mmoja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Mbunge mmoja anatosha kuwakilisha mkoa mzima

    Nami natia neno kwenye kauli ya spika Ndugai. Kama mwalimu mmoja anaweza kufundisha masomo matano basi mbunge mmoja pia anatosha kuwakilisha mkoa mzima. Hakuna haja ya kuwa na wabunge 400 kasoro. Wakati huku chini kuna madiwani na wakurugenzi wa halmashauriri hawa ndio wanaojua changamoto za...
  2. Ukioa mke mmoja akili haifanyinyi kazi!

    Amani iwe kwenu! Natoa wito kwa wanaume ili upate mafanikio ya haraka, oa mke zaidi ya mmoja, utaona nacho maanisha.
  3. Spika Ndugai ataka Walimu waongezewe kazi wafundishe masomo kuanzia matatu ili kupunguza uhaba wa Walimu

    Akikazia mawazo ya wabunge kama kawaida yake nimemsikia Spika ameitaka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuwaongezea masomo ya kufundisha walimu kwa maana ya kuwafundisha kuyafundisha tangu wakiwa vyuoni hasa vyuo vikuu ili kupunguza uhaba wa walimu na kuongeza tija kwa Wanafunzi. Akitolea...
  4. Tunakubalije Watanzania wote maisha yetu yashikiliwe na mtu mmoja?

    Hakika hotuba aliyotoa jana Rais wetu Magufuli imeniacha na huzuni kubwa, kwa kuwa nilichobaini kutokana na hotuba hiyo ni kama maisha yetu watanzania wote, tumeyaweka rehani na kiyakabidhi mikononi mwa mtu mmoja, ambaye ndiye Rais wa nchi. Katika hotuba hiyo tulimsikia Rais akikanusha vikali...
  5. M

    Nini kinasababisha wake za marafiki zangu wawili Joni wa Kanda ya Ziwa na Huseni wa Visiwani Zanzibar mmoja kuwa Mchangamfu na mwingine Mpweke?

    Na kinachonishangaza zaidi Joni ni mkubwa Kiumri na hata Kipesa kuliko Huseni ila cha Kushangaza ni Siku chache sana tu Huseni wa Visiwani Zanzibar kapanda Cheo cha Kusimamia Karafuu za Zanzibar huku akitanguliwa Siku nyingi na Joni ambaye ana Cheo cha Kusimamia Samaki zote za Kanda ya Ziwa ila...
  6. Tuliwaambieni siyo kila mmoja anasujudia Kiingereza kama ninyi. Oneni EU wanachofanya baada ya BrExit

    Kwa wale waumini wa kiingereza, tuliwaambieni ya kuwa siyo kila mmoja anakiabudu hiki kilugha cha Malkia kama Wakenya mnavyodhani. Pia ikumbukwe, kwa Wakenya wote, siyo kila mzungu mweupe anajua Kiingereza. Kuna idadi kubwa sana ya wazungu ambao Kiingereza kwao wala siyo kitu. Ndiyo maana sasa...
  7. Waziri wa zamani wa Masuala ya kigeni Ethiopia auawa na Jeshi

    Jeshi la Ethiopia limetangaza kwamba limemuua waziri wa zamani wa mambo ya nje Seyoum Mesfin, mmoja wa wanachama waanzilishi wa chama Tigray People’s Liberation Front (TPLF). Bw.Seyum, ambaye alihudumu kama waziri wa mambo ya nje wa kutoka mwaka 1991 hadi 2010, aliuawa pamoja na wanachama...
  8. Ila JK ni mtu mmoja mjanja sana

    Leo nimeamini kua JK ni mjanja sana,. Check response yake kwenye maswali aliyoulizwa na Salama Jabir. Salama: Kwanini watu wanakupenda sana. JK: Waulize haohao wanaonipenda mimi sijui bwana Salama: Lakini unajua kuwa tunakupenda JK: (Pause kidogo)... Najua kuwa hamnichukii Ila JK wewe sawa tu...
  9. Mmoja anipe ufafanuzi wa mambo haya hapa!

    Nimekutana na hivi vitu: Foreign company Private company Limited by guarantee Private company Limited by shares Public company Limited by shares Unlimited Private company Sina uzoefu na usajili wa kampuni nataka kujua hili.
  10. Limekaaje suala la madalali kulipwa kodi ya mwezi mmoja?

    Habari za muda huu wakuu? Heri ya mwaka mpya pia. Leo nimekuja kuuliza na kutafuta majibu ya juu ya suala la madalali wa nyumba kulipwa kodi ya nyumba ya mwezi. Hili suala limekaaje hii ni baada ya kuona mijadala kadha wa kadha kupitia mitandao ya kijamii tofauti. Je, kwanini kodi ya mwezi...
  11. J

    Serikali yaagiza mikataba ya wafanyakazi kukaguliwa upya ndani ya mwezi mmoja!

    Waziri wa kazi, ajira na wenye ulemavu Jenister Mhagama amemtaka Katibu Mkuu wa wizara yake kukagua mkataba ya watumishi wote kwenye miradi ya kimkakati. Mhagama amesema uhakiki huo una lengo la kuangalia kama mikataba hiyo ya kazi inakidhi vigezo vya kisheria na ina tija. Chanzo: ITV habari...
  12. Mwaka 1999 kurudi nyuma ilikuwa ngumu sana kuchaguliwa shule ya Sekondari ya Serikali. Waliobahatika walijulikana kata nzima. Je, wewe ni mmoja wao?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu watanzania; Mwaka 1999 kurudi nyuma ilikuwa ngumu sana kuchaguliwa shule ya secondary ya serikali. Wachache waliobahatika walijulikana kata/tarafa nzima. Je, wewe ni mmoja wao? TABORA BOYS SECONDARY SCHOOL Juzi...
  13. Yanga ipo miguuni mwa mtu huyu mmoja

    Yanga kwa sasa inaweza kukupa burudani ambayo hata mpenzi wako hawezi kukupa, inafurahisha eeh? Wana umoja, hawakati tamaa kizembe, spirit ya kufight. Na safu nzuri ya ulinzi. Wanapewa sifa wengi lakini wanamsahau bwana mdogo mmoja. Well, utaona tu yanga wanapopata goli, kocha kaze anamuita...
  14. Mikasa ya Dunia: Mtu asiye na Kivuli, anayeweza kuwa sehemu mbili kwa wakati Mmoja

    Ni siku ya Pili sasa nipo Tanga na hapa leo nimekutana na jambo la kushangaza sana. Nikiwa nmepark gari wanaosha nikaona ni vyema nikae sehemu nipate Dafu pia na kubadilishana mawili matatu na wenyeki kwenye Bench wakicheza Draft. Hii dunia imejaa visa,mikasa,vioja na maajabau yake.kuna mambo...
  15. N

    Waziri Lukuvi: Kuanzia sasa ukiwa na kiwanja kinatakiwa kiitwe kwa jina lako na la mke wako

    Serikali imesema sheria inaruhusu hati ya kumiliki viwanja kuandikwa majina ya familia ikiwemo mume, mke pamoja na watoto hatua ambayo itasaidia kuondoa migogoro ya mirathi. Akizungumza leo Jumamosi Desemba 19, mkoani Kilimanjaro. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliamu Lukuvi...
  16. Hivi ni kwanini akina mama wengi siku hizi kunyonyesha imekuwa kama adhabu hususani mtoto anapofikisha umri wa mwaka mmoja?

    Naomba mnisaidie mawazo zaidi Kwani inafahamika kiafya mtoto inabidi anyonye mpaka miaka miwili kwa afya njema kiakili sasa imekuwa tofauti kwa Sasa kwani wengi wameshindwa kufikisha muda huo. Na wale wanaofikisha wanakuwa Kama kwenye adhabu ati mtoto anaponyonya maziwa hayatoki vizuri au...
  17. K

    Kwanini mara nyingi undugu wa baba mmoja kwa mama mbalimbali huwa una nguvu zaidi kuliko undugu wa mama mmoja kwa baba mbalimbali?

    Habari zenu watu wa humu. Leo nikasema niulize swali, huenda tukajua na kupata hekima ya jambo hili. Swali liko wazi na jambo hili huwa tunaliona sana. Kwanini hali huwa iko hivi? Karibuni nyote tujadili jambo hili. Ahsanteni.
  18. U

    Mtu mmoja afariki na wengine wapo mahututi baada ya kula mzoga wa nguruwe pori

    Katavi. Katarina Zebedayo (38) mkazi wa kijiji cha Kabanga Halmashauri ya wilaya ya Tanganyika amefariki dunia huku watu wengine wanane wakilazwa baada ya kula nyama ya mzoga wa nguruwe pori. Akizungumza leo Jumamosi Desemba 12, 2020 kamanda wa polisi Mkoa wa Katavi, Benjamin Kuzaga amesema...
  19. Double Standards: Waliokosea kuapa walikuwa wawili lakini mkosaji akawa mmoja

    Nilifanikiwa kufatilia tukio la uapishaji wa mawaziri na wa kwanza ambae zoezi hili halikumuendea vyema ni Bi. Mwanaidi Ali Hamisi kwenye nafasi ya Naibu Waziri wa Fedha ambaye kiapo husika alikirejea mara tatu kwa maelezo ya Balozi Kijazi, Mara zote hizo Rais Magufuli alimvumilia mpaka...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…