Mimi ni kijana, nina miaka 37 kwa sasa, niliwahi kua na girlfriend tu,tukapata mtoto mmoja, tokana na changamoto za hapa na pale, tuliachana na kila mtu akawa na maisha yake, mtoto wangu kwa sasa yuko form 1.
Kazi yangu nimeajiriliwa serikalini, kwenye moja ya taasisi zake za vyombo vya Ulinzi...