Maisha ni magumu wazee,
Na wanadamu ni wepesi wa kusahau ni miaka michache tu mkoani Morogoro watu wengi walipoteza maisha katika tukio la uchotaji wa mafuta baada ya Gari kupinduka.
Leo hii pichani ni wananchi wanaochota mafuta baada ya Lori kuanguka.
Picha inaeleza Mengi.
Source ITV.