morocco

  1. W

    JamiiForums Tanzania Iran yawalipa wanamitandao kusambaza video ya makorongo ya Morocco kudanganya ni makombora ya Marekani ili kuficha aibu, wairan wazalendo wawaumbua

    WaIran wazalendo wanaoiona video hii hasa walio nje ya nchi wenye access ya Internet wanasema wao huongea Kifarsi, hawaitambui lugha inayotumika. wamorocco nao hawataki vivutio vyao kutumika kipropaganda, na lugha inayoongelewa ni yao, Kiarabu chenye lafudhi ya Darija ya kimoroko.
  2. Sun Zu

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi wa Morocco wauawa kwa Makombora Huko Haifa

    K Katika mfululizo wa mashambulizi ya Makombora ya Iran huko Israel duru zinaeleza kuuawa kwa maofisa wawili wakubwa wa kijeshi Wa Jeshi la Morocco waliokuwa katika mafunzo ya pamoja na IDF huko Haifa. Aidha mwanajeshi mmoja alinusurika kwa majeraha na yupo anatibiwa. My take: Hawa waisrael...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Twiga Stars yaanza vizuri kuelekea Wafcon 2025 Morocco

    21 June 2025 Dar es Salaam, Tanzania TWIGA STARS YATWAA KOMBE LA MICHUANO YA CECAFA FULL MATCH FINAL CECAFA 2025 KENYA VS TANZANIA https://m.youtube.com/watch?v=0D7FA4xY-K4 Hivyo michuano ya CECAFA yazidi kuiimarisha kuelekea michuano ya mataifa ya kiafrika ya mpira wa miguu WAFCON itakayoanza...
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa sijui ni kwanini Simba SC, Serikali, TFF, CCM na Wanachama wa Simba SC walikuwa wanalazimisha Fainali ya CAFCC ipigwe kwa Mkapa

    Tafadhali anayezijua sababu hizo aniwekee hapa.
  5. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Morocco ni mwenyeji wa ofisi kubwa za soka ila fainali inafanyika kwao halafu VAR haifanyi kazi

    Mpira wa Africa una figisu sana. Inashangaza sana kuna wenzetu wanaunga mkono figisu inazofanyiwa Simba au wanatoa vimaneno pale Simba inapofanya kila inachoweza kupata ushindi, hawajui kuna siku kwa unyonge wetu na timu zao zinaweza kuja kuwa wahanga na kuwa harakati za Simba zinafungua njia...
  6. Metronidazole 400mg

    JamiiForums Tanzania Natabiri, Simba atapata Goli la ugenini kule Morocco na litafungwa kwa njia ya kichwa (Kibu D/Mukwala)

    Kwanini??, sina taaluma ya coaching ila kwa akili ya kawaida ya kimpira kama umefanikiwa kurejea mechi mbalimbali za hawa RS BERKANE utakubaliana na mimi ni wabovu mno kwenye SET PIECES/free kicks....ni matumaini yangu bench la ufundi wameliona hilo Tegemea kwenye mechi ya kesho JEAN CHARLES...
  7. President of China

    JamiiForums Tanzania Tanzania na Ufalme wa Morocco zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa matumizi ya teknolojia katika Sekta ya Nishati

    Tanzania na Ufalme wa Morocco zimekubaliana kuimarisha ushirikiano wa matumizi ya teknolojia katika Sekta ya Nishati ili kuiwezesha sekta hiyo kuwa na mchango endelevu nchini. Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko alipokutana na Mwenyeji wake...
  8. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Simba wapo Morocco, Yanga tumeenda Kongo kuulizia kuhusu Elie Mpanzu. Dunia haipo fair kabisa

    Sisi ndo sisi..... Hakuna kama sisi.
  9. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Tanzania Je, mashabiki wa Simba wanaolalamika gharama za safari kwenda Morocco wana hoja?

    Hili jambo linahitaji tafakuri ya kutosha. Kwanza, nianze kwa kusema kwa mtazamo wangu faida kubwa ya Simba kupata ndege kubwa ya serikali kwenda Morocco haipo kwenye kupeleka mashabiki au kupunguza ungaunga za njiani wakati wa kwenda Morocco. Faida ipo kwenye kurudi baada tu ya mechi na kuwa...
  10. Zogoo da khama

    JamiiForums Tanzania Safari ya Simba kwenda Morocco

    Awali ya yote niipongeze Serikali kwa kutoa usafiri wa bure kwenda Morocco jambo hili litaongeza idadi ya wapenzi, wanachama na mashabiki kwenda kuishangilia timu yetu. Jambo la kuhudhunisha ni uongozi kuambua kuwalipisha watu nauli ya $1,200 hii nini maana yake? Nani yupo nyuma ya hii...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Serikali yaipa Ndege Simba kuipeleka Morocco kwa Fainali ya CAF

    Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof Palamagamba Kabudi akiwa Bungeni Jijini Dodoma leo May 08,2025 kwa niaba ya Serikali inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza rasmi kwamba Serikali itawapa Simba SC ndege kuelekea Morocco kwenye mchezo wa fainali. “Baada ya...
  12. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Full Time: Tanzania 2 Morocco 3 | Futsal WAFCON 2025 | Final Match

    Game iko on fire
  13. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Waziri Ndumbaro amshukuru Rais Samia kuisaidia Simba kufika fainali CAFCC, awaombea ruhusa wabunge wakaishabikie Simba Morocco

    Waziri wa katiba na sheria Damas Ndumbaro amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuisaidia timu ya Simba kufika hatua ya fainali katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika huku akiwaombea ruhusa kwa naibu spika wabunge kadha kwenda nchini Morocco...
  14. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Full Time: Tanzania 3 - 2 Cameroon | Futsal WAFCON 2025 - Morocco | Semi Final

    Baada ya kuwacharaza Senegal 3-1 na kuongoza Group letu, leo tunakipiga Semi Final. Dada na mama zetu wanaendelea kutuwakilisha uko leo wakicheza na Cameroon. Kikosi chetu hiki hapa: Tumeshinda tena asanteeeeee 3-2 Tanzania kwakua tmeshinda, sio tu kwamba tutaenda kucheza Fainali ila pia...
  15. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot for sale in Kinondoni Morocco

    Plot Available For Sale. Location: Kinondoni Morocco, Uporoto Street, behind Vodacom building. Size: SQM 3326. Price: USD 1.2 Million (Negotiable). Document: Clean Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply. Contacts: 0784 829565...
  16. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot available for Sale in Kinondoni Morocco Uporoto St.

    Plot Available For Sale. Location: Kinondoni Morocco, Uporoto Street. Size: SQM 3326. Price: USD 1.2 Million (Negotiable). Document: Clean Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply. Contacts: 0784 829565 or 0767 833345 @prathlimited
  17. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot Available For Sale in Kinondoni Morocco

    Plot Available For Sale. Location: Kinondoni Morocco, Uporoto Street. Size: SQM 3326. Price: USD 1.2 Million (Negotiable). Document: Clean Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply. Contacts: 0784 829565 or 0767 833345 @prathlimited
  18. Mwanadiplomasia Mahiri

    JamiiForums Tanzania Full time: Morocco 2-0 Tanzania | FIFA World Cup Qualification | Stade Municipal d’ Oujda | 26.03.2025

    Usiku wa leo saa 6:30 timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars itashuka dimbani kuwakabili wenyeji wao Morocco. Ni mchezo wa aina yake kwani Morocco anaongoza kundi E akiwa na alama 12 huku Taifa Stars ikiwa nafasi ya 3 ikiwa na alama 6. Je Taifa Stars itaondoka na alama 3 au ni Morocco? Mchezo...
  19. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Weka ubashiri wako hapa; Morocco Vs Taifa Stars

    Taifa stars ana mchezo mgumu dhidi ya Morocco kuelekea kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2026 pale Marekani. Ni mechi ya ugenini ambayo itapigwa saa 6:30 usiku. Tabiri utabiri wako tuone nani atakuwa sahihi
  20. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Nilisahau kupost hii au Mods wameondoa? Video matukio ya kutisha Morocco

    SIJAJUA KAMA NLIPOST HALAFU KUNA MODERATOR HAKUPENDA AU NILISAHAU KUPOST. ILA NITASHANGAA COZ HABARI IPO NA VIDEO IPO. MASLAHI YA NANI YAMEGUSWA HAPA? https://africabriefing.com/shocking-abuse-of-black-migrants-in-morocco/
Back
Top Bottom