina wasiwasi na haya maamuzi ambayo Mungu aliyafanya, hapa alikosea

    Salaam Members! Tumekuwa tukisikia toka kwa wafuasi wake kua Mungu ni mwema sana kwa watu wake hapa duniani. Lakini Mungu huyu kuna maamuzi aliyafanya ambayo ni mengi na yanatia shaka kwanini aamue wachache wapate adhabu kwaajili ya wengine. Nina mifano miwili: Kitendo cha Mungu kumuumba...
  12. Tman900

    Ushukuru. Kwa kile Mungu amekujalia

    Kupata sio ujanja na Wala kukosa usio Ujinga, ila Yote kwa Yote Anapaswa Kushukuriwa mtoa ridhiki. Kwa wale ambao awaamini ktk uwepo wa mtoa ridhiki(MUNGU). Sio Kila mtu anaamini ktk Mungu, ila Mimi naamini ktk Mungu na kua Ridhiki ni Majariwa ya Mungu. Sisi Tulio watu wazima na tupo ktk...
  13. S

    Kila nikisikia stori za Mungu nahisi kichefuchefu

    Mungu gani anaruhusu watu wauane, Mungu gani anaruhusu watu wazaliwe kwa magonjwa ( sickle cell, cancer, n.k). Kama kweli huyo Mungu yupo na anaacha watu wateseke basi ni katili na anafaa kupingwa.
  14. S

    Kuna watu wakifa, umma hauna haja ya kusikitika, badala yake, umma unapaswa kumshukuru Mungu kwa kuingilia kati

    Hawa ni wale ambao wamepewa madaraka makubwa katika maeneo mbalimbali na wanayatumia vibaya kwa masilahi yao badala ya kuangalia masilahi ya umma. Hivyo, naomba nitoe wito watu wa aina hii Mungu akiwachukua, tumshukuru Mungu badala ya kusikitika kwa kuokoa jamii dhidi ya mtu au watu waovu...
  15. Setfree

    Tumeumbwa kwa mfano wa Mungu - hakuna mtu asiyependa kusifiwa

    Msifie mwanafunzi shuleni uone atakavyofanya vizuri zaidi. Msifie mke wako au mme wako uone jinsi upendo wake utakavyoongezeka kwako. Isifie timu yako ya mpira, uone kama haitacheza vizuri zaidi... Kitabu cha Mwanzo 1:27 kinatufundisha kuwa "Mungu alimuumba mwanadamu kwa mfano wake." Ndio...
  16. J

    Nashukuru Mungu amenisaidia nisiaibike Leo kwenye daladala

    Habarini wakuu Back to the topic,Leo nimeamka zangu asubuh na mvua mvua za dar hizi plus uchovu wa Jana kwenye kuchek fainali ya Portugal..mzee nikajiandaa chap mida flan ivi ya saa mbili asubuhi niwahi kituo Cha daladala Ili niende zangu job .kufika nikapata daladala imejaza kinoma imetoka...
  17. third eye chakra

    Chagua kufikiri kama Mungu na utaishi kama uliyemuumba kuwa

    Katika mistari hii ya kina ya Seneca, tunaalikwa kuutafakari msingi wa maisha yetu—siyo kwa matukio ya nje, bali kwa namna tunavyoyatafsiri kupitia fikira zetu. Hii ni falsafa ya kweli ya kiungu, inayotufunza kwamba akili ni mlango wa maisha, na kwamba furaha, huzuni, amani au mateso—vyanzo...
  18. Expensive life

    Bila kuzivunja amri kumi za Mungu hauwezi katu kumiliki hii chuma

    Wakuu, kama mada inavyojieleza hii chuma kwa sisi ngozi nyeus,i bila kuzivunja amri kumi za Mungu tutaendelea tu kuiona barabarani.#noreformnoelection🇹🇿🇹🇿
  19. Mshana Jr

    Mungu wangu dunia inaenda wapi?

    Kuzaa kuna mengi 🤔🤔 https://www.facebook.com/share/16QrnEtdUo/?mibextid=xfxF2i Mtoto anapigana na mzazi wake? Hii ni zaidi ya laana na mikosi kwenye familia.. Lakini pia kuna shida kubwa kwa mzazi kwakuwa mtoto umeavyo ndivyo akuavyo Hii video imeniumiza sana...
  20. Just Pray

    Mchungaji Abiud Misholi: Enyi watawala unaiba matrilioni ya fedha na masikini wanaangamia hamtakufa nazo, utakufa na nguo zako Mungu anataka haki

    "Mali mnazoziiba leo mtazifaidia kwa muda mchache, enyi watawala hamtakufa nazo, utakufa na nguo zako, huna adabu utahukumiwa. Mnatesa mayatima, mnatesa wajane, mtaibia wanyonge, Mungu anataka heshima, Mungu anataka haki. Naongea na viongozi mnisikilize viongozi wa nchi, mlio wezi mnisikilize...
Back
Top Bottom