mlokole

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Frank Wanjiru

    Ricardo Kaka: Mlokole safi aliezima ndoto na ufalme wa Manuel Rui Costa pale Milan

    Zamani sana Jijini Milan nchini Italia miaka 16 iliopita kulikuwa na jina la Playmaker mmoja mstaarabu mno, muungwana kutoka Mji wa vipaji wa Sao Paulo ni kama vile Morogoro kwa Tanzania, Ricardo Izecson dos Santos Leite maarufu kama 'Kakà' Nani asiyemkumbuka fundi huyu ambaye anatua uwanja wa...
  2. Daspauls 238

    Rafiki aligeuka kuwa mnafiki kisa mwanamke

    Wana jf nawapeni hii thread ni very critical Tulikutana na that guy o level mimi alikuwa mgeni mimi ndo niliye mpokea skonga na mtaani Kwa hiyo huo ndo ulikuwa mwazo wa urafiki wetu ilifikia hatua our fellow students wakatuonea wivu kutokana na lifestyle yetu Tulipoizoea shule yeye ndiye...
  3. nzalendo

    Baada ya kuwa mlokole

    Nikaanza kukumbuka dhambi nilizowahi kufanya na kutubu. Cha ajabu nimekuwa na uwezo wa kukumbuka moja baada ya nyingine. Lakini iliyonishangaza zaidi ni hii ya UZINZI...aisee kumbe nimetembea na wanawake wengi sana. Wengi sana siwakumbuki majina lakini nawakumbuka sura,tukio na mahala...
  4. GENTAMYCINE

    Tarehe 28 Desemba, 2023 Mlokole aliyeishi Uarabuni anarejea rasmi Nyumbani kwenye Vyura na Kutangazwa

    Haya wale tuliompenda Kipindi cha nyuma na Kumpa yale Magunia yetu ya Mchele, Viazi na Sukari pale Temeke tafadhali tuanze Kuviandaa tena kwani anarejea rasmi Nyumbani. Yaani huku kuna Mpaka Ukome, kule kuna Maksi za Darasani, hapa jirani ( kati ) kuna Ufunguo unaofungua Kokote na kule mbali...
  5. To yeye

    Siyo lazima uwe mlokole

    Siyo lazima upige kelele wakati wa kuomba ndiyo uonekane wafanya ibada ya kweli,waweza sali kimyakimya na bado moyo wako ukapata amani Siyo lazima uwe mlokole ndiyo utende mema,waweza kuwa mwema tu kimatendo na kimaneno bila kujiita mlokole....yatupasa kutenda mema Sijui ila nahisi ni nyakati...
  6. Mganguzi

    Mimi ni Mkristo mlokole, nimeanza kukosa Imani na ukristo nahisi Uislam ndiyo dini ya kweli

    Napenda sana ibada, naamini kupitia ibada mambo mengi yanaweza kuwa sawa! Napata shida kidogo na Imani yangu ya ukristo, miaka ya 1980 -1990 ibada ilikuwa nzuri sana kokote utakakoenda kusali na kanisa lolote utakaloingia Ibada zilikuwa na nguvu halisi ya Mungu. Hapakuwa na makorombwezo Wala...
  7. C

    Nimeshangazwa na binti anayejiita Mlokole ila anajiuza kwa siri

    Binti yuko hapa mkoa x na yuko kwenye magroup ya WhatsApp ya walokole ila anajiuza. Tofauti tu ni kwamba inabidi utumie gharama kubwa kujificha, ili kanisani aendelee kuaminika. Huko kanisani kwanini msiwafundishe kuwa wawazi tu ili kuachana na unafiki wa kujifanya mcha Mungu hadi mitandaoni...
  8. OKW BOBAN SUNZU

    Huyu mwanamke ni mzuri kama malaika, halafu mlokole

    Wakati wa kufunga shule nilienda kumchukua kijana wangu shule moja ipo Kahama. Katika kusubiri maelekezo nikaona dada mmoja akiwa amekaa peke yake huku akichezea simu. Moyo ulilipuka sana baada ya macho yetu kugongana. Nikawa kama nimepigwa shoti ya umeme. Niliona ni kama nimekutana na malaika...
  9. N

    huyu mlokole kanikwaza, ingawa naogopa kusema hivyo!

    alikuwa na shida ya muda mrefu, na nimehangaika kweli kumsaidia nikiwa kama msimamizi wake wa kituo. Katika kumsaidia huko nimejikuta nikikaripiwa, nikizodolewa, nikishutumiwa n.k. Juzi, baada ya miaka kama mitatu ya kuhangaika, amefanikiwa. Cha ajabu baada tu ya mafanikio anatuma ujumbe, 'dunia...
  10. Money Penny

    Nimeingia kwenye 18 ya Mapenzi ya Mlokole lakini nimetoka kapa

    Leo natoka Kanisani nakutana na mdogo wangu mmoja kachooooka maskini, nikahisi labda ana Corona. Katika ongea ongea nae nikagundua kachapwaaa kimapenzi, aliingia kwenye 18 ya dada mmoja Mlokole alafu akaona hapati anachokitaka akasepa mwenyewe😂😂🏃🏃 Kijana: Sister Penny bwana, me nilimpenda Sana...
Back
Top Bottom