demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Habari wataalamu wa Masuala ya Afya.
Ulizo langu ni kuwa, Je inawezekana kumpima mtoto DNA siku moja baada ya kuzaliwa? Binafsi sio mtaalamu wa masuala ya Afya nimeona ni vyema kutafuta jawabu lenye uhakika wa kitaalamu zaidi.
Kama haiwezekani, basi ni muda upi unakuwa ni sahihi kiafya kumpima mtoto DNA ili kutambua hali halisi ua uhusiano na mtoto?
Ulizo langu ni kuwa, Je inawezekana kumpima mtoto DNA siku moja baada ya kuzaliwa? Binafsi sio mtaalamu wa masuala ya Afya nimeona ni vyema kutafuta jawabu lenye uhakika wa kitaalamu zaidi.
Kama haiwezekani, basi ni muda upi unakuwa ni sahihi kiafya kumpima mtoto DNA ili kutambua hali halisi ua uhusiano na mtoto?