moshi

Moshi Monsters was a British website aimed at children aged 6-12, with over 80 million registered users in 150 territories worldwide. Users could choose from one of six virtual pet monsters (Diavlo, Luvli, Katsuma, Poppet, Furi and Zommer) they could create, name and nurture. Once their pet had been customized, players could navigate their way around Monstro City, take daily puzzle challenges to earn 'Rox' (a virtual currency), play games, personalize their room and communicate with other users in a safe environment, although this has been disputed. Moshi Monsters officially closed on 13 December 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. Ndagullachrles

    Profesa Ndakidemi awakimbilia wahanga wa mafuriko Moshi

    MBUNGE NDAKIDEMI AWAKIMBILIA WAATHIRIKA WA MAFURIKO KATIKA KATA ZA MABOGINI NA ARUSHA CHINI. Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini Profesa Patrick Ndakidemi ametoa pole kwa Wananchi wa Kata za Mabogini na Arusha Chini ambao nyumba na mazao yao yameathirika kwa mafuriko yaliyotokea katika Kata hizo...
  2. GENTAMYCINE

    Je, huyu Comedian anayekuja kwa Kasi Steve ni Pacha wake aliyekuwa Mchezaji Mtukutu Tanzania Haruna Moshi Boban?

    Nilikuwa nakataa kuwa duniani Watu wanafanana lakini baada tu ya kuwaona hawa Wawili Wafananao nimekubali.
  3. Roving Journalist

    Ujenzi wa Barabara katika Stendi ya Bomang'ombe (Moshi) unaendelea

    Ujenzi wa Barabara katika Stendi ya Bomang'ombe Wilayani Moshi Mkoani Kilimanjaro unaendelea baada ya awali kuripotiwa kuwa na mashimo ambayo yalikuwa yakisababisha Madereva wa Mabasi na Costa kutishia kugoma kutoa huduma. Pia Soma - Kilimanjaro: Madereva wa mabasi na Costa watishia kugoma...
  4. A

    PreGE2025 Victor Tesha karibu jimboni Moshi (V)

    Jimbo linahitaji Kiongozi mwenye maono. Nawe Ni mtu sahihi NB: Victor Tesha ni makamu Rais wa Federation of Miners Association of Tanzania maarufu kama FEMATA na pia ni Managing Director wa Isale Investment Group.
  5. Doto12

    Old Trafford inafuka moshi

    Si muda mrefu taarifa zitatolewa juu ya madiliko makubwa kuanzia kocha hadi wachezaji. Mmiliki mwenye hisa kiduchi anasadikika kuchukia timu nzima na hasira hizo alikusanya siku alivyoona timu yake ikihangaika kuifunga tinu iliyoko mkiani ya kocha wa aliyekuwa akikipiga huko man City. Mzee huyo...
  6. F

    Maandamano CHADEMA: Moshi kwafukuta, CHADEMA yazizima, kweli watu wamechoshwa na CCM na serikali yake

    CHADEMA wamefanikiwa sana hapa Moshi kusimamisha mji mzima, ni matarumbeta, makelele, hamasa kila kona ya mji. Watu wamesimamisha shughuli zote na kuunga mkono juhudi za CHAMA. Asante sana wana Moshi mmeonesha njia!
  7. Ndagullachrles

    Ibra Line kusaidia wahanga wa mafuriko Moshi

    Mfanyabiashara maarufu mjini Moshi, Ibrahim Shayo 'ibra Line', ameguswa na mafuriko yaliyosababisha athari kubwa kwa wananchi wa Kata za mji mpya na Msaranga na kuahidi kuwasaidia vifaa mbalimbali ikiwamo mashuka na magodoro. Usiku wa kuamkia Leo mvua kubwa iliyonyesha imeziacha familia nyingi...
  8. Heparin

    Maji yameziba njia maeneo ya Kin'gori, hakuna kwenda Arusha wala Moshi

    Kimeumana hapa near planet Lodge Kin'gori mafuriko, hakuna gari kupita kwenda Moshi wala kuja Arusha, maji yameziba njia eneo la King'ori.
  9. Aliko Musa

    Maeneo Yaliyotengwa Kwa Ajili Ya Uwekezaji Katika Manispaa Ya Moshi

    Ada za kuomba kibali cha ujenzi katika Manispaa ya Moshi. (i) Maombi mapya ya kibali cha ujenzi cha;- ✓ Makazi ni Tshs.400 kwa mita mraba moja. ✓ Makazi na biashara ni Tshs.500 kwa m². ✓ Viwanda ni Tshs.400 kwa mita mraba moja. ✓ Taasisi ni Tshs.300 kwa mita mraba moja. ✓ Vituo vya mafuta...
  10. peno hasegawa

    Moshi: Taa za barabarani zinazotumia 'solar' zaibwa

    Mkurugenzi wa Moshi Manispaa, amelala na kusinzia, sasa wezi wameiba na solar na taa takribani betri 50 na solar panels 30 na taa zimeibiwa na zinaendelea kuibiwa kwenye Barabara ya Nyerere (Nyerere Road) kuelekea kiwanda cha soda cha Bonite. Hii ni zaidi ya hatari na tukiendelea kukaa...
  11. Erythrocyte

    Mwabukusi na Godbless Lema Watikisa Moshi Mjini

    Mtikisiko huo kabambe umetokea kwenye Mkutano wa hadhara uliovurumishwa mjini humo Ajenda kuu ya mikutano ya sasa ni kuwaamsha Wananchi kudai haki zao ikiwemo Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushiriki Wiki ya Maandamano Huku wananchi wengine wakiendelea kusisitiziwa kwamba SHETANI...
  12. Stability

    Kuna magari ya kutoka Moshi hadi Mombasa?

    Nisaidieni wakuu. Au hadi nivuke boda ya holili au pale pale moshi mabasi yapo?
  13. N

    Mkurugenzi wa Moshi anafunga biashara zetu sababu ya kuchelewa kulipa kodi ya pango, hii ni sawa?

    Halmashauri ya Manispaa ya Moshi imekuwa na tabia ya kutufungia maduka na biashara za Wafanyabiashara wa Stendi Kuu ya Mabasi kinyume na maelekezo ya Serikali yaliyotolewaa Julai 1, Mwaka 2023 na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alipokuwa Bungeni. Mwigulu alisema ikiwa kuna changamoto za mlipo...
  14. Bushmamy

    DOKEZO Responded Kilimanjaro: Madereva wa mabasi na Costa watishia kugoma kutokana na ubovu wa Stendi ya Bomang'ombe

    Madereva wa mabasi ya mikoani pamoja na Costa hasa zile zinazofanya safari zake Moshi - Arusha wametishia kugoma kwa kile kinachodaiwa ni miundombinu mibovu iliyopo Stendi ya Bomang'ombe hasa barabara. Barabara ya eneo hili lililopo Hai Wilayani Kilimanjaro limetawaliwa na mashimo mengi na...
  15. peno hasegawa

    Mwajuma Nasombe, DED Moshi Manispaa afukuzwe kazi

    Kwa furaha kubwa ya Wana mwanga, mungu amempeleka Makamu wa Rais Dr Mpango kuitembelea wilaya ya Mwanga . Madudu aliyayakuta huko, aliyekuwa DED wa mwanga akahamishiwa Moshi Manispaa, Mwajuma ,anastahiki kufukuzwa kazi na kufungwa. Miradi yote huko ni wizi mkubwa, na tuna hisi huyu mama...
  16. Ndagullachrles

    Mbunge Saasisha anunua kesi ya Profesa Ndakidemi Moshi Vijijini

    Hakuna shaka kwamba makada wa chama cha mapinduzi(ccm)Katika maeneo mbali ya nchi wameanza mikakati ya chini kwa chini ya kujijenga kisiasa kuelekea uchaguzi Mkuu hapo mwakani. Baadhi yao wameunda makundi ya kuwasaidia kuendesha harakati hizi huku baadhi yao walitumia mbinu chafu za kuwachafua...
  17. Bushmamy

    Moshi: Vijana watano wanaodaiwa kumlawiti kijana mwenye tatizo la Afya ya Akili waachiwa kinyemela na Polisi

    Tukio hili la kusikitisha lilotokea mwezi uliopita katika Kata ya Machame Narumu huko wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro limeleta sintofahamu katika familia ya kijana huyo ya watuhumiwa kuachiwa huru hata kabla ya upelelezi na kesi kufikishwa Mahakamani. Wanafamilia wa kijana huyo wamesikitishwa...
  18. Ndagullachrles

    BIL 1.8 zapelekwa kujenga Hospitali ya Wilaya ya Moshi

    Serikalai yamwaga Bilioni 1.8 ujenzi Hospital ya wilaya Moshi SERIKALI imetoa shlingi Biliioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa Hospital ya wilaya ya Moshi inayojengwa Kata ya Mabogini ukanda wa tambarare itakayohudumia wananchi Zaidi ya 535803 kutoka majimbo ya Moshi Vijijini na jimbo la Vunjo...
  19. Ndagullachrles

    Wanalipwa na nani kumchafua Mbunge Moshi Mjini na Meya

    Kuna mtandao wa kikundi cha vijana kinatumia mitandao ya kijamii yakiwamo magroup ya WhatsApp kumchafua mbunge wa moshi Mjini,Priscus Tarimo pamoja na meya wa manipsaa ya moshi Zuberi Kidumo. Nauliza tu vijana hawa wanalipwa na nani na katika kuwachafua huko wanapata nini na malengo yao ni yapi...
  20. L

    Kwanini CHADEMA haifanyi maandamano Moshi?

    Nimekuwa najiuliza sana kuna nn Moshi hadi maandamano na vurugu za chadema zinafanyikiaga arusha, watu wa arusha mjiangalie sana. This is cheap politics.
Back
Top Bottom