Labda ni falsafa ya kizembe TU kwamba Mungu alimuona shetani kama muasi ingawa Kuna malaika ambao waliyaunga mkono malalamiko ya shetani Mungu aliona ni Bora kumtupa duniani kuliko kumuua!!
Vipi angemuua wale malaika theluthi wangeendelea kuwa wapinzani wa Mungu ndani ya mbingu yenyewe...
Imagine kila mwanaume angependa wowowo, dunia pasingetosha.
Mi napenda wale wanaota English figure sema kifuani pakiwa pamenona, bas ndio ugonjwa wangu.
Wadada wengi wanaoshobokewa kua wanashape hawana kwangu mimi nawaona kama wana disability.
Mwanamke aliejazia sana nyuma ni kama wale jamaa...
Credit: Pastor Jesse Matosha
#SIO KILA MAMLAKA IMETOKA KWA MUNGU.
ACHENI KUTAFSIRI WARUMI 13:1–7 NJE YA MUKTADHA!
Watu wengi wamekuwa wakitumia Warumi 13:1–7 kama silaha ya kunyamazisha watu dhidi ya dhuluma, ufisadi, ukandamizaji, na udikteta — kana kwamba kila kiongozi aliye madarakani ni...
Jana majira ya saa tano usiku wakati najiandaa kucheki muvi, nikapatwa na msukumo wa kutoka nyumbani na kwenda kuzurura mitaani. Huwa ninafanya hivi mara kwa mara ila msukumo wa jana ulikuwa mkubwa.
Nilipotoka ndani, kwanza nikakutana na kibaridi kinapiga, nilitaka kusitisha safari ila nikasema...
Ninaamini kama Gwajima akitoka mbele kwenda mahakamani kupinga maamuzi ya watu 2 kujichagua wenyewe kuwa wagombea ndani ya chama atapata nafasi ya kuungwa mkono na vigogo ndani na nje ya chama.
Watu wanataka mabadiliko lakini issue ilikuwa nani atamfunga pake kengele?
Gwajima michezo yako ni...
Wakuu
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan akifunga mkutano mkuu wa chama hicho leo Mei 30, 2025 amesema "Mwenyezi Mungu ailinde nchi yetu, tumalize uchaguzi kwa amani kabisa na awaangamize wote wanaotaka kuitia nchi yetu kwenye majanga"
Leo nitakuja na somo lenye kichwa kikisema kuwa
HAUKUUMBWA NA MUNGU
Ni mimi wako UWESUTANZANIA ✍️
Ndugu yangu msomaji naomba tumia akili kidogo unaposoma bandiko hili maana litaingia ndani zaidi katika maisha yetu ya kila siku.
Naam ndugu yangu msomaji leo nataka utambue kuwa...
Kibali chochote kile kikubwa Hushuka kutoka kwa Mungu! Pamoja na yoote dhidi ya Chadema - haya ndio majibu ya Mungu kwa watu wote wanaojaribu kukibomoa Cham hiki?
Sauti ya Haki ni Sauti ya Mungu. Arusha Mjini.
Kuna jambo huwa nashindwa kulielewa .
Je watumishi wa Mungu haumuwezo kuhubiri bila kuongelea uchawi?
Je,lazima makinisani watu wazungumzie habari za ushirikina.
Kwa wasomaji wa historia ya uprotestant watakuwa wanakumbuka dua maarufu; "Lord, open the King of England's eyes" ya William Tyndale, aliyoiomba akiwa anachomwa moto October 1536 kwa kosa la kutafsiri Biblia kwa lugha ya kingereza. Kwa faida ya wasiofahamu, mpaka karne ya 16, dini pekee katika...
Kumbe SSH na Kijani ndio wanahusika na "mene, mene, tekeli, na peresi" na Mnala wa BABELI....Maanake nashangaa sasa Kijani wameanza kuchanganyikiwa.
Asante Rev. Hon Dr. Gwajima, Asante Basila Mwanakuzi, Asante Msanii uliyemshauri Mama...Asante Pia na Mwenezi wa Kinondoni maana ulifikiri...
Mit 20:27 SUV
[27] Pumzi ya mwanadamu ni taa ya BWANA; Hupeleleza yote yaliyomo ndani yake.
Ukisikia unachunguzwa au unafuatiliwa nyendo zako zote, inaweza kukushtua na kukuongeza umakini katika kutembea kwako na kutenda kwako, wengine tunajua tunachunguzwa kila wakati kutokana na kazi zetu au...
Habari tulizozipata zinaeleza kwamba kiongozi mmoja wa ngazi ya juu ilifikia mahali akasema waziwazi, kwamba yeye siku zote amejitahidi sana kuwa mcha Mungu, na asingeweza kuendelea kuwa sehemu ya uongozi ambao ulifikia hatua ya kuhalalisha kufanya maovu ya kiwango hiki kwa kudai ni kwa ajili ya...
Katika maisha ya binadamu ,tunao marafiki wa wili ambao bila wao hatuwezi kuishi duniani.
Rafiki wa kwanza kabisa ni Mungu,muumba wa mbingu na dunia.Alianza kuumba maji ,ardhi ikafuata miti ambayo inatupatia hewa ya oxygen,.Bila hewa ya oxygene huwezi ukaishi hata sekunde moja.
Ndiyo maana...
Its simple,
Wewe anakuuliza hivyo kama njia ya kejeli kwa maana anajua hauna uthibitisho wa kumuona
ila na yeye anasahau kuwa yeye mwenyewe Hana uhakika kama kweli hayupo kwa maana labda kweli yupo ila basi tu yeye ndio hajawahi kumuona🤣
Haikuwa rahisi kuamiini YANGA imetolewa na mamelody kwa goli la dhuluma
NDUGU majirani wakajanna fedhehaa kubwaaa mpambane na hali zenu
Tukajipanmoyo kulalamikia lakini haikusaidia
Yt
SINDANO ikaingia kwa Amani
Jana kwa mapenzi MEMA sindano Ile Ile iliooingizwa na rubani yule yule refarii...
FT: Simba SC 1-1 RS Berkane (Agg: 1-3) |
Ni kufa au kupona.
Ni fainali ya mkondo wa pili katika kombe la shirikisho barani Afrika.
Simba SC Vs RS Berkane, mchezo wa kwanza Simba alifungwa 2-0.
Leo atakuwa na nafasi ya kujiuliza katika mchezo wa mkondo wa pili.
Mchezo ni saa 10:00 jioni kwa...
Kuna muda nafikiria nakosa majibu kuhusu huu utiriri wa manabii hapa Africa, Yan Africa inaweza kuwa na manabii wengi kuliko waarabu na wahayudi, Sanasana UKo unyakikyusani wanamabii na mitume kuzidi hata wayahudi watoto wa Yakobo!!!
Hili linanifikirisha sana kwakwel Africa ujinga ni mwingi...
Mungu fundi
Mungu fundi
Mungu hajawahi shindwa
Yaan nilianza kuiombea pyramid ifike final
Imefika nkaomba mungu asaidie wachukue na ubingwa
Sasa wanasubiriaa tu masaa kubeba kombe
Niliomtakia heri mayele afanye yake mashallah
Sasa leo kama maombi na kichwa cha habari hapo juu
Nakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.