Mpira bana yaani miaka 34 tu unaitwa mzee

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Jul 5, 2018
6,179
13,589
0_GettyImages-1313140838.jpg
6078bfe374365.jpeg
1300715494.jpeg
 
Mpira wa kulipwa kwa wenzetu unaanzia ukiwa miaka 6 huko academy unaanza kuingia kucheza timu kubwa miaka 16 na 18 unaanza kupata mikataba mikubwa baadhi ya nchi.sisi huku academy bado sana mpira unasomeshwa na baadhi ya nchi kwa week unaenda mara mbili hadi tatu.sisi huku tunacheza mpira ubabaishaji mwingi na kudanganya miaka.mwisho ni balaa la kufa uwanjani.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom