Mkudha: Rais wa CAF asema Burna Boy alizuiwa katika uwanja wa ndege wa Morocco kwa sababu ya thamani ya vito vyake vya dhahabu
Rais wa CAF, Patrice Motsepe, anasema Burna Boy alizuiwa kwa muda mfupi katika uwanja wa ndege wa Morocco baada ya maafisa kuhoji kiasi cha vito vya dhahabu alichokuwa...
AFCON 2025 Final Preview:
Wenyeji Morocco wako tayari kwa pambano kubwa dhidi ya mabingwa wa 2021 Senegal
Mchuano wa fainali wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 unapingwa rasmi leo usiku m,ajira ya saa 4. Wenyeji na waliokuwa vinara kabla ya mashindano kuanza, Morocco, watakutana na mabingwa wa...
Nigeria vs Morocco katika Nusu Fainali ya AFCON 2025 mchezo uliopangwa kufanyika kwenye Stade Prince Moulay Abdallah, Rabat ni pambano la kihistoria kati ya nchi mbili kuu za soka barani Afrika ambazo zote zimefika kwenye hatua hii bila kupoteza mechi yoyote katika mashindano haya.
Nigeria ina...
Mashabiki wengi wa timu ya Taifa ya Nigeria wanahofu ya kukosa nafasi ya kuingia uwanjani kuiunga mkono timu yao hii leo , kwa sababu mashabiki wa Morocco wamenunua tiketi zote. Hii sio mara ya kwanza kwa Morocco kufanya hivyo, walifanya hivyo mwaka jana wakati wa fainali ya timu ya wanawake...
Wale mnaowatakia ama kuwaombea mabaya waarabu waondolewe kwenye mashindano haya ya AFCON na wabakie weusi tu mmefeli, tena sio kidogo, hakunaga duaa mbaya kwa mwenzio na ikakubaliwa.... huo ni ubaguzi na chuki ya wazi kabisa, wewe kama una imani haswaa na khofu ya Mwenyezi Mungu huwezi kufanya...
Vichawa vya CCM kujeni mjibu hili swali
Kwa nini jana timu ya Tanzania walishindwa kulinda Amani ilihali mwamzi alikuwa akiwasisitiza kuilinda hiyo Amani
Nini kilitokea hadi washindwe kuilinda Amani?
Kati ya Haki na Amani, nini kitangulie ili kulinda Neno moja wapo ya hayo mawili?
Hongereni sana majemadari wetu na makomandoo wetu wachezaji wa taifa stars kwa kuionesha Dunia jinsi Gani morocco ni timu MBOVU kupita maelezo.
Nina hakika asilimia mia refa kiazi mbatata wa mali amepewa rushwa na kwa mpira huo mbovu wa kubebwa basi nitamke wazi kua Senegal wanabeba kombe hili...
Kazi ngumu zaidi hapa duniani na ya kutisha zaidi, ni pale mtu anapofikia kiwango cha kudharau uhai wa mtu mwingine na kuamua kuwa muuwaji
Ujasiri huuhuu utumike pia siku ya Kesho kumwangamiza Morocco nyumbani kwake kwa magori yasiyo na idadi kama kulivyofanyika No 29
Kwa kuwa tunaongozwa na...
Katika kipindi ambacho Taifa linapitia majonzi kwa familia nyingi kupoteza Ndugu zao Kwa matukio ya tarehe 29 Oktoba 2025, na kuacha mayatima wengi bila hata mayatima Hawa kutokuwa wazazi wao wamezikwa wapi, na wengine waliouwawa kufuatwa majumbani kuchukuliwa na kuuwawa pasipo kushiriki...
Kwa wale ambao hawajawahi kufuatilia maendeleo ya Nchi tofauti tofauti za Africa
Nafikiriki kupitia AFCON inayo endelea kwa sasa, wameweza kupata picha Morocco ni kama Ulaya.
Pamoja na kuwa na viwanja vya mpira vya hadhi ya Ulaya takriban 9 vikiwemo vya kupokea mashabiki takribani 95,000 kwa...
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ndiye ataongoza msafara wa Tanzania katika Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) zitakazofanyika Morocco kuanzia Desemba 21, mwaka huu hadi Januari 18, mwakani.
Hilo limethibitishwa leo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na...
(1) Largest country in Africa by land mass - Algeria 🇩🇿
2) Largest country in Africa by population - Nigeria 🇳🇬
3) Largest movie industry in Africa - Nigeria 🇳🇬
4) Largest democracy in Africa - Nigeria 🇳🇬
5) Richest Black man - Nigerian 🇳🇬
6) Richest African woman - Nigerian 🇳🇬
7) largest...
AFCON 2025 – Analysis
AFCON 2025 itafanyika nchini Morocco
Mashindano yataanza 21 Desemba 2025 na yatamalizika 18 Januari 2026.
Timu 24 zimepangwa kushindania.
Kutakuwa na makundi 6 (Group A–F) na kila kundi litakuwa na timu 4.
Group A Morocco, Mali, Zambia, Comoros
Group B Egypt, South...
Tesla hadi sasa ameshafungua stores zake kwenye mabala matano kati ya saba, kasoro Africa na Antarctica.
Sio mara ya kwanza Elon Musk aliwahi kuulizwa kuhusu kutaka kuingia Africa, sana sana bara alipozaliwa South Africa, akaishia kusema tu soon.
Sasa nadhani ndio soon aliyoisema, kwani...
Vijana wa Morocco wameingia barabarani, wanakiwasha, ifahamike hawa vijana wa Gen Z huwapumbazi kwa chochote, hata utumie dini hawatakuskliza, boresha uchumi na mifumo tu basi................
A lot seems to be riding on a speech by Morocco’s King Mohammed VI before politicians on Friday, to...
Waandamanaji waliendelea kujitokeza mitaani nchini Madagascar Oktoba 7, 2025, siku moja baada ya Rais Andry Rajoelina kumteua waziri mkuu mpya Jenerali wa Jeshi, katika juhudi za kupunguza mzozo unaoendelea. Katika mji mkuu Antananarivo, hasira zimeenea hadi sekta ya afya, ambapo mamia ya...
Barabarani hapa karibu kabisa na kituo cha osterbay polisi kuna gari NI la polisi ila linafanana na Yale ya jeshi la IDF kwa juu kina kama radar inazunguka Ile kazi yake ni Ku detect kitu gani naomba mwenye uelewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.