mtambo

Timothy Mtambo (born 12 August 1984) of Chitipa is a Malawian politician and serves as Minister of Civic Education and National Unity in Malawi government since 2020. Prior to active politics, Mtambo was a human rights activist. He is mostly known for the role he played by leading demonstrations against the regime of President Peter Mutharika, accusing the regime of nepotism and corruption. Mtambo also holds the position of Commander in Chief of Citizen for Transformation Movement (CFT).

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Mtambo wa Oksijeni waokoa maisha ya Wananchi Lushoto

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe ameshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuokoa maisha yake na wananchi wa Lushoto kwa kutoa fedha zilizowezesha kupatikana kwa mtambo wa kuzalisha hewa tiba ya oksijeni katika Hospitali...
  2. NGAYANIMO

    Darasa Huru Lyrics by Jose Mtambo

    DARASA HURU - JOSE MTAMBO Chorus.. Darasa huru mambo sio safi gheto/ Shika lako, shika na la mwalimu/ Ujashikwa mikono , ujashikwa miguu/ Akili nywere kila mtu anazo zake..... Verse...2. Je? umechangua kibonge kama wacheza Sumo Aina noma hata kama we FIdodido imo.!! Usisahau nzito akiwa juu...
  3. Vitalis Msungwite

    Tunakodisha mtambo

    Tunapatikana mbarali mbeya na mtambo unakufikia popote ulipo ndani ya Tanzania. Mawasiliano yameambatanishwa kwenye video.
  4. Taasisi ya Mifupa-MOI

    Mtambo wa CathLab waleta mapinduzi ya tiba ya kiharusi nchini

    Kwa muda mrefu, tiba ya kiharusi hapa nchini ilikuwa changamoto kubwa kutokana na ukosefu wa teknolojia ya kisasa ya kuchunguza na kutibu mishipa ya damu ya ubongo kwa haraka na kwa ufasaha. Hali hiyo ilisababisha wagonjwa wengi kupoteza maisha au kubaki na ulemavu wa kudumu. Ujio wa mtambo wa...
  5. I

    Mtambo wa Kichina wa kurusha makombora walipuka na kuua wanajeshi 8 wa Cambodia.

    https://www.instagram.com/reel/DSuT14MCbJf/?igsh=ZnBzOGh3bGhpOW51
  6. Nipe Maji

    GE2025 Kaliua yanunua mtambo wa shilingi bilioni 1.2 wa kutengeneza barabara, siku zote walikua wapi wanategea tukikaribia uchaguzi?

    Wakuu Hii mitambo ya kutengeneza barabara inanunuliwa sana kipindi hiki kuelekea uchaguzi, siku zote wanakuwa wapi? au ndo kura zinatafutwa kwa kuhadaa wananchi. Alafu mtambo huo huo baada ya uchaguzi utakuta unaharibika:AAAA: ===== Mbio za Mwenge wa Uhuru umezindua mtambo wa kutengeneza...
  7. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Wakuu kati ya kampuni hizi za sola D.light, MySol, SunKing na nyingine unazozijua ipi imara na mzuri?

    Inshallah mwakani nitakuwa porini kwenye shughuli za ufugaji na kilimo. Naomba Kwa wanao jua nitahitaji mambo wa solar Kwa ajiri ya mwaga,kutotoreshea vifaranga na burudani kidogo si unajua porini Tena. Mimi binafisi nilinunua mtambo wa mySol Kwa mkopo kama m3 na ushee mtambo wa kati na ipo...
  8. ELI COHEN

    Millenials mnakumbuka huu mtambo?

    Yani ulikuwa ukilala unaota namna gani kesho utamfunga mwenzio na namna gani utamvukisha snake kumaliza mission katika top gear, etc aisee maisha yanakimbia.🙌🏿
  9. central midfielder

    Jose mtambo

    Msaada kwenye tuta... Natafuta lyrics ya wimbo wa JOSE MTAMBO FT BELLE 9_Naongea na roho. Napataje wadau,au kuna mwenye uwezo wa kushusha hata vesi 1 tu. Asante. #forgive me.
  10. Kipenzi Changu

    Masikitiko ya Kumpoteza Msanii wangu wa Rap, Jose Mtambo

    https://youtu.be/Ex94EQQL8Ro?si=vNFvoKjRVolsifCm Nina Masikitiko makubwa ya kumpoteza msaani wangu mkali Jose Mtambo kwa sababu ya pombe na madawa. Huyu ni msaani wangu wa pili baada ya kumpoteza Chid Benz.
  11. M

    Wakuu nisomee mtambo gani nini kati ya TOWER CRANE au MOBILE CRANE?

    Wakuu nimemaliza chuo kikuu mwaka Jana, Nimepambana kwenye kazi za ujenzi za Mtaani nimeweza kupata pesa kiasi cha laki nane[800,000 Tsh] tu. Sasa nimekuja hapa mnipe ushauri nikasomee mtambo gani kati ya TOWER CRANE au MOBILE CRANE na upi kati hiyo kupata kazi inaweza kuwa rahisi au ina uwanda...
  12. M

    Nisome mtambo gani kati ya TOWER CRANE au MOBILE CRANE wakuu?.

    Wakuu nimemaliza chuo kikuu mwaka Jana, Nimepambana kwenye kazi za ujenzi za Mtaani nimeweza kupata pesa kiasi cha laki nane[800,000 Tsh] tu. Sasa nimekuja hapa mnipe ushauri nikasomee mtambo gani kati ya TOWER CRANE au MOBILE CRANE na upi kati hiyo kupata kazi inaweza kuwa rahisi au ina uwanda...
  13. Transistor

    Ni mashine gani au Mtambo gani, uliwahi fikiria kama ukitengenezwa, utatatua changamoto za kilimo au Ufugaji hapo ulipo

    Kazi ya tekinolojia ni kutatua changamoto za kijamii,hasa zile zinazokumba shughuri za uzalishaji mali. Najua kuna changamoto umesha wahi kukutana nayo,na ukatamani uwepo wa kifaa flani kutatua changamoto hiyo. Au kifaa hicho kipo ila ni gharama sana hasa kuagiza nje ya nchi. Wazo lako ni...
  14. BigTall

    MSCL: Ni kweli mtambo wa kubebea mizigo wa MV Victoria ulipata hitilafu ya kiufundi

    TAARIFA KWA UMMA UFAFANUZI WA 'CRANE' YA NEW VICTORIA HAPA KAZI TU Mwanza, Tanzania. Kuna taarifa iliyochapishwa na mtandao wa kijamii ikieleza kuharibika kwa mtambo wa kubebea mizigo (crane) wa meli ya New Victoria Hapa Kazi Tu. Taarifa hiyo imeeleza kuwa kadhia hii imekuwepo kwa kipindi cha...
  15. Hyrax

    Dawasa na mtambo wa Ruvu Juu ni mzimu unaowatesa wananchi wa Dar es salaam

    Hii dawa yenu inayochemka saivi yaani ipo siku kuna watu watainywa ikiwa ya moto kabisa.
  16. Wagumu Tunadumu

    Mtambo wa solar(mobisol) watt 80,unauzwa1

    Una uwezo wa kuwasha mpaka tv nch 43 Mobisol hawatudai,tumeshamalizana nao Bei 400,000 Mwanza
  17. Pfizer

    Mradi wa Julius Nyerere wakamilisha mtambo namba nane na kuingiza umeme kwenye Gridi ya taifa

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema tayari mtambo namba nane kutoka kwenye Mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere umekamilika na sasa unaingiza megawati 235 kwenye gridi ya taifa. Dkt Biteko ametoa taarifa hiyo tarehe 14 juni 2024 wakati akizindua taarifa za...
  18. Pfizer

    DKT Tulia: Mtambo wa kupima Ubora wa Barabara kuleta Mageuzi Tanzania

    MITAMBO YA KUPIMA UBORA WA BARABARA KULETA MAGEUZI: DKT. TULIA SPIKA wa Bunge, Dkt. Tulia Akson ameisisitiza Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara (TANROADS) kuhakikisha miradi yote ya barabara inayokamilia inapimwa ubora kwa kutumia vifaa maalum kabla ya Makandarasi kuikabidhi kwa...
  19. O

    11 Wafariki dunia baada ya mtambo wa kiwanda cha Mtibwa Sugar kulipuka

    Watu 11 wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa baada ya mfumo wa joto wa kiwanda cha kuzalisha sukari cha Mtibwa Sugar kulipuka wakati wakijiandaa kuanza uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho kilichopo Turiani mkoani Morogoro. Akizungumza na Mwananchi digital leo Alhamisi Mei 23...
Back
Top Bottom