msigwa

Peter Simon Msigwa (born 8 June 1965) is a Tanzanian CHADEMA politician and Member of Parliament for Iringa Town constituency for two consecutive terms since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. Damaso

    Gerson Msigwa Kwanini umefunga Comment Section?

    Katika ulimwengu wa leo wa kidijitali, mitandao ya kijamii imekuwa si tu sehemu ya mawasiliano, bali pia eneo la kuungana, kufarijiana na kuonesha utu wetu kwa wakati wa furaha na majonzi. Hivyo basi, tangazo la msiba wa mama wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Gerson Msigwa, limeibua mjadala...
  2. H

    PostGE2025 Huyu ndiyo Msigwa, msemaji mkuu wa serikali ya CCM

    KI VIPI MSEMAJI WA SERIKALI GERSON MSIGWA NI FIELD JOURNALIST? AU FIELD MARSHALL JOURNALIST? Kwa testimonies zake baada kumaliza sekondari alifanya biashara kuuza mahindi na duka Songea Alianza mtangazaji trainee RTD Songea chini ya waandamizi watangazaji Chisunga Stephen na Seleman Muhogora...
  3. R

    Where is Mchungaji Peter Msigwa

    Hivi aligombea ubunge? CCM walimpa jimbo? I have lost track of him!!! If not so, yuko wapi? Au bado anasubiri reshuffle ya DCs/RCs anaweza kuambulia
  4. Sifi Leo

    Msigwa kwanini msiwashtaki kwa "sedition na defamation"

    Msigwa analalamika Tanzania ni nchi kile ni chombo Cha habari Kama Trump pérsonali anaweza washitaki, sisi kama nchi kupitia wanasheria wetu tunafeli wapi kuwashitaki CNN dhidi ya kesi ya uchochezi? Au uzalilishwaji?
  5. Cute Wife

    PostGE2025 Mtangazaji Clouds TV: Pongezi za Msigwa kwa Waandishi hazinihusu, tuache unafiki!

    Wakuu, Wakiwa kwenye kipindi watangazaji wa Clouds, wameulizana swahili hili: "Sifa mlizopewa jana na Msemaji Mkuu wa Serikali mpaka kufikia kuundiwa mfuko maalum (wa wananhabari) mnadhani sifa hizo mnastahili?" Mtangazaji Sam Sasali kajibu hizo pongezi kwaajili ya kutopost picha za...
  6. Carlos The Jackal

    Msigwa iambie Serikali yako na Vikundi vyake (Polisi na Mamuluki wao) tarehe 9 Dec ni Maandamano ya Uhakika, Wasithubutu hata Kuua Sisimizi!.

    Kwa Taarifa yenu, Tuliouliwa Ndugu zetu tumeshajipanga kuandamana. Mtangaze Curfew ya mapema, haitozuia lolote. Muanze kupiga Risasi mapema, haitazuia lolote . Maandamano yapo, No way Bwana Msigwa , rukaruka tu na Porojo zako ila MAANDAMANO MAKUBWA YA AMANI YAKO PALEPALE. SASA , Onyo...
  7. Sifi Leo

    Tukubaliane Gerson Msigwa amekojoa, tuwe na subira atakuja KUNYA🙏

    Tukubaliane Leo Msigwa kakojoa, tuwe na subira atakuja KUNYA siku IKIFIKA. Hivi kweli UMESHINDWA ndani ya MASAA 24 kusema zile video ni za kweli au ni feki? Msigwa field journalist? Sikulaumu TBC haiwezi kutoa critical thinker journalist huo ni uwongo wewe ni pompompoooo! Tangu nilipokuona...
  8. baz kaiza

    PostGE2025 Rais alishakubali kwamba tukio lile la October 29 limetia doa taifa. Kulikua na ulazima gani wa Gerson Msigwa kuliongelea?

    Mama alikubali kwamba tukio la October29 limetia doa kama taifa Leo kulikua na ulazima gani Gresyon msigwa kuita vyombo vya habari kukaa na kuongea pumba na kuzidi kutia hasira watu...
  9. britanicca

    I thought we are going to critically analyze the CNN report, but who am i?

    I expected kauli kama “ Mim na nyie waandishi wahabari nipo tayari kwenda kwenye eneo wanalosema miili imezikwa tukajionee na kureport kuwa sio sahihi…” Kwanini Msigwa uwa anajitoa sana ufahamu? Mambo mengine ni kujikoroga kabisa Britanicca
  10. mcTobby

    Gerson Msigwa inabidi akumbushwe Hili

    Katika mazingira yoyote ya operesheni za habari, kuna kanuni moja isiyovunjika, inasema "Unaweza kuzuia sauti za ndani, lakini huwezi kudictate vyanzo vya nje." Ndicho kinachomkumba Msigwa sasa. Anajaribu kuextend control mechanism zile zile anazotumia kusimamia leseni za online TV za ndani...
  11. uhuruborn

    Kwako Greson MSIGWA Wajibu wa Serikali ni Kutoa Ukweli na Siyo Malalamiko

    Tulitarajia kuona Serikali ikitoa ushahidi wa kina hasa picha za satelaiti 🛰️, vielelezo vya kitaalamu, na maelezo ya kiuchunguzi ili kuonesha kwamba madai ya mauaji yaliyotolewa na CNN, BBC, Al Jazeera hayahusiani na Tanzania bali na maeneo mengine kama Sudan. Lakini badala yake, tunachokiona...
  12. Idugunde

    Msigwa hata kama ungepewa nafasi ya kuijibia serikali ungejibu nini? Kuwa watu hawakuuliwa?

    Naomba unijibu kama mtu ambae anatumia common sense. Sio akili za kulinda kitumbua na ugali kama Maliyamungu wa Iddi Amini. Rais Samia katamka hadharani kuwa baada ya vijana kuimba kuwa wataka kama ya Madagascar watu waliuliwa. Uhalifu ulifanyika Je, ulihataji kuzuiwa kwa mtutu wa bunduki...
  13. ChekoFagia

    Gerson Msigwa ameidhalilisha Shule Kuu ya Uandishi wa Habari SJMC kwa PUMBA alizoongea

    Anayejiita mwandishi wa habari Field Journalist mhitimu wa shule kuu ya uandishi wa habari ni kilaza sana huyu ukisema u apply ulivyofundishwa na walimu kama Kamfipo, Katunzi na wengine hatuwezi kuwa jamii ambayo itapata taarifa sahihi, kusema vyombo vya ndani vinafanya kazi nzuri kazi nzuri ya...
  14. Its Tesha

    Msigwa: Tumejipanga kiusalama Desemba 9

    Serikali imesema imejipanga kuhakikisha wananchi wanakuwa salama Desemba 09, 2025.
  15. Its Tesha

    Heche amjibu Msigwa 'SGR unamjengea nani kama mnaua watu'

    Yaani unataka tujadili SGR badala ya maisha ya watu?Shame on you!!! Hiyo SGR hata wakaloni walijenga, wewe Msigwa hujui reli ya kati iliyojengwa na wakoloni ilikua SGR wakati huo?Je unajenga SGR ili itumike kufanya nini kama mnaua binadamu wanaotakiwa kuitumia?Mnajengea wanyama au miti?Hivi...
  16. Lord Denning

    Tatizo la kuongea sana: Serikali yazidi kujichanganya. Muliro alisema AI, Msigwa asema picha zilizopigwa kwa simu

    Kwa namna Serikali ya Samia inavyozidi kujichanganya ndivyo inavyozidi kuithibitishia Dunia kuwa ni lazima pawepo Uchunguzi huru wa Kimafaifa kuhusu Mauaji ya Maelfu ya Watanzania yaliyofanywa na Samia na wakuu wake wa vyombo vya dola. Wakati anahojiwa na DW, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar...
  17. Cute Wife

    PostGE2025 Msigwa: Nawapongeza vyombo vya habari nchini, mpo sahihi sana, sio lazima tuige mtindo wa kuishambulia nchi yetu

    Waandishi wa Habari mlikuja kulalamika kwamba wananchi wanawashambuli kuhusu kukaa kimya, baada ya statement hii ya semaji Gerson Msigwa mna lipi la kusema? ==== Kuhusu vyombo vya habari vya Tanzania, Msigwa ameanza kuvipongeza kutokana na kazi nzuri wanayofanya kwa weledi na umakini mkubwa na...
  18. R

    PostGE2025 Msemaji mkuu wa Serikali Gerson Msigwa awahakikishia watalii usalama na kupuuza taarifa potofu

    Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na Vyombo vya habari leo Novemba 23, 2025 amewahakikishia watalii wote kutoka mataifa mbalimabali kuwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inawakaribisha wote nchi yetu itabaki kuwa ya amani na wazi kupokea wote wanaowiwa kuja...
  19. R

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Nimesoma uandishi wa habari 'It is Unprofessional and unacceptable to publish bad taste images'

    Naomba waliosoma uandishi wa habari kama Msigwa mtuelezee hapa anamaanisha nini:BBRUHH:
  20. Cute Wife

    PostGE2025 Msigwa: Taarifa kuhusu maadhimisho ya siku ya Uhuru itatolewa ndani ya siku mbili

    Kuhusu maashimisho ya siku ya uhuru msigwa amesema: taarifa kuhusu maadhimiaho ya siku ya uhuru kama yatafanyika au la mtapewa taarifa rasmi ndani ya siku mbili.
Back
Top Bottom