muda

MuDA was the acronym of the Museum of Digital Art, an art space dedicated to digital arts. The institute was opened in February 2016 in Zurich by the non-profit Digital Arts Association. It closed by the end of June 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. technically

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Muda huu kuanzia saa 4 Leo wake za watu watatafunwa Sana

    Wakati upo busy na Jambo fulani na wenzako wapo kukusaidia kwenye Jambo jingine Wengine watagongwewa kwenye vitanda na masofa ya waume zao Inaumiza Sana sema kataa ndoa uwa Wana hoja sometime!! Naiombea ushindi Simba ubaya ubwera uzalendo kwanza !!
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mama anapodhamiria kuyang'ang'ania madaraka japo hadi 2030, CHADEMA ijizatiti kwa mapambano ya muda mrefu!

    Kwamba hata iweje! Haipo shaka nia njema kutokea kwa mama haipo na haiwezi kuwa sahihi kusema huo ndiyo ulio msimamo wa CCM au serikali yake yote. "Samaki mmoja akioza haliwezi kuwa tenga lote." Kuwa leo Lissu yuko Ukonga, ila waliowateka kina Mdude, Soka, nk wako huru? Waliowatendea unyama...
  3. bibliatimes

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kukusaidia kuomba vizuri kwa muda mrefu - 1

    MBINU ZA KUKUSAIDIA KUOMBA VIZURI KWA MUDA MREFU-1 Nakusalimu katika jina la Yesu Kristo Bwana wetu. Leo nataka nikupe mbinu kadhaa za kukusaidia kuomba vizuri na kwa muda mrefu. Hakikisha Unafuatilia somo hili Hadi mwisho na Mungu atakuinua viwango vingine kimaombi. Ni muhimu sana kwa mwana...
  4. EDIGAR JO

    JamiiForums Tanzania Usilo lijua kuhusu kutokwenda na muda kwa Waafrika

    Nimekuwa mdau mzuri sana wa muda toka nikiwa awali.2006. Nilisoma kwa raha sana nikiwa shule ya msingi Vikonje, Dodoma .Sababu ilonifanya nijione mimi ni bora sana kipindi hiko kwa sababu sikuwahi kukutwa kwenye jopo la waliokosa namba za saa Kumi na mbili na nusu. Nilipofika elimu ya juu ya...
  5. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Maghayo & Bichwa KOMWE ndio Couple bora ya Muda wote kuwahi kutokea JF

    Mzuka wana Jamvi ? Yerereeeeeerreereerreereyere ree!!! Zimepita couple nyingi Jf Real na Fakes , Serious and for Jokes , Za Siri na za Wazi ila mpka sasa sijaona ya kufika kati ya Maghayo The Mongolian Savage na Binti mrembo pisi Kali Jf nzima BICHWA KOMWE - Tokea Jambo forum mpk sasa Jamii...
  6. Zee la michongo

    JamiiForums Tanzania Je inachukua muda gani hadi account kua banned?

    Ukipokea pesa ndefu kutoka nje ya nchi like USA as a remmittance money mfano 100+million TSh . Inaweza chukua muda gani hadi account wakaiban ? Je mtu anaweza fanya someexpenditure kabla hawajaiban? Je unaweza kuspend like 20m then ukareport account? 😁😁 Msije sema bangi wakuu lete...
  7. Ziroseventytwo

    JamiiForums Tanzania Ni muda sasa tuanze kupiga maombi

    Wakati wa Rais Magufuli alizoea sana kusema tumwombee. Tuliomba badala ya kumwombea. Bwana akajibu maombi. Sasa kuna mtesi mpya. Tena huyu ni zaidi ya yule aliyetangulia. Serekali yake inauza kila kitu cha wananchi. Kubebesha watanzani mizigo ya madeni kwa kukopa huko nje. Sasa anatesa...
  8. Mr Why

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Karibu Afrika, bara utakalosengenywa endapo hutaonekana na mahusiano ya kimapenzi au mtoto haijalishi una mpango wa kufanya maamuzi kwa muda sahihi

    Karibu Afrika, bara utakalosengenywa endapo hutaonekana ukiwa na mahusiano ya kimapenzi au mtoto haijalishi una mpango wa kufanya maamuzi kwa muda wako uliojipangia Bara la Afrika ni la tofauti sana, katika jamii zetu utaanza kupitia matatizo ya masimango baada ya kubalehe endapo hutaonekana...
  9. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania BAWACHA waliomuunga mkono Mbowe wasema walioondoka CHADEMA wana kiburi na ubinafsi

    https://www.youtube.com/live/wivzX09ThGk?si=t1hbaoJeAxdcEeOU
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwa kipawa changu asilia ninaweza kukata kiu ya muda mrefu ya Watanzania

    I have powers to the extent nikiingia kwenye machimbo yangu huko kwenye ulimwengu uliojificha basi nikija kutoka WATANZANIA watakatika na viu vyao vya muda mrefu (for my powers I can quench the unquenched thirsty of Tanzanians)
  11. Mr Why

    JamiiForums Tanzania Huku CHADEMA vs CCM, Kule Ibraah vs Harmonize, wadaku huu ni muda wa kujilia vyenu, nina hakika mapipa yenu yatajaa habari za kuwafikisha mwakani

    Huku CHADEMA vs CCM, Kule Ibraah vs Harmonize, wadaku huu ni muda wa kujilia vyenu, nina hakika mapipa yenu yatajaa habari za kuwafikisha mpaka mwakani Ebana Ibraah anadai kidogo Harmonize ambutue na mkonge wake alipomuita Chumbani
  12. tang'ana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninakinai wanawake haraka sana,ni kawaida au nina changamoto zingine?

    Mko poa watu wa Mungu! Kuna hali flani ya kukinai wanawake mapema kabisa inanitokea nashindwa kuielewa ni nimerogwa au ni kawaida? Naweza nikatumia gharama kubwa kumfukuzia demu ila nikishampata na nikamgegeda mara moja tu,naloose interest na yeye kabisa.au pia naweza nikaopoa tu wale mademu wa...
  13. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa hali ya sasa Tanzania ni akili timamu na sifa za Wife material ndio vigezo muhimu zaidi za kuchagua mke, Bikra pekee haitoshi

    Haijalishi ni used au bikra Kwa hali ya sasa ukichagua mwanamke kwa kigezo cha bikra pekee safari badi ni ndefu. Maamuzi sahihi ni kuangalia yupi mwenye akili timamu na anaefaa kuwa mke haijalishi ni used wala bikra
  14. A

    JamiiForums Tanzania Nikae muda gani ndo nitumie hii pesa?

    Habari zenu. Nina account mbili za miongoni mwa benki kubwa hapa nchini. Kati ya hizo account mbili ni Moja pekee huwa naitumia mara Kwa mara Kwa kuweka na kutoa pesa. Kuanzia mwezi April mwaka Jana Ile account ambayo siitumii mara Kwa mara imekuwa ikipokea pesa ambazo sijui mtumaji ni nani...
  15. youngkato

    JamiiForums Tanzania Kama Hutumii Canva upo nyuma ya Muda

    Kama Hutumii Canva upo nyuma ya Muda. Kama hujui kutumia Canva upo nyuma ya Muda. Muonekano wa kazi zako ndo unaleta utofauti kati yako na wateja wako. Unauza bidhaa, unatoa huduma, au una brand. Kuwa na designs nzuri za kazi zako ni muhimu sana. Ninatumia Canva kutoa huduma zangu kwa...
  16. nipo online

    JamiiForums Tanzania kazini nimeambiwa nianze kuamka sa 10 alfajiri, gari imebadili muda wa kuanza safari

    nilizoea kuamka sa 12 Leo jioni nimepigiwa simu na boss kua natakiwa niende kuanza kupanda basi anapoanzia dereva, umbali adi kumkuta dereva kilometer 20 nawaza sana. mkiona sijibu sms mjue nimelala ili nisije chelewa
  17. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Jinsi mfumo wa utawala uliopo hivi sasa na udhaifu wa bunge ni wazi mtoto wa raisi anaweza kuchukua nafasi ya raisi kwa muda na kufanya maamuzi msijue

    Kwa jinsi siasa za sasa zilivyo kuna uwezakano mkubwa kuwa mtoto wa raisi anaweza kusimama kama raisi na kufanya maamuzi na ku-control kila kitu kama yeye ndie raisi na msijue na hata asichukuliwe hatua za kisheria. Hii inaweza kutokana na sababu nyingi sana kama vile uwepo wa rushwa, mahakama...
  18. T

    JamiiForums Tanzania Matangazo Mubashara Tumaini Tv, mtu anapigwa vijembe muda huu. Ni tukio la kusimikwa askofu katoliki jimbo Bagamoyo..

    Nukuu; 1. Bora kuadhibiwa kwa kusema ukweli, 2. kiongozi usitimie mamlaka kwa kulazimisha watu kufuata matakwa yako binafsi. Wapo Dr. Mpango na RC Dar Es Salaam.
  19. R

    JamiiForums Tanzania Kama siyo mihimili Imara ya USA, Trump angelikuwa dictator kuliko waliowahi kutokea

    Happa ndipo tunaona umuhimu wa kuwa na strong independent Judiciary, Bunge and other governing institions to be independent of the executive. Kwa mwendo wa trump, huyu ni dictator wa kutupwa kms wa hapa kwetu Most Americans Describe Donald Trump as 'Dangerous Dictator'—New Poll Published May...
  20. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Sasa ni muda muafaka wakukiri wasiojulika, wametushinda!

    Swala la watu wasiojulikana lilipoanza kusikika nchini ilionekana kuwa ni changamoto ambayo kwa uimara wa intelijensia yetu, ingepata mwarobaini ndani ya muda mfupi. Katika hali ya kushangaza matukio yanayofanywa na wasiojulikana badala ya kupungua, yamekuwa yakiongezeka kwa idadi na umadhubuti...
Back
Top Bottom