Kwa wale ambao hawajawahi kufuatilia maendeleo ya Nchi tofauti tofauti za Africa
Nafikiriki kupitia AFCON inayo endelea kwa sasa, wameweza kupata picha Morocco ni kama Ulaya.
Pamoja na kuwa na viwanja vya mpira vya hadhi ya Ulaya takriban 9 vikiwemo vya kupokea mashabiki takribani 95,000 kwa...
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda ndiye ataongoza msafara wa Tanzania katika Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) zitakazofanyika Morocco kuanzia Desemba 21, mwaka huu hadi Januari 18, mwakani.
Hilo limethibitishwa leo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na...
(1) Largest country in Africa by land mass - Algeria 🇩🇿
2) Largest country in Africa by population - Nigeria 🇳🇬
3) Largest movie industry in Africa - Nigeria 🇳🇬
4) Largest democracy in Africa - Nigeria 🇳🇬
5) Richest Black man - Nigerian 🇳🇬
6) Richest African woman - Nigerian 🇳🇬
7) largest...
AFCON 2025 – Analysis
AFCON 2025 itafanyika nchini Morocco
Mashindano yataanza 21 Desemba 2025 na yatamalizika 18 Januari 2026.
Timu 24 zimepangwa kushindania.
Kutakuwa na makundi 6 (Group A–F) na kila kundi litakuwa na timu 4.
Group A Morocco, Mali, Zambia, Comoros
Group B Egypt, South...
Tesla hadi sasa ameshafungua stores zake kwenye mabala matano kati ya saba, kasoro Africa na Antarctica.
Sio mara ya kwanza Elon Musk aliwahi kuulizwa kuhusu kutaka kuingia Africa, sana sana bara alipozaliwa South Africa, akaishia kusema tu soon.
Sasa nadhani ndio soon aliyoisema, kwani...
Vijana wa Morocco wameingia barabarani, wanakiwasha, ifahamike hawa vijana wa Gen Z huwapumbazi kwa chochote, hata utumie dini hawatakuskliza, boresha uchumi na mifumo tu basi................
A lot seems to be riding on a speech by Morocco’s King Mohammed VI before politicians on Friday, to...
Waandamanaji waliendelea kujitokeza mitaani nchini Madagascar Oktoba 7, 2025, siku moja baada ya Rais Andry Rajoelina kumteua waziri mkuu mpya Jenerali wa Jeshi, katika juhudi za kupunguza mzozo unaoendelea. Katika mji mkuu Antananarivo, hasira zimeenea hadi sekta ya afya, ambapo mamia ya...
Barabarani hapa karibu kabisa na kituo cha osterbay polisi kuna gari NI la polisi ila linafanana na Yale ya jeshi la IDF kwa juu kina kama radar inazunguka Ile kazi yake ni Ku detect kitu gani naomba mwenye uelewa
Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 yanayotarajiwa kufanyika nchini Morocco kuanzia tarehe 21 Desemba 2025 hadi 18 Januari 2026, yamefungua rasmi milango ya volunteering program. Takribani watu 4,000 wanahitajika kushiriki katika maandalizi na uendeshaji wa mashindano haya...
Kocha Morocco binafsi nakukubali sana, mimi ni katika wale wachache walioamini utaipeleka timu Morocco na nikaposti uzi humu Jf, nimeona wachezaji wanakuelewa sana, tatizo lako kubwa kocha la Afcon ni kuogopa kufungwa kulikopitiliza, timu yetu ya taifa imeimarika, ina uwezo kwanini kila mechi...
Happy Sunday Wana JF,
Sina maneno mengi nadhani Wana sports fainali tulitazama wote iliyofanyikia pale Kenya.
Nilishawahi kusema Morocco ni football brain na Jana wameonyesha hicho kitu, nawaza tu kwa wachezaji wetu nani angewaza ku- shoot vile ( out of sarcasm).
Tuna Cha kujifunza kutoka kwa...
Uwezo wa Morocco na wenzake akina Julio umeishia pale.
Morocco anateua wachezaji kwa kubalance badala ya uwezo wa wachezaji. Anaacha nje wachezaji wenye uwezo na kuingiza ndani wachezaji kwa kuzingatia Simba, Yanga, Azam na Zanzibar. Mfano, unamuacha Chikola nje na kumuingiza Shehani ni sawa...
Habari wadau,
Nimeangalia game ya Senegal Vs Morocco kiukweli Hawa jamaa wanajua ball , Wana utulivu wa kutosha.
Nimeamini Kuna uhusiano wa njaa/umasikini na Wenge, wachezaji wetu Wana Wenge sana sababu ni malezi ya njaa Kali mfano mzuri Kibu D, Clement Mzize Hawa jamaa Wana Wenge...
Rangi ya Mtume sio poa kabisa, leo wamewaondoa Senegal kwa Penati.
Ndio maana kwenye mechi na Taifa langu sikuwa na sababu ya kumlaumu mtu, mlima mrefu ule
Wacha Mungu wale jamani, kalagabaho
Kwann tunune,
Kwanini tukasirike,
Kwanini tuwe na huzuni.
Wazanzibar tumefurahi
Note kuna Wazanzibar na Wazanzibara.
Ata sisi Wazanzibar tungependa kuona timu zetu katika mashindano ya CAF FiFA na kadhalika ila kwasababu ya Muungano huu wa dhulma tumekosa.
TANGANYIKA KUTOLEWA NA MOROCCO...
Sidhani kama imewahi kutokea duniani wananchi wengi kufurahia timu yao kufungwa na timu ya tafa jingine katika mashindano makubwa kama haya ya CHAN.
Ni jambo la kipekee ambalo linaonyesha kuna jambo kubwa sana linatotupata Watanzania, na hatua za haraka sana zinatakiwa kulirekebisha.
Namsihi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.