Video:- Mama mlokole akamatwa akiwanga Babati

Video:- Mama mlokole akamatwa akiwanga Babati

Bujibuji Simba Nyamaume

Platinum Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
78,157
Reaction score
166,115
Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Mama Gift, mkazi wa Kitongoji cha Mbugani, Kijiji cha Magugu wilayani Babati, amenusurika kushambuliwa baada ya kudaiwa kukutwa usiku akifukia dawa zinazohusishwa na imani za kishirikina katika nyumba ya jirani.

Mwanamke huyo mara baada ya kugundulika na kijana anaye fahamika kwa jina la Idrisa Mohamed amesema alimkuta Mama huyo akiwa tayari ameshafukia dawa kisha akaondoka na kurudi tena huku akipewa maelekezo ya sehemu alipo fukia dawa hiyo hapakuwa sahihi mara baada ya kugundulika mwanamke huyo alianza kumshambulia kijana huyo kwa kutaka kumchoma na kisu,

Baadhi ya wananchi waliofika katika eneo hilo wameshtushwa na tukio hilo kwani mwanamke huyo amejikita sana katika Maombi pamoja na uimbaji wa kwaya tukio lililowaacha wanananchi wengi midomo wazi wamesema mwanamke huyo amekuwa msumbufu kwa matukio kadhaa huku wakikemea vikali tabia hizo,

Kwa upande wake mwenyekiti wa kitongoji cha mbugani Jonasi Daudi amekiri kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema alipokea taarifa hizo majira ya saatisa kasoro za usiku ndipo alipofika katika eneo la tukio na kumkuta mwanamke huyo akiwa utupu na mara baada ya kuhojiwa mwanamke huyo alikiri kwa kusema alikuja kuroga na kuhisi kuwa alitupiwa magonjwa na jirani yake ndipo alipo chukua jukumu la kwenda kuchimbia dawa hizo.

View: https://www.facebook.com/share/v/1EJfSL1Ztg/
 
haya mambo ya kishirikina siku hizi kuna watu wanadiriki mpaka kuvuk mito na bahari kwenda kununua uchawi.
yani siku hizi katika watu 10, basi wanne ni wachawi au wanajihusisha sana na maswala ya kishirikina.
Bado nafanya uchunguzi kutaka kufahamu kwa nini siku hizi uchawi na ushirikina vimetamalaki sana hasa kwa vijana below 45 years of age.
 
Mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Mama Gift, mkazi wa Kitongoji cha Mbugani, Kijiji cha Magugu wilayani Babati, amenusurika kushambuliwa baada ya kudaiwa kukutwa usiku akifukia dawa zinazohusishwa na imani za kishirikina katika nyumba ya jirani.

Mwanamke huyo mara baada ya kugundulika na kijana anaye fahamika kwa jina la Idrisa Mohamed amesema alimkuta Mama huyo akiwa tayari ameshafukia dawa kisha akaondoka na kurudi tena huku akipewa maelekezo ya sehemu alipo fukia dawa hiyo hapakuwa sahihi mara baada ya kugundulika mwanamke huyo alianza kumshambulia kijana huyo kwa kutaka kumchoma na kisu,

Baadhi ya wananchi waliofika katika eneo hilo wameshtushwa na tukio hilo kwani mwanamke huyo amejikita sana katika Maombi pamoja na uimbaji wa kwaya tukio lililowaacha wanananchi wengi midomo wazi wamesema mwanamke huyo amekuwa msumbufu kwa matukio kadhaa huku wakikemea vikali tabia hizo,

Kwa upande wake mwenyekiti wa kitongoji cha mbugani Jonasi Daudi amekiri kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema alipokea taarifa hizo majira ya saatisa kasoro za usiku ndipo alipofika katika eneo la tukio na kumkuta mwanamke huyo akiwa utupu na mara baada ya kuhojiwa mwanamke huyo alikiri kwa kusema alikuja kuroga na kuhisi kuwa alitupiwa magonjwa na jirani yake ndipo alipo chukua jukumu la kwenda kuchimbia dawa hizo.

View: https://www.facebook.com/share/v/1EJfSL1Ztg/


Hakuna mlokole ambaye anawanga. Ulokole ni kinyume na kuwanga. Automatically mtu anapoanza kuwanga anakuwa ameacha ulokole ikiwa alikuwa mlokole. Ni sawa na kusema Padre na mke wake . Tunajua Padre huwa haoi. So anapooa tu anakosa sifa ya Upadre
 
Hakuna mlokole ambaye anawanga. Ulokole ni kinyume na kuwanga. Automatically mtu anapoanza kuwanga anakuwa ameacha ulokole ikiwa alikuwa mlokole. Ni sawa na kusema Padre na mke wake . Tunajua Padre huwa haoi. So anapooa tu anakosa sifa ya Upadre
Naona umekuja kumtetea mwenzio.
 
haya mambo ya kishirikina siku hizi kuna watu wanadiriki mpaka kuvuk mito na bahari kwenda kununua uchawi.
yani siku hizi katika watu 10, basi wanne ni wachawi au wanajihusisha sana na maswala ya kishirikina.
Bado nafanya uchunguzi kutaka kufahamu kwa nini siku hizi uchawi na ushirikina vimetamalaki sana hasa kwa vijana below 45 years of age.
Pressure ya utajiri, kila mtu anataka kuendesha G-wagon 😆😆
 
Yuda 1:4
4 Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo.
 
1 Yohana 2:19
19 Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.

20 Nanyi mmepakwa mafuta na Yeye aliye Mtakatifu nanyi mnajua yote.
 
Kaona arud kwenye tamaduni yake🤣🤣🤣 uko kwingine kunampotezea muda tu😂😂😂

Tawile mama mchawi🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
 
Hakuna mlokole ambaye anawanga. Ulokole ni kinyume na kuwanga. Automatically mtu anapoanza kuwanga anakuwa ameacha ulokole ikiwa alikuwa mlokole. Ni sawa na kusema Padre na mke wake . Tunajua Padre huwa haoi. So anapooa tu anakosa sifa ya Upadre
Nguvu inatumika sana , utalia mwaka huu . 😀 😀 Wanga wote ,wachawi wavaa suti yaani yote manabii , mwamposa , kakobe , suguye , malisha kama wote ..Museven kawaita juzi kuombe wagonjwa wa Ebola , wamekimbia kama sio wao .
 
Back
Top Bottom