Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 580
- 546
Msigwa na Sugu ni kambi mbili tofauti ndani ya Chadema kwasababu Msigwa ni adui namba moja wa Bestfriend wa Sugu, William.
Nikauliza kijiwe vipi hali ikoje? Wakaniambia wao wanaamini Msigwa amerudishwa kwa kazi maalum na kwa wanavyomjua amejipa yeye mwenyewe hiyo kazi.
Na kunamsemo wakaniambia “ UNAWEZA KUTOKA CCM, ILA CCM KUKUTOKA MOYONI UKISHAINGIA NI NGUMU” Basi nikasema naomba kiti nikae. Nawasikiliza!!!
Nikauliza kijiwe vipi hali ikoje? Wakaniambia wao wanaamini Msigwa amerudishwa kwa kazi maalum na kwa wanavyomjua amejipa yeye mwenyewe hiyo kazi.
Na kunamsemo wakaniambia “ UNAWEZA KUTOKA CCM, ILA CCM KUKUTOKA MOYONI UKISHAINGIA NI NGUMU” Basi nikasema naomba kiti nikae. Nawasikiliza!!!