Wakuu kwema humu?
Nahitaji chumba masters, cha kisasa maeneo ya Mwenge, Mlimani City au Chuo (Ardhi) au Sinza
Nataka kuhamia tarehe 1 mpaka 3 December!
Bajeti yangu haitazidi 200,000/- TZS
Nicheki +255676095799 kama una pictures kwa maeneo hayo.
Asanteni
Wakuu kwema humu?
Nahitaji chumba masters, cha kisasa maeneo ya Mwenge, Mlimani City au Chuo (Ardhi)
Nataka kuhamia tarehe 1 mpaka 3 December!
Bajeti yangu haitazidi 200,000/- TZS
Nicheki +255676095799 kama una pictures kwa maeneo hayo.
Asanteni
Nilidhani wahaya wangefanyia tamasha hili mkoani kwao ili wapaone palivyochoka. Lakini wameamua kukaa Dar wakiangalia jiji linavyopendeza, huku makwao pakiwa choka mbaya.
Ilikuwa ni fursa kwao kuangalia nyumba za babu na baba zao zilivyochoka, mazao ya ndizi na kahawa yalivyoanguka, jinsi...
Kariakoo itaendelea kuheshimiwa tuu hata wafanye nini hawawezi kuhamisha wafanyabiashara eti waje kununua bidhaa pale
Hata Mlimani city kipindi inajengwa watu waliaminishwa kua sijui posta au Kariakoo watu watakua hawaendi tena lakini sasa mnajionea wenyewe Kariakoo inakimbiza.
Mi naona...
Kiwanja kinauzwa Makongo CCM
Kilomita moja kutoka Makongo Road
Kiwanja kina njia pande mbili/Conner Plot
Kiwanja kipo juu tambarare
Kiwanja kina SQM 1500+
Kiwanja kinauzwa Milioni 210 tu(maongezi yapo)
Kiwanja kimezungukwa na nyumba za kisasa
Dakika 10 upo Mlimani city
☎️+255 699 255 530
Beach...
Habari za muda huu...
Viwanja vinauzwa..
📍 Vipo goba kantina (Makongo road)
⌚ Dakika mbili kutoka Goba center 🔥
⌚ Dakika 15 kutoka Mlimani city 🔥
🛣️ Mita 30 tuu kutoka barabara ya lami
🏟️ Upande wa kulia kutokea Mlimani city
🏟️ Upande wa kushoto kutoka Goba
🏟️ Viwanja vipo tambalale...
Jamani nimekua selected course ya bachelor of arts with education Duce lakini ninahitaji kwenda udsm mlimani kusoma course nyingine nifanyaje ili kubadili admission
Hapo jana tarehe 19/08/2024 kuna mwanafunzi amekuja akiwa na shida ya kufunguliwa account hapo kwenye Tawi lenu, mmemkatalia.
Eti kwa sababu hana kitambulisho cha NIDA, wakati ambapo anautambulisho kamili toka serikali ya mtaa.
Lakini alipoenda kwenye benki ya CRDB walikubali kumfungulia...
Nina bicon ambayo niliipata katika mlima.Ikiwa katika mdomo wa chupa ya wine na kugundishwa kwa cementi Kali.
Mwonekano wake
Ni shaba
Imechongwa
Ia ngazi
Nini nimefanya -nimejaribu kupata watu wenye kujua maana ya yalimo katika bicon hiyo sijapata.
Nini Nahitaji: Msaada wa wapi naweza kupata...
Ndugu wajumbe,ubora wa Vyuo Vikuu hupimwa Kwa Wingi wa tafiti na machapisho ya kitaalmu.
Kwa mujibu wa taarifa ya jarida la masuala ya Elimu ya Juu,Limetaha Vyuo 10 Bora Barani Afrika Kusini mwa jangwa la Sahara ambapo Chuo Kikuu Muhimbili kimeshika nafasi ya 3 na Chuo Kikuu Ardhi kimeshika...
Kama ndivyo, nashauri BRT ya Mbagala kutokea Gerezani na kutokea Magomeni zianze kazi mara moja.
Hakuna maana kukamilisha mradi halafu mnasubiri wiki 2 kabla ya uchaguzi ndio mnazindua, huo ni usanii.
Sikupiga picha.
Hapa ukikaa unaweza kudhani watu wapo serious na maisha kumbe maigizo tu na vikao vingi hapa vimekaa kitapeli tapeli
Watu wawili ama watatu wanakaa kwenye moja ya coffee shops na mmoja anafungua laptop ama anashika notebook na pen
Ukitazama walivo serious ni kama kikao kizito cha biashara...
Jamani mji mtamu huuu acha tu, kuna waturuki wanapita majumbani mwa watu.
Sasa mdada mmoja hamad akapenda rice cooker inapika na nyama nk, akambiwa laki 3 kwa mariposa ya miezi 4.
Majuzi kapita mlimani City kakita ile ile 140,000 kilichomsaidia alipiga tu picha na bei iendelèe kumuumiza.
Jana...
Watch TBC live !
https://www.youtube.com/live/WG68iDTH28I?si=g2NmH5hKoui5ZSRX
Anayezungumza ni Mkurugenzi wa Idara ya Huduma kwa Wawekezaji wa TIC, Bw. Revocatus Arbogast Rasheli.
Kwa vile sio wote wenye access na TBC saa hizi, nitawaletea kwa uchache yale ya muhimu aliyozungumza.
Mkurugenzi...
Wanabodi
OVERVIEW
The Tanzania Investment Centre (TIC) was established in 1997 by the Tanzania Investment Act to be the primary agency of the government to coordinate, encourage, promote and facilitate investment in Tanzania and to advise the government on investment policy and related...
Nipo hapa Mlimani City ndani ya Jiji la Chalamila (Dar es Salaam), taarifa ikufikie kuwa vijana wa security yaani wale walinzi wanaovaa yale mashati maupe wameandaa maandamanonmadogo ya mgomo wa ndani ya jengo hilo, wanadai hawajalipwa mshahara, imekuwa kero, hiyo maandamano yasiyo rasmi...
Mgeni rasmi katika utoaji wa Tuzo hizi ni Balozi Ombeni Yohana Sefue.
1. Tuzo ya Mafanikio ya Maisha katika Uandishi wa Habari (Life Time Achievements Award)
Tido Mhando
Mshindi wa Tuzo ya Mafanikio ya Maisha katika Uandishi wa Habari
(Lifetime Achievement in Journalism Award - LAJA 2023)
2...
Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.
Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji...
Kudra za mwenyezi Mungu ndiyo zimetupa afya na nguvu ya kufanikisha kuandika hili na wewe ndugu, kupata nguvu na uwezo wa kusoma hili andiko kuhusu
Nchini Tanzania, Mzozo wa Mkataba wa Mlimani City umekuwa mada ya mjadala kwa muda mrefu. Mzozo huo unahusu ujenzi wa jengo la maduka lenye thamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.