Peter Simon Msigwa (born 8 June 1965) is a Tanzanian CHADEMA politician and Member of Parliament for Iringa Town constituency for two consecutive terms since 2010.
Kwa Taarifa yenu, Tuliouliwa Ndugu zetu tumeshajipanga kuandamana.
Mtangaze Curfew ya mapema, haitozuia lolote.
Muanze kupiga Risasi mapema, haitazuia lolote .
Maandamano yapo, No way Bwana Msigwa , rukaruka tu na Porojo zako ila MAANDAMANO MAKUBWA YA AMANI YAKO PALEPALE.
SASA , Onyo...
Tukubaliane Leo Msigwa kakojoa, tuwe na subira atakuja KUNYA siku IKIFIKA.
Hivi kweli UMESHINDWA ndani ya MASAA 24 kusema zile video ni za kweli au ni feki?
Msigwa field journalist? Sikulaumu TBC haiwezi kutoa critical thinker journalist huo ni uwongo wewe ni pompompoooo!
Tangu nilipokuona...
Mama alikubali kwamba tukio la October29 limetia doa kama taifa Leo kulikua na ulazima gani Gresyon msigwa kuita vyombo vya habari kukaa na kuongea pumba na kuzidi kutia hasira watu...
I expected kauli kama “ Mim na nyie waandishi wahabari nipo tayari kwenda kwenye eneo wanalosema miili imezikwa tukajionee na kureport kuwa sio sahihi…”
Kwanini Msigwa uwa anajitoa sana ufahamu?
Mambo mengine ni kujikoroga kabisa
Britanicca
Katika mazingira yoyote ya operesheni za habari, kuna kanuni moja isiyovunjika, inasema "Unaweza kuzuia sauti za ndani, lakini huwezi kudictate vyanzo vya nje."
Ndicho kinachomkumba Msigwa sasa. Anajaribu kuextend control mechanism zile zile anazotumia kusimamia leseni za online TV za ndani...
Tulitarajia kuona Serikali ikitoa ushahidi wa kina hasa picha za satelaiti 🛰️, vielelezo vya kitaalamu, na maelezo ya kiuchunguzi ili kuonesha kwamba madai ya mauaji yaliyotolewa na CNN, BBC, Al Jazeera hayahusiani na Tanzania bali na maeneo mengine kama Sudan. Lakini badala yake, tunachokiona...
Naomba unijibu kama mtu ambae anatumia common sense. Sio akili za kulinda kitumbua na ugali kama Maliyamungu wa Iddi Amini.
Rais Samia katamka hadharani kuwa baada ya vijana kuimba kuwa wataka kama ya Madagascar watu waliuliwa.
Uhalifu ulifanyika Je, ulihataji kuzuiwa kwa mtutu wa bunduki...
Anayejiita mwandishi wa habari Field Journalist mhitimu wa shule kuu ya uandishi wa habari ni kilaza sana huyu ukisema u apply ulivyofundishwa na walimu kama Kamfipo, Katunzi na wengine hatuwezi kuwa jamii ambayo itapata taarifa sahihi, kusema vyombo vya ndani vinafanya kazi nzuri kazi nzuri ya...
Yaani unataka tujadili SGR badala ya maisha ya watu?Shame on you!!! Hiyo SGR hata wakaloni walijenga, wewe Msigwa hujui reli ya kati iliyojengwa na wakoloni ilikua SGR wakati huo?Je unajenga SGR ili itumike kufanya nini kama mnaua binadamu wanaotakiwa kuitumia?Mnajengea wanyama au miti?Hivi...
Kwa namna Serikali ya Samia inavyozidi kujichanganya ndivyo inavyozidi kuithibitishia Dunia kuwa ni lazima pawepo Uchunguzi huru wa Kimafaifa kuhusu Mauaji ya Maelfu ya Watanzania yaliyofanywa na Samia na wakuu wake wa vyombo vya dola.
Wakati anahojiwa na DW, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dar...
Waandishi wa Habari mlikuja kulalamika kwamba wananchi wanawashambuli kuhusu kukaa kimya, baada ya statement hii ya semaji Gerson Msigwa mna lipi la kusema?
====
Kuhusu vyombo vya habari vya Tanzania, Msigwa ameanza kuvipongeza kutokana na kazi nzuri wanayofanya kwa weledi na umakini mkubwa na...
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza na Vyombo vya habari leo Novemba 23, 2025 amewahakikishia watalii wote kutoka mataifa mbalimabali kuwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania inawakaribisha wote nchi yetu itabaki kuwa ya amani na wazi kupokea wote wanaowiwa kuja...
Kuhusu maashimisho ya siku ya uhuru msigwa amesema:
taarifa kuhusu maadhimiaho ya siku ya uhuru kama yatafanyika au la mtapewa taarifa rasmi ndani ya siku mbili.
Akiongea na waandishi wa Habari, Msemaji wa Serikali amesema idadi ya waliofariki na kujeruhiwa inatakiwa kutolewa na vyanzo rasmi vyenye mamlaka ambavyo vimefanya tathmini, kwa sasa wanaotoa takwimu hizo ni uchochezi.
Utamwelezaje MTU kwa maneno mazuri ambapo askari anampiga 'mwanamke' anayekimbia risasi. Je, huyo ni Askari aliyepitia mafunzo?
Ukumbuke familia zao zipo.
Msigwa alisema serikali inachunguza video kisha itatoa ufafanuzi lakini imekuja na malalamiko ya kutangazwa kimataifa tu na sio ufafanuzi wa video.
Aidha vyombo vya kimataifa vili itafuta serikali kabla ya kuripoti ili kutoa ushirikiano lakini serikali iliingia mitini kwa siku takribani 25 sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.