Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
Leo natoka Kanisani nakutana na mdogo wangu mmoja kachooooka maskini, nikahisi labda ana Corona.
Katika ongea ongea nae nikagundua kachapwaaa kimapenzi, aliingia kwenye 18 ya dada mmoja Mlokole alafu akaona hapati anachokitaka akasepa mwenyeweππππ
Kijana: Sister Penny bwana, me nilimpenda Sana Yule demu Yule pale lakini Kila nikijaribu kurusha ndoano zangu zinafeli,
Money Penny: Ulirushaje ndoano tena dogo
Kijana: nilirusha ndoano nyingi Sana Ila hizi 3 ndio zinanifanya mpaka sasa nicheke na kuchoka
Ndoano ya 1:
Nilimkaribisha nyumbani kwetu, ndugu zangu sikuhio walishangaa nawafukuza namleta Mlokole, akaja akapokelewa vizuri siku hio Kila MTU nyumbani aliokoka, akaombea nyumba nzima akaondoka, nyumbani wakacheka Sana kuona nimempata binti WA KILOKOLE, basi katika wasiliana wasiliana nakaniambia anataka kuwa Kila wiki tuwe tunafanya fellowship pale nyumbani, basi Kila ijumaa kukawa na fellow-ship home Kwa muda WA Miezi 2.
Nikawa nafunga na mie na kuomba nikawa kama Mlokole lakini nimependa so najifunza Kwa bidii kuwa Mlokole
Ndoano ya 2:
Alikuwa ashazoea mazingira ya home, nikamkaribisha aje home skumoja tukawa tunaangalia Tv, movie ya Mapenzi, ikafika sehemu wale waigizaji kwenye TV wakawa wana-kiss akawa anaona aibu, nikamsogelea na Mimi nimbusu akanistopisha, namwuliza kulikoni Ananiambia unajua nimewaza mbali sana hapa, nilipowaona hawa waigizaji nikamkimbia Abraham na Sarah, nikawaza kipindi Chao walipendanaje?! Dah, hapo niliposkia ananiletea sound za Biblia nikakata hata stimu ya kuendeleza nilichopanga
Ndoano ya 3:
Nikamwambia naota mapepo, nahisi majibu Mahaba usiku nikilala. naomba uje uombee chumba changu, akakubali.
Akaja kesho yake tukafanya maombi chumbani kwangu fresh alipomaliza, nikamshika namvuta aje kitandani, si unajua tena dada Penny...
Money penny: enhe, ikawaje?!
Kijana: doh nilifeli mbaya
Akaniambia Kwa ukali unataka kunifanya nini?wataka kunibaka?! Nikamkatalia, nikamwambia unajua sister Mimi nakupenda Sana, sitaki kukuchezea nataka kukuoaππ
Yule demu akawa analainika aliposkia anataka kuolewa akaniambia ngoja nikwambie Kaka yangu, sio kwamba nakataa kuolewa na wewe, lakini juzi Kaka Fredi pale Kanisani kwenye sekshen ya maombi alinifuata akaniambia nimekuomba, mume wako ni Godi, kwahiyo sioni wapi nitaolewa na wewe ndio nashangaa na Mimi namwamini Sana Kaka Fredi NI mwana maombi WA nguvu hivyo Mimi na wewe haitawezekana kuoana.
Money penny: doh pole Sana Mdogowangu, sasa unafanyaje?!
Kijana: nikamfukuza, akaondoka na akawa akinitafuta kwenye simu sipokei, hasa ule muda WA fellowship akipiga sipokei nikaishia kumblockπΆ
Lakini hapa nimemwona na Godi roho imeniuma Sana, Yani binti aliingia kwenye 18 zangu, kinachoniuma NI kwamba sijui nimekosa kosaje?!
Jamani kijana WA watu alifeli wapi?! Mnaweza kunisaidia?! πππππππππ
Chezeiya Mungu anakuona weweπππππ
Katika ongea ongea nae nikagundua kachapwaaa kimapenzi, aliingia kwenye 18 ya dada mmoja Mlokole alafu akaona hapati anachokitaka akasepa mwenyeweππππ
Kijana: Sister Penny bwana, me nilimpenda Sana Yule demu Yule pale lakini Kila nikijaribu kurusha ndoano zangu zinafeli,
Money Penny: Ulirushaje ndoano tena dogo
Kijana: nilirusha ndoano nyingi Sana Ila hizi 3 ndio zinanifanya mpaka sasa nicheke na kuchoka
Ndoano ya 1:
Nilimkaribisha nyumbani kwetu, ndugu zangu sikuhio walishangaa nawafukuza namleta Mlokole, akaja akapokelewa vizuri siku hio Kila MTU nyumbani aliokoka, akaombea nyumba nzima akaondoka, nyumbani wakacheka Sana kuona nimempata binti WA KILOKOLE, basi katika wasiliana wasiliana nakaniambia anataka kuwa Kila wiki tuwe tunafanya fellowship pale nyumbani, basi Kila ijumaa kukawa na fellow-ship home Kwa muda WA Miezi 2.
Nikawa nafunga na mie na kuomba nikawa kama Mlokole lakini nimependa so najifunza Kwa bidii kuwa Mlokole
Ndoano ya 2:
Alikuwa ashazoea mazingira ya home, nikamkaribisha aje home skumoja tukawa tunaangalia Tv, movie ya Mapenzi, ikafika sehemu wale waigizaji kwenye TV wakawa wana-kiss akawa anaona aibu, nikamsogelea na Mimi nimbusu akanistopisha, namwuliza kulikoni Ananiambia unajua nimewaza mbali sana hapa, nilipowaona hawa waigizaji nikamkimbia Abraham na Sarah, nikawaza kipindi Chao walipendanaje?! Dah, hapo niliposkia ananiletea sound za Biblia nikakata hata stimu ya kuendeleza nilichopanga
Ndoano ya 3:
Nikamwambia naota mapepo, nahisi majibu Mahaba usiku nikilala. naomba uje uombee chumba changu, akakubali.
Akaja kesho yake tukafanya maombi chumbani kwangu fresh alipomaliza, nikamshika namvuta aje kitandani, si unajua tena dada Penny...
Money penny: enhe, ikawaje?!
Kijana: doh nilifeli mbaya
Akaniambia Kwa ukali unataka kunifanya nini?wataka kunibaka?! Nikamkatalia, nikamwambia unajua sister Mimi nakupenda Sana, sitaki kukuchezea nataka kukuoaππ
Yule demu akawa analainika aliposkia anataka kuolewa akaniambia ngoja nikwambie Kaka yangu, sio kwamba nakataa kuolewa na wewe, lakini juzi Kaka Fredi pale Kanisani kwenye sekshen ya maombi alinifuata akaniambia nimekuomba, mume wako ni Godi, kwahiyo sioni wapi nitaolewa na wewe ndio nashangaa na Mimi namwamini Sana Kaka Fredi NI mwana maombi WA nguvu hivyo Mimi na wewe haitawezekana kuoana.
Money penny: doh pole Sana Mdogowangu, sasa unafanyaje?!
Kijana: nikamfukuza, akaondoka na akawa akinitafuta kwenye simu sipokei, hasa ule muda WA fellowship akipiga sipokei nikaishia kumblockπΆ
Lakini hapa nimemwona na Godi roho imeniuma Sana, Yani binti aliingia kwenye 18 zangu, kinachoniuma NI kwamba sijui nimekosa kosaje?!
Jamani kijana WA watu alifeli wapi?! Mnaweza kunisaidia?! πππππππππ
Chezeiya Mungu anakuona weweπππππ