mpira

  1. D

    Biashara ya Kuonesha Mpira wa Miguu (Kibanda-umiza): Fahamu Kiasi cha Mtaji, Vifaa na Mbinu za Uendeshaji

    Wanandugu, naombeni msaada tafadhali. Mimi ni kijana mwenzenu nimebahatika kuchanga pesa zangu na nimefanikiwa kupata milioni moja na nusu; nataka kufungua biashara ya kuonesha mpira kwa jijini Dar (hasa mpira wa Ligi Kuu ya Uingereza). Je, vipi ni biashara nzuri kufanya au niachane nayo...
  2. Huwa Sipendi kuangalia mechi za Simba naibia naangalia Mpira ukiisha naanza Umia Rohoni

    Mimi sipendi kushabikia Simba sababu mimi ni Yanga kweli kweli. Ila ninaufahamu mpira wa miguu. Kuna wakati ushabiki naweka pembeni. Sisi Yanga tunashindwa wapi kucheza mpira wanaocheza Simba? Mazoezini Kocha wetu anafundisha nini? Sioni anachofundisha au maybe michezaji yetu ishakuwa migume...
  3. Mpira ni fedha na mali: Orodha ya clubs zilizoingiza fedha ndefu 2020/21

    Yanga mmechagua porojo mtavuna porojo. Simba Sc ileeeeeee ni moja kati ya vigogo wa Africa
  4. Uchawi wa Simba Hadharani sasa. Hivi mpira wetu Unaelekea wapi?

    Huu ndo Uchawi Mkubwa wa Simba. Duniani hamna Siri. Mpira ni mchezo wa wazi unachezwa kwenye Mwanga. Tumeona kilichotokea. Hapa Simba wamemchukua kimazingara Messi na kumpa ngozi na nywele nyeusi. Wakambadilisha na jina. Huu uchezaji si wa kawaida kwa huyu bwana mdogo. Mpira wety unaelekea...
  5. Namungo FC yazuiwa Uwanja wa Ndege Angola

    Namungo FC imezuiliwa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Luanda nchini Angola baada ya mamlaka kudai wachezaji watatu na kiongozi mmoja wana virusi vya Corona. Mpaka wakati wa kuandika taarifa hii timu ipo uwanja wa ndege huku utata ukitawala kutokana na mamlaka za nchi hiyo kutaka msafara mzima...
  6. Klabu bingwa Afrika: As vita club 0-1 Simba dimba la Stade de Martyrs 12/2/2021

    Naaaaam Barabara kabisa, Ndugu wadau wa Michezo wa hapa Jamiiforums na kwingineko karibuni katika Live updates(Matukio Mubashara) kutokea hapa Kinshasa katika Dimba la Stade De Martyrs, uwanja wa nyumbani wa Timu ya AS VITA CLUB ambapo kuna "patashika nguo kuchanika" au unaweza kusema kipute...
  7. Timu ya Taifa ya mpira wa miguu haijarejea toka CHAN 2021?

    Nimepitia humu sijaona chochote na pia 'website' ya TFF kimya tena hii haina taarifa ya kitu kinachoitwa CHAN 2021. Nimetafuta hii kutaka kufahamu kama TFF wameamua chochote kuhusu kocha wa timu hiyo kutokana na matokeo mabaya tokea kuteuliwa kwa kocha huyo licha ya haya ya CHAN 2021. Watupe...
  8. D

    Ladha ya Mpira wa Miguu ilikuwa zamani ; Sheria zimekuja kuharibu ladha!

    Watu wazima mtakumbuka! Mkutadha wa mpira wa miguu uligunduliwa huko China! Walikuwa wanacheza mpira wenye umbo kama la yai! Hakukuwa na magoli wala jezi kipindi hiko, watu walitambuana kwa ukoo! Kipindi hiko mpira ulichezwa kipindi cha mchana baada ya kula chakula cha mchana! Haukukuwa na...
  9. Chato: Serikali kujenga Uwanja wa kisasa wa Michezo

    CHATO STADIUM KUJENGWA HIVI KARIBUNI‬ ‪Waziri Medard Kalemani amesema Serikali ipo mbioni kujenga Uwanja wa mpira wa Chato Stadium ambao amedai utatumika sana katika kuhamasisha Wawekezaji na hasa Watalii wanaotoka nje ya Tanzania --------- Serikali imetangaza kujenga uwanja mkubwa wa mpira...
  10. D

    Natafuta Connection za kucheza mpira

    Mimi ni kijana wa miaka 19, Nina kipaji kikubwa Cha kucheza mpira wa miguu, urefu wangu ni futi7 na uzito wa 73kg, npo Temboni-KIMARA. Naombeni msaada wenu wadau
  11. A

    Ushauri: Azam Tv angalieni watangazaji wenu hasa kwenye uchambuzi wa mpira

    Katika siku za hivi karibuni kumetokea wachambuzi wengi katika soka letu la Tanzania, ambapo wengi wao wanatumia forum ya Azam Tv katika kujitafutia umaarufu wakati katika jamii ni watu ambao wanafadhahisha sana jamii katika maeneo yao ya kila siku , ushauri unapikelewa au kukataliwa, angalieni...
  12. Taratibu za kuanzisha tawi la Timu ya Mpira

    Wadau bila shaka mko poa kama mimi, poleni kwa wenye changamoto za kidunia kikubwa muumba awape subira. Wakuu hapa kwetu tunawazo la kuanzisha Tawi la Wapenzi na Wanachama wa timu fulani hivi moja kati ya timu zetu kubwa hapa TZ, ila tunahitaji tufuate taratibu bila shaka zipo ili tuweze kuwa...
  13. Mpira ni nini? Kama ni pesa, mbona Marekani wanazo na hawajawahi kutwaa kombe la dunia? Kama ni vipaji, mbona vimejaa Afrika na hatufanyi maajabu?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu Jamiiforums. Ndugu zangu watanzania eti; Mpira ni nini? Kama ni pesa, mbona Marekani wanazo na hawajawahi kutwaa kombe la dunia? Kama ni vipaji, mbona vimeja sana Afrika na hatufanyi maajabu? Timu ya taifa ya mpira wa miguu ya wanaume ya...
  14. Haya Mbowe ameitendea haki pasi aliyoletewa, sasa mpira upo kwako Maalim Seif

    CHADEMA wameona kama mbwai na iwe mbwai. Badala ya kutuliza wamerudisha huko huko Mpira ulipotoka. Na kwa Bahati umeangukia kwako Maalim Seif, tunasubiri tuone utafanyaje? Mpira unao wewe Sasa. Watazamaji wa Zenji na Bara wanasubiri kuona. Kazi kwako
  15. Kama Cloutus Chama tunayemwimba kwenye mpira wetu wa Bongo kwenye Timu yake ya Taifa hayupo hata reserve basi Ligi yetu ya Bongo ina walakini

    Juzi kati nilikuwa nasoma majina ya Wachezaji walioitwa kwenye Timu ya Taifa ya Zambia na Kocha Mkuu wa timu hiyo Bw. Micho. Nilistaajabu nilipoona jina la mchezaji na kiungo pendwa wa ligi yetu kutokuwemo kwenye orodha ya wachezaji wa timu hiyo. Pia, kiungo mwingine fundi Larry Bwalya naye...
  16. M

    Ndairagije wewe ni genuius Tanzania haijawahi kucheza mpira Na giants yeyote yule kwa kujiamini tena ugenini

    Form is a temporal class is permanent. Mpira wanaocheza timu ya taifa kipindi hiki ni mzuri sana mapungufu ni kidogo tu tulikuwa tunalaumu washambuliaji kuto kufunga lakin jana tatizo limeonekana viungo ndio tatizo la taifa letu Back line ya timu umeijenga vizuri sana kwa kuwaweka nondo na...
  17. K

    Kwa mpira wa jana (Taifa Stars VS Tunisia); Kuna haja ya mabadiliko makubwa katika soka letu

    Hakuna ubishi jana tumeionyesha Afrika na Dunia kuwa sisi soka bado saana. Mambo machache niliyoyaona mimi kweny emchezo wa jana na ambayo yamekuwa yakijirudia rudia: 1. Wachezaji hawana kabisa misingi muhimu ya uchezaji mpira mfano jinsi ya kumiliki mpira, kufanya maamuzi yenye tija na malengo...
  18. Kwanini watangazaji na wachambuzi wengi wa mpira ni Yanga?

    Kwa research niliyo ifanya mtandaoni hususani instagram, pamoja na radion (kupitia vipindi vya michezo) nimegundua watangazaji na wachambuzi wa mpira wengi wao ni YANGA. mf. pale wasafi sports Arena wote wale ni jangwani, EFM ukiondoa Ibrahim Maestro walio baki wote ni yanga, CLOUDS ndiyo...
  19. Je, kulikuwa na Umuhimu gani kuwa na Tamasha Kubwa la Kisiasa katika Uwanja muhimu wa Mpira ambao tarehe 11 Oktoba utatumika Kimataifa?

    Halafu tukiwa 'tunawakosoeni' mnatuona Sisi ni Wanafiki au Rangi Mbili au tuna Chuki nanyi au tunatumika na Mabeberu. Na Mimi wala sitochoka kuwaambieni ukweli na bahati nzuri Mimi ninayewasema ni Mwenzenu 'Kiitikadi' tena kwa 100% na hili wala silifichi au sioni 'haya' kulisema ( kuliweka wazi...
  20. Vijana Ujasiriamali sio Muhuri wa utajiri: Mafanikio yake hayana utofauti na ya mwajiriwa, mkulima, mwanasiasa, mwanamuziki au Mcheza mpira

    Nimecopy na kuileta humu Naomba unisikilize na unielewe vzr sana. Ujasiriamali/biashara ni career sijui nisemaje ulielewe, yani ni lifestyle km ilivyo kuwa mwajiriwa au mkulima au mwanasiasa au mwanamuziki Sio waajiriwa wote wataishia kuwa CEO ktk kampuni kubwa km Vodacom, TBL au Delloite...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…