mkandarasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kitotole

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: Djodjo ngonda wa Wenge musica bcbg

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: DJODJO NGONDA 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: WENGE MUSICA BCBG 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍 : SULE MKANDARASI ^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^^ 𝙒𝙖𝙠𝙖𝙩𝙞 𝙢𝙬𝙞𝙣𝙜𝙞𝙣𝙚 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙨𝙖𝙛𝙖𝙧𝙞 𝙮𝙖 𝙢𝙖𝙝𝙪𝙨𝙞𝙖𝙣𝙤 𝙝𝙪𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙩𝙤𝙠𝙚𝙖 𝙪𝙠𝙖𝙟𝙞𝙠𝙪𝙩𝙖 𝙠𝙬𝙖 𝙗𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞 𝙢𝙗𝙖𝙮𝙖 𝙪𝙢𝙚𝙖𝙣𝙜𝙪𝙠𝙞𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙥𝙚𝙣𝙯𝙞 𝙯𝙞𝙩𝙤 𝙠𝙬𝙖 𝙢𝙩𝙪 𝙖𝙨𝙞𝙮𝙚𝙟𝙖𝙧𝙞 𝙝𝙞𝙨𝙞𝙖 𝙯𝙖𝙠𝙤 𝙣𝙖 𝙝𝙞𝙫𝙮𝙤 𝙪𝙠𝙖𝙟𝙞𝙠𝙪𝙩𝙖 𝙪𝙢𝙚𝙗𝙖𝙠𝙞 𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙣𝙞...
  2. L

    David Kafulila ni Mkuu wa Mkoa Pekee Nchini ambaye amewahi kumpa Amri Mkandarasi kurudia Barabara kwa gharama zake

    Ndugu zangu Watanzania, Napowaambia kuwa David Kafulila ni Chuma nakuwa namaanisha ni CHuma kwelikweli na Mzalendo wa dhati Wa Taifa letu,ambaye huwa hayumbi wala kuyumbishwa wala kutetereshwa wala kuogopa wala kupoozwa wala kuangalia ni nani anayepambana naye au aliye mbele yake. Chuma David...
  3. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Suma Fyandomo Alia na Barabara ya Mbeya, Ataka Mkandarasi Apewe Fedha kwa Wakati

    MBUNGE SUMA FYANDOMO Alia na Barabara ya Mbeya, Ataka Mkandarasi Apewe Fedha kwa Wakati "Nampongeza Waziri Bashungwa, anafanya kazi nzuri sana, anaitendea haki Wizara ya Ujenzi, endelea na moyo wako huo unaokutuma kufanya kazi za Watanzania, sina mashaka na wewe unafanya kazi kubwa sana...
  4. Kitotole

    Tafsiri ya wimbo 'Centieme dossier' wa Fally Ipupa

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : Centieme dossier 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : FALLY IPUPA 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI "𝙅𝙚 𝙠𝙪𝙢𝙥𝙖𝙩𝙖 𝙢𝙬𝙚𝙣𝙯𝙖 𝙨𝙖𝙝𝙞𝙝𝙞 𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙞𝙨𝙝𝙞 𝙣𝙖𝙮𝙚 𝙣𝙞 𝙗𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞 𝙖𝙢𝙖 𝙟𝙞𝙩𝙖𝙝𝙖𝙙𝙖 𝙯𝙖 𝙢𝙩𝙪?? 𝙅𝙞𝙗𝙪 𝙗𝙖𝙠𝙞 𝙣𝙖𝙡𝙤. 𝙄𝙡𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙝𝙞𝙠𝙞 𝙠𝙞𝙗𝙖𝙤 𝙩𝙪𝙣𝙖𝙖𝙢𝙗𝙞𝙬𝙖 𝙠𝙬𝙖𝙢𝙗𝙖 𝙠𝙪𝙣𝙖 𝙢𝙩𝙪 𝙖𝙢𝙚𝙥𝙞𝙩𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙢𝙖𝙝𝙪𝙨𝙞𝙖𝙣𝙤 𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞 𝙩𝙖𝙠𝙧𝙞𝙗𝙖𝙣𝙞 99 𝙗𝙞𝙡𝙖 𝙢𝙖𝙛𝙖𝙣𝙞𝙠𝙞𝙤, 𝙞𝙡𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚...
  5. Kitotole

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : YA JEAN 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU SYSTEM 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI '''''''''''''''''' '''''''''''''''''''' '''''''''''''

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : YA JEAN 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU SYSTEM 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI '''''''''''''''''' '''''''''''''''''''' ''''''''''''' 𝙅𝙚! 𝙐𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙢𝙬𝙖𝙘𝙝𝙖 𝙢𝙥𝙚𝙣𝙯𝙞 𝙬𝙖𝙠𝙤 𝙠𝙬𝙖 𝙨𝙖𝙗𝙖𝙗𝙪 𝙮𝙖 𝙣𝙙𝙤𝙩𝙤 𝙢𝙗𝙖𝙮𝙖 𝙪𝙡𝙞𝙮𝙤𝙤𝙩𝙖 𝙠𝙪𝙢𝙝𝙪𝙨𝙪 𝙮𝙚𝙮𝙚? 𝙆𝙞𝙨𝙖 𝙘𝙝𝙖 𝙝𝙪𝙪 𝙬𝙞𝙢𝙗𝙤 𝙠𝙞𝙣𝙖𝙢𝙪𝙝𝙪𝙨𝙪 𝙢𝙬𝙖𝙣𝙖 𝙢𝙖𝙢𝙖 𝙖𝙡𝙞𝙮𝙚𝙖𝙘𝙝𝙞𝙠𝙖 𝙣𝙖 𝙢𝙪𝙢𝙚𝙬𝙚 𝙨𝙖𝙗𝙖𝙗𝙪 𝙩𝙪 𝙢𝙪𝙢𝙚𝙬𝙚 𝙖𝙡𝙞𝙢𝙪𝙤𝙩𝙖...
  6. A

    KERO Mkandarasi anayechimba mchanga Mto Tegeta anaharibu eneo kubwa la barabara, TARURA wapo kimya tu

    Asante sana JF kwa kutupa Wananchi platform kama hii za kueleza kero, dukuduku na mengine yote ambayo inaweza kuwa ngumu kuyafikisha kwenye mamlaka mbalimbali za binafsi na Serikali hasa kwa sisi Wananchi wa kawaida. Kero yangu ambayo pia naweza kusema ni kero yetu inahusu mamlaka ya Wakala wa...
  7. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Awabana Wataalam na Mkandarasi SITE, "Naweza Kufukuza Timu Yote"

    BASHUNGWA AWABANA WATAALAM NA MKANDARASI SITE, "NAWEZA KUFUKUZA TIMU YOTE" Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amesema hatasita kubadilisha timu ya Wataalam na Mkandarasi wanaoendelea na kazi ya kurejesha mawasiliano ya barabara ya Dar es salaam- Lindi katika eneo la Nangurukuru kutokana na...
  8. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Aagiza Kukamatwa kwa Mkandarasi anayejenga Daraja la Mpiji Chini - Dar

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kinondoni (OCD), Mohamed Senkondo, kumshikilia Meneja Mradi wa Kampuni ya China Railway Seventh Group (CRSG), anayetekeleza ujenzi Daraja la Mpiji Chini (mita 140) pamoja na barabara unganishi (km 2.3), ahojiwe ili...
  9. T

    Mkandarasi Mshauri Mwanza Airport

    Naomba kumjua mkandarasi mshauri kwenye uboreshaji wa miundo mbinu uwanja wa ndege wa kimataifa Mwanza, ni nani hasa ili tujua uwezo wake.
  10. Suley2019

    Albert Chalamila atishia kumuweka ndani mkandarasi wa Mwendokasi

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema haridhishwi na kasi ya ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo haraka ya Gongo la Mboto na kama hali itaendelea hivyo atamuweka ndani mkandarasi au mhandisi mshauri. Ametoa kauli hiyo leo Aprili 18, 2024 alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa...
  11. Stephano Mgendanyi

    Waziri Bashungwa Akagua Barabara ya Matai - Tatanda, Aagiza Mkandarasi Kusimamiwa Kikamilifu

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuagiza Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Rukwa kumsimamia Mkandarasi Kampuni ya China Geo-Engineering Corporation anayejenga barabara ya Matai – Kasesya; sehemu ya kwanza Matai – Tatanda (km 25) kwa kiwango cha lami ili uweze kukamilika...
  12. A

    KERO Ujenzi wa barabara ya Safina Olasiti hadi Morombo-Arusha

    Naipongeza Serikali kwa ujenzi wa barabara hii. Changamoto iliyopo ni kuwa Mkandarasi anayejenga barabara ya Safina Olasiti hadi Morombo hajaweka alama ambazo zinawataka/kuelekeza watumiaji wa barabara kutumia njia mbadala. Hili linasabisha usumbufu kwa watumiaji wa barabara/njia hizo. Pia...
  13. M

    DOKEZO Barabara za Chato zinaharibiwa na mkandarasi uchwara. Amejenga njia za maji za ovyo. Kalemani yupo tu hana lolote

    Hapa gari ndogo haiwezi kupita maana itaharibika kabisa. Mkandarasi kama huyu inakuwaje anapewaa kazi na kuharibu barabara. Any way mzee baba alishaondoka acha mjipigie tu.
  14. Roving Journalist

    Serikali kupitia TANROADS imemkabidhi Mkandarasi kazi ya ujenzi wa Barabara ya Kimara-Bonyokwa-Kinyerezi kwa kiwango cha lami

    Serikali kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imemkabidhi Mkandarasi kazi ya ujenzi wa Barabara ya Kimara – Bonyokwa – Kinyerezi kwa kiwango cha lami; Sehemu ya kwanza yenye urefu wa kilomita 6 pamoja na ujenzi wa daraja la Kinyerezi lenye urefu wa mita 25. Akizungumza kwa niaba ya...
  15. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Amataka Mkandarasi Barabara ya Nanganga - Ruangwa Kuelekeza Nguvu Ujenzi wa Madaraja

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameutaka Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Lindi kuhakikisha wanamsimamia Mkandarasi wa Kampuni ya China Railway 15 Bureau Group anayejenga barabara ya Nanganga – Ruangwa (km 53.2) kwa kiwango cha lami, kuelekeza nguvu katika ujenzi wa Daraja la Lukuledi...
  16. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Aagiza Mkandarasi Aliyedhulumu Mfanyabiashara Atafutwe na Kuchukuliwa Hatua

    BASHUNGWA AAGIZA MKANDARASI ALIYEDHULUMU MFANYABIASHARA ATAFUTWE NA KUCHUKULIWA HATUA. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa (Mb) amemuagiza Msajili wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB) kumtafuta na kumchukulia hatua za kisheria Mkandarasi Mohammed Ally wa Kampuni ya Sure Civil and Building...
  17. Stephano Mgendanyi

    Kihenzile aitaka TAA kuvunja Mkataba na Mkandarasi anayejenga kiwanja cha Ndege Ruvuma

    Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile ameelekeza mamlaka wa viwanja vya ndege Tanzania (TAA) kuvunja mkataba na Mkandarasi anayejenga jengo la abiria la kiwanja cha ndege cha Ruvuma kutoka na Mkandarasi huyo kushindwa kukamilisha jengo hilo kwa wakati. Naibu Waziri David Mwakiposa Kihenzile...
  18. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Atoa Miezi Miwili kwa Mkandarasi Kukamilisha Daraja la Mtoa Ruaha Mkuu - Kilombero

    BASHUNGWA ATOA MIEZI MIWILI KWA MKANDARASI KUKAMILISHA DARAJA LA MTO RUAHA MKUU - KILOMBERO Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa miezi miwili kwa Mkandarasi wa Kampuni ya M/s Reynolds Construction Company kukamilisha ujenzi wa Barabara ya Mikumi-Kidatu-Ifakara, sehemu ya Kidatu-Ifakara...
  19. Roving Journalist

    Bashungwa amuondoa Mkandarasi wa barabara katika Kiwanda cha Sukari Mkulazi - Morogoro

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameuagiza Wakala wa Barabara (TANROADS) kumuondoa Mkandarasi wa kampuni ya Kay Bouvet Engineering Ltd ya nchini India na kumtafuta Mkandarasi mwingine mwenye uwezo na sifa za kujenga miundombinu ya barabara katika Kiwanda cha sukari cha Mkulazi Mkoani...
  20. Roving Journalist

    Katavi: Mkandarasi akwamisha mradi wa maji wa Miji 28

    Wakati Serikali inaendelea kutekeleza miradi ya maji hapa nchini ili wananchi waweze kusogezewa huduma ya maji hasa kwa kumtua mama ndoo kichwani, imeeleza kuwa bado baadhi ya wakandarasi wanashindwa kutekeleza miradi hiyi kwa wakati ambapo mradi wa maji unaotekelezwa katika bwawa la Milala...
Back
Top Bottom