moja

Movement for Justice in Africa (MOJA) is a pan-African left-wing political organization in Liberia, with chapters in Ghana and The Gambia. It was founded in 1973 by Togba Nah Tipoteh, who is currently its president.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa gharama ya msingi wa ghorofa moja

    Habarini ndugu zangu, Naomba kujua makisio ya gharama ya msingi na first floor kwa square meter. Naelewa gharama ya msingi inatofautiana na mambo mengi,ila kwa sasa nataka kujua makisio tu ya karibu na gharama halisi. Asanteni sana kwa mda wenu.
  2. ThisisDenis

    JamiiForums Tanzania Namna ya kuifanya Afrika kuwa nchi moja

    Ili tuweze kuiunganisha afrika sisi kama watanzania ni kuwaunganisha kua nchi moja na kuiongoza. Tumeona nchi nyingi zinapitia migogoro na migogoro hiyo siso kama watanzania ndio tunaenda kuwasaidia, ikiwemo ifuatayo:- 1. Vurugu za kampeni 2. Vurugu baada ya matokeo 3. Makundi ya kihuni yasio na...
  3. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Tukitumia mfumo huu, hakika tutamaliza ajali za barabarani kwa Siku moja Tu

    Habari za jioni ndugu na marafiki, Poleni sana kwa wote mnao endelea kuathirika na ajali zinazo endelea kutokea barabarani. Hili jambo limelilazimu kukaa chini namimi nitoe mapendekezo yangu ili tuweze kutokomeza ajali zinazo endelea kumaliza ndugu na marafiki zetu. Lakini kabla ya yote...
  4. Mr Why

    JamiiForums Tanzania FEMINA HIP popote mlipo uzi wangu uwafikie, rudisheni program yenu ili muwaokoe vijana na janga la ngono, mimba za utotoni na mapenzi ya jinsia moja

    https://feminahip.or.tz/ FEMINA HIP mmepotelea wapi ndugu zetu? Zamani mlitoa elimu kwa vijana juu ya maambukizi ya magonjwa ya ngono, mimba za utotoni nakadhalika. Vijana wengi tulivutiwa sana na Magazine za Femina Hip kwasababu tulifahamu njia zote mbaya za kutuingiza kwenye vishawishi vibaya...
  5. Knock life

    JamiiForums Tanzania Yericko Nyerere umeua ndege wawili kwa jiwe moja

    Hongera Sana Yericko Nyerere. Mpaka sasa umeua Biashara yako ya vitabu , maana watu wameshaanika Elimu yako na Kuonekana hauna Elimu inayoeleweka hivyo wamesema wanaenda kuchoma vitabu vyako vilivyojaa uongo . Pili umeaua Credibility yako na watu waliokuwa wanakupa Kazi za Urundi umeme . Huu...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Yericko nyerere hana sifa hata moja ya kuhoji weledi wa Tundu Lissu ni kijana anaeishi kwa uchawa na ujanja ujanja

    Yericko alizaliwa huko Iringa miaka ya 1984 akiwa ni mtoto pacha na mwenzake. Yericko ni miongoni mwa watoto 7 wa mzee MKANA kutoka huko kwao.Kijijini Maduma Iringa! Baada ya kumaliza shule ya msingi huko maduma alijiunga na secondary (jina kapuni) huko mtwara! Baada ya kumaliza secondary na...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji wa moja kwa moja wa China barani Afrika umekuwa na mchango mkubwa kwa maendeleo barani Afrika

    Uwekezaji wa moja kwa moja kutoka China barani Afrika, umekuwa ni sehemu ya mtindo mpya ya ushirikiano wa kiuchumi kati ya China na nchi za Afrika, ambao tangu mwaka 2000 umekuwa ukiongezeka kwa kiwango cha zaidi ya asilimia 25 kwa mwaka, na kupungua kiasi kutokana na changamoto za janga la...
  8. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Asilimia kubwa ya Biashara /uwekezaji wa Watanzania/Wazawa hautupi nafasi ya kuja siku moja kushindana huko Duniani

    Watalawa hawawaambii ukweli huu kwamba Hizi aina ya Idea/wekezaji/biashara zetu wabongo hazitupi nafasi hata kidogo ya kuja kushindana huko Duniani one day yes. Huwezi kuja kushindana Duniani kwa; Kuwekeza kwenye pub kari kari Hoteli Duka la Uchuuzi Guest house Mabasi Car wash na kadhalika...
  9. KABAKA28

    JamiiForums Tanzania ChatGPT ameshindwa swali langu?

    AI imetumia zaidi ya siku moja sasa, mpaka sasa haijatoa jibu la swali/task langu. Kila nikiuliza update ananiambia nisubiri analifanyia kazi. Au uwezo wake umeishia hapo?
  10. Mama Ametufikia

    JamiiForums Tanzania Tumeshawaambia msisafiri na familia nzima katika gari moja ila hamsikii

    Watz ni watu wajinga Sana . Tulishawaambia kuwa wasisafiri na gari moja Kama familia nzima. Baba Mama Watoto Hawa wote unawakuta wanapanda gari moja na ikitokea ajari wanafariki wote. Tumewawapa Sana onyo na masomo na upo Uzi upo umu JF.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Lissu,kisa moja kubwa

    Mbowe alishaonyesha kila dalili ya kung'atuka.Gia imebadilika baada ya kauli tata za TL. TL katoka Ulaya na wala hakufika ofisi za chams kwanza tuhuma kuwa hakuna maandalizi ya uchaguzi. TL kama makamu Mwenyekiti,mwanasheria na mafia chams katoa tuhuma za rushes ambazo aidha angeacha mfumo wa...
  12. Magical power

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kushikwa hivyo😀 hata siku moja au ndio unaona leo kwenye picha hujawahi😀

    Ulishawahi kushikwa hivyo😀 hata siku moja au ndio unaona leo kwenye picha hujawahi😀
  13. Patriot missile

    JamiiForums Tanzania PICHA: Miamba ya Upinzani yenye misimamo isiyoyumba hata nukta moja yakutana kwaajili ya mazungumzo juu ya hatma ya CHADEMA na WanaChadema

    Taifa hili limewekwa na Mungu mikononi mwenu hakikisheni mnasimama kuhesabiwa hata kama ni kwa chapa ya moto.
  14. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Simba haiwezi ondoka na points tatu Kagera. Hilo wasahau. Wakipata moja washukuru sana

    Game imeshaisha. Ngoma ya watoto haikeshi. Kagera si mnyonge na hawezi anza leo kuwa mnyonge. Simba wakipata point moja washukuru sana. Wakachinje na ng'ombe. Kagera huwa kwao wanapocheza na mikia si team ya mzaha. Hawana urafiki kabisa na mikia. Tunashukuru huwa hawatuangushi.
  15. muhala.jr

    JamiiForums Tanzania Mshangao: Wanafunzi wa shule moja ya msingi wote wamechaguliwa secondari moja

    Leo nilikutana na bwana mdogo mmoja akaniomba nitazamie shule aliochaguliwa kwenda kidato cha kwanza. Cha ajabu nikakuta wanafunzi wote 230+ wamechaguliwa kwenda secondary moja yani ni kama kuhamisha shule nzima kwend secondary moja. Je hii imenifanya nitafakari Sana namna selection...
  16. Mbwa dume

    JamiiForums Tanzania Kamwe usimwamini Mwanamke, hata awe Dada yako wa tumbo moja

    Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri... Niende kwenye mada Kwa dunia ilipofika sasa usimwamini kiumbe anayeitwa mwanamke hata awe dadako wa kuzaliwa tumbo moja (labda kidogo mama mzazi japo naye usiweke 100% kwa hawa mama wa kizazi kipya) Nakumbuka kipindi flani nilikuwaga natoka kisirisiri na mke...
  17. monta

    JamiiForums Tanzania Kitu gani unatamani ukifute maishani moja kwa moja?

    Wakuu kwenye haya maisha kuna vitu vingi unavyotamani visiwepo kabisa kwa namna moja au nyingine. Kwangu mimi natamani nifute magonjwa,umaskini,ajali yani visiwepo kabisa kwenye uso wa dunia.🤭 Je,ni kitu/vitu gani unatamani ukifute kwenye haya maisha kisiwepo moja kwa moja?
  18. Scared

    JamiiForums Tanzania Mbowe ameongoza CHADEMA kwa miaka 20 sasa, hii ni demokrasia gani?

    Huyu kiongozi chama chake Kila siku kinaongelea habari za demokrasia ila yeye hataki kutoka hapo miaka zaidi ya 20 anakula ruzuku za chama, na ndio maana Lissu kamshtukia kaamua agombee uenyekiti na hili swala nilishalizungumza humu anafanya hiki chama kama chama chake.
  19. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Tanzania Hii ni moja ya mechi zenye tokeo moja, ama sivyo Ban Inahusika

    Si wanasema mpira una matokeo matatu? Hii match dhidi ya mashujaa ni TOKEO MOJA TU. YANGA INASHINDA.BASI. HAMNA JINGINE. AU KAMA NI MATOKEO MATATU BASI 1. YANGA INASHINDA 2. YANGA ITAIFUNGA MASHUJAA 3. YANGA ITAISHENYENTA MASHUJAA Kinyume na hapo moderatora niwapige ban ya siku 3.
  20. Mama Ametufikia

    JamiiForums Tanzania Kuna kanisa moja dogo lipo Kigamboni, naomba utembelee hapo kama unahitaji kukutana na mtumishi wa kweli na utanishukuru

    Kuna watu wapo na karama kubwa Ila hawajitangazi wala kujipigia Promo radion wala kwenye TV . Na hawa ndo watumishi wa kweli . Nitatoa ushuhuda ufuatao . Pale katika kanisa lake 90% ya wanaosali ni vijana wa Chuo na pale hakuna hata Kijana mmoja anamaliza chuo na kubaki Mtaani kuwa Jobless ...
Back
Top Bottom