mkongo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jaji Mfawidhi

    Serikali izifunge na kuzihamisha Shule za Sekondari Mkongo na Utete za Rufiji kwenda Dar

    Kufuatia Mafuriko ya Rufiji , kutokana na uzembe wa serikali na kukurupuka baada ya Envirment impact Assessment kuonyesha lile bwawa likijengwa litakuwa na uharibifu wa eco system na jamii sasa mafuroko makubwa yaja. Majumba yamefunikwa, mashamba yamefunikwa na sasa huenda shule hizo...
  2. Rayvanny wa jamiiForums

    Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo

    Yani Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo.
  3. Mjukuu wa kigogo

    Waraka kwa DED wa Halmashauri ya Mji wa Bunda

    Waraka kwa DED wa Halmashauri ya Mji wa Bunda, Emmanuel Mkongo Heshima yako mkuu! Nitajitahidi kuandika andiko fupi sana!Nakumbuka kwenye vikao vyako vingi huwa unawaencorage sana wana Bunda kupambana zaidi badala ya kukata tamaa! Awali hawakuweza kukuelewa ila Kwa sasa wamekuelewa vizuri...
  4. Analogia Malenga

    Kidunda Mtu mbaya kuzichapa na mkongo

    Leo ndio ile siku Suleiman Kidunda anazichapa na mkongo. Kwasasa tunacheki burudani ya mapambano ya utangulizi taarifa zaidi kukujia hivi punde
  5. Wadiz

    Wanaotumia mwiko wa mkongo na puturu wanatanua sufuria na sisi wengine tusiotumia hatutoshei tena kuivisha ugali kwenye hizo sufuria

    Naomba ujumbe huu ufike tuokoe vijana na mabinti, ndoa, na mahsiono hali ni mbaya sana.na sio fair kabisa. Upishi wa penzi na tendo ni Jambo asilia na ni vema libaki kuwa asilia. Matumizi ya mkongo, puturu na viagra huleta mifarakano na sintofahamu. Maisha ya sasa si ajabu kumkuta binti mdogo...
  6. K

    Nabii Mkongo aliyetabiri vifo Kenya!

    Huyu nabii ni mkongo mkimbizi yuko huko Iowa katabiri miezi minane imepita
  7. FRANCIS DA DON

    Mkongo wa taifa wa mawasiliano , kwa uwekezaji tuliofanya ilibidi GB1 ya data tuuziwe 100/=

    Tanzania imepitiwa na mkongo wa kimataifa wa mawasiliano uliopita chini ya bahari, na kwa ufuatiliaji mdogo nilioufanya juu ya gharama halisi za uendeshaji na utunzaji wa mradi husika (running & Maintanance) , GB 1 ya data ingepaswa tuuziwe kwa shs.100/= , na hapa bado wangepata faida kubwa...
  8. GENTAMYCINE

    Mwamposa huyu mtoa shuhuda wako anayejifanya ni Mkongo amekosea Script ya uongo na maelekezo yako ya Kitapeli?

    Kaanza kwanza Kujitambulisha kuwa Yeye ni Mkongo ( kutoka DRC ) kisha akaanza Kuzungumza kwa Lafudhi Feki ya Kikongo baadae akajisahau akarejea katika Lafudhi yake ya Asili ya Wanawake wa Kiuswahilini wa Temeke Mtongani. Mwamposa Mimi GENTAMYCINE nimekaa na kuishi na Wakongo na labda tu...
Back
Top Bottom