mshahara

  1. Niache Nteseke

    JamiiForums Tanzania Hivi huu Mshahara wa UN mpakampenzi wako na watoto wanalipwa?

    Heshima kwenu wakuu. Well, nimekuwa nikiskia tu kuwa unapofanya kazi UN mpaka mchumba/mpenzi/mke wako nae ana lipwa kila mwisho wa mwezi. Leo katika pitapita nikawa napita kwenye website ya UN kuangalia Salaries, Allowances, Benefits and Job Classification nikaona hii kitu hapa...! Hii ina...
  2. britanicca

    JamiiForums Tanzania Lema: Mshahara wa Mbunge ni Mdogo sana, 4000$ Kwa mwezi anazidiwa na vijana wanaofanya cryptocurrency

    Aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini bwana Godbless Lema, katika Mazungumzo huko space twitter alisikika akikwambia Kitila Mkumbo kwamba mshahara wa mbunge ni Mdogo mno yaani ni 4000$ Kwa Mwezi hivyo aache Ubunge amfundishe cryptocurrency apate zaidi ya hiyo maana anazidiwa na vijana wanaoifanya...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Rais wa Zambia mwezi 8 ofisini bila mshahara, Wazambia kwanza

    Rais Hakainde Hichilema wa Zambia mwezi wa 8 sasa hajawahi kupokea mshahara. Kwake wazambia kwanza: Kwetu si mishahara yao na posho tu zilizo nona haswa, bali sisi kukamuliwa kweli kweli. "Kwetu ni self service." Nani anasema tatizo letu si katiba? Si kuwa tuna watu madarakani ambao...
  4. gidume

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimerudi kwenye mshahara wangu wa laki 4 kwa mwezi

    Baada ya kupigika ndani ya miaka mitatu ya kuacha kazi niliyoona haina maslahi..kufungua biashara zikanishinda na kuzifunga nyingine kuziuza baada ya kuchoka kuumiza kichwa. Nimerudi rasmi kwenye maisha ya mshaara wa laki nne kwa mwezi..uzuri nna gari yangu nilionunua baada ya kuuza biashara...
  5. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Nini siri ya mshahara kuwahi sana awamu hii ya 6?

    Toka ameingia madarakani mama Samia amekuwa na akiwahisha kulipa mishahara mapema sana. Kuna jamaa yangu yupo anafanya kazi "kwa wale jamaa zetu" wameingiziwa salary toka jana tarehe 21. Leo wife nae kaingiziwa mshahara yupo TAMISEMI. Nini siri ya serikali ya awamu ya sita kulipa mishahara...
  6. MoseKing

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Mei Mosi 2022: Rais Samia, Waokoe Watumishi wako Dhidi ya Dhulma Kali ya Makato ya Lazima ya Mshahara kutoka kwa Vyama vya Wafanyakazi

    Ni ukweli ulio wazi kwamba sisi kama Watumishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunapitia kipindi kigumu hasa kiuchumi na Cha muda mrefu sasa. Licha ya changamoto nyingi ambazo Watumishi wamekuwa wakipitia, hali iliyopelekea Watumishi kuamua kuwa pamoja katika vyama kwaajili ya kupambania...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa waajiriwa wa bodi ya mkonge

    Habari zenu, Naomba nijuwe mshahara ya degree kwenye ajira ya bodi ya mkonge kwa anayejua. Nashkuru sana
  8. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Kama unaingia Mkataba ulipwe Mshahara kidunchu unategemea nchi yako ifanyeje?

    Habari Wakuu! Mambo yetu yanasikitisha mno. Yanahuzunisha Sana. Tumezoea kulalamika. Tumezoea kulaumu wengine huku Sisi tukifanya yaleyale. Taikon sitaki kumlaumu yeyote. Siku zote nitakuwa msema ukweli hata Kama unaumiza. Ukweli ndio dawa pekee ya kuikomboa nchi. Hakunaga maendeleo pasipo...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kati ya Tax management assistant na Customs assistant wapi kuna maslahi zaidi nje ya mshahara?

    Jamani tujikite na kichwa cha habari hapo juu. Wapi kuna maslahi zaidi nje ya mshahara?
  10. Zero Competition

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu mshahara wa Data Officer MDH

    Heshima kwenu wadau Naomba kujuzwa MDH wanalipaje kwa nafasi ya Data Officer nikiwa na maana ya mshahara na pia kama kuna posho zozote wanazotoa mbali na mshahara Au yoyote mwenye idea ambae kashawahi kufanya nao kazi
  11. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mshahara

    Ukitoka mshahara tushituane haraka. Mimi nikiuona nitawashtua haraka iwezekanavyo
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi 400 za Kazi Kigoma Ujiji, Mshahara Tsh 300,000/=

    Kigoma is a city and lake port in northwestern Tanzania, on the northeastern shores of Lake Tanganyika and close to the border with Burundi and The Democratic Republic of the Congo. It serves as the capital for the surrounding Kigoma Region and has a population of 215,458. Nafasi za kazi za muda
  13. A

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua mshahara wa Diploma ya Ustawi wa jamii

    Naomba kujua mshahara wa diploma ya ustawi wa jamii.
  14. Trubetzkoy

    JamiiForums Tanzania Kiwango cha mshahara wa wakuu wa idara

    Habari ndugu watanzania. Ni imani yangu kuwa mu buheri wa afya. Katika mfumo wa uongozi wa elimu huwa kuna afisa elimu (mkoa, wilaya) ambapo chini yake wanakuwepo wakuu wa idara mbalimbali mfano, idara ya taaluma (afisa elimu taaluma), idara ya takwimu (afisa elimu takwimu) etc. Naomba kujua...
  15. Zero Competition

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa afisa mikopo

    Heshima kwenu. Naomba kujuzwa, hivi hizi kampuni za mikopo huwa zinalipa mshahara wa Tshs ngapi kwa afisa mikopo? Je, mbali na mshahara huwa Kuna benefits zingine ambazo mfanyakazi anapata?
  16. Rurakha

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa kuacha kazi baada ya mapato ya biashara kuzidi mshahara

    Habari zenu wadau mimi ni muajiriwa sekta binafsi Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita nilikuwa najishughulisha na ujasiriamali mambo yalikuwa magum sana sikua na mtaji wa kutosha kuhimili soko na ushindani na ilifika wakati hata kodi ilisumbua Namshukuru mungu nilipata ajira kwa mkataba wa...
  17. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Ukitoka mshahara tushituane haraka. Sio kwa Januari hii

    Hello! Leo bila shaka mshahara kwa watumishi wa umma utaingizwa kwenye akaunti zao. Sasa sisi wa CRDB mzigo unachelewa kidogo, basi nyie wa NMB mkiuona mnishtue haraka ili nivae suti yangu nikachukue nijipongeze.
  18. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Matola aongezewe mshahara Simba

    Kazi ya Kwanza ni majukumu yake kama kocha msaidizi Kazi ya Pili ni kutuliza mashetani ya Pablo. Pablo is so much in touch with his femine side yaani kajamaa kanakasirika kasirika Kila saa ili kabembelezwe utafikiri ka Manzi. On a serious note: Kuna uwezekano mkubwa Sana Pablo akawa crack...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Mwalimu atelekeza kazi baada ya malipo ya mshahara wa Tsh 34,000 kwa mwezi

    Nimesikitishwa kupata habari kuhusu mwalimu anayefundisha shule ya sekondari Dunda iliyopo Bagamoyo mkoa wa Pwani kukimbia kazi ya ualimu baada ya kulipwa 34000 kwa mwezi. Hii inatokana na adhabu ya kushushwa cheo na kulipwa nusu mshahara na Tume ya Utumishi wa Walimu kwa kosa la utoro kazini...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Urefu wa kamba yako ni mshahara wako na stahiki nyingine kisheria. Msimlishe maneno Rais Samia

    Urefu wa kamba yako ni Mshahara wako na stahiki nyingine kisheria ndio maana Rais akasema kula kulingana na Urefu wa kamba yako wala hakusema uibe mali za Umma!! Wabaya wa Samia kisiasa ndo wanasambaza ujinga huo!!! Hivi ukiamua kukosoa kila kauli ya rais si utafika 2030 ushabaki skeleton...
Back
Top Bottom