Wasalaam.
Hii ni Kwa wanaume wenzangu japo hata akina dada,mama mnaweza toa ushauri.
Iko hivi,
Juzi, yaani jumamosi,
Nilijichanganya kwa kuhisi nimepotelewa na kifaa changu ndani cha muhimu mno,yaani mno.
Sasa kumbe kuna mtu aliniazima na Mimi nikasahau kabisa kuwa nimeazimisha Mtu.
Basi...