mkandarasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Waziri Ulega ambana Mkandarasi Barabara ya Tungamaa - Mkange, Mkandarasi aomba radhi ajipange upya

    Waziri wa Ujenzi Abdallah Ulega amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Mohamed Besta kumpa ripoti ya kitaalam kuhusu kasi ya ujenzi usioridhisha kwa Mkandarasi M/s China Railway 15 Bureau Group Corporation anayejenga barabara ya Tungamaa-Mkwaja-Mkange Km 95.2...
  2. Stephano Mgendanyi

    Waziri Ulega Atoa Maagizo kwa Mkandarasi Kuharakisha Ujenzi Barabara ya Kigamboni

    WAZIRI ULEGA ATOA MAAGIZO KWA MKANDARASI KUHARAKISHA UJENZI BARABARA YA KIGAMBONI Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amefanya ziara katika wilaya ya Kigamboni kujionea maendeleo ya miradi ya ujenzi wa barabara na kutoa maelekezo kwa mkandarasi anayetekeleza mradi huo, kampuni ya Nyakemore...
  3. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro Akabidhi Eneo (Site) Ujenzi wa Soko la Kimkakati la Kabanga kwa Mkandarasi

    06/12/2024 Mbunge wa Jimbo la Ngara Mh Ndaisaba G Ruhoro kwa ushirikiano na Ofisi ya Kilimo Wilaya wameshiriki kumkabidhi mkandarasi aliyeshinda zabuni ya ujenzi na umaliziaji wa soko la Kimkakati Kabanga. Hii ni utekelezaji wa ahadi ya RUHORO na DIWANI wa Kabanga Mh Hafidhi Abdallah waliyo...
  4. M

    Arab contractor ndie mkandarasi mzalendo kuliko wote waliowai kufika Tanzania. Vitisho vingi kavipata ila bado kajenga bwawa. Pongezi kwake

    Habari wadau Nimekumbuka sana heka heka za bwawa la umeme la rufiji kujengwa. Ili bwawa limejengwa kwa mbinde sana. Mshindi wa tenda hiyo kampuni ya Arab contractor ilipitiq vitisho vingi sana kwamba haitapewa support yoyote na ikapigwa vikwazo na banks zilizokuwa zinam support mpaka bank ya...
  5. The Sheriff

    KERO Kunani matengenezo ya barabara Getifonga-Mabogini-Kahe? Adha ya vumbi, vifusi, barabara hazipitiki na vifaa mmeondoa saiti. Tunataka maelezo

    Mkandarasi aliyepewa tenda ya kutengeneza barabara ya kilometa 31 ya Geti Fonga-Mabogini-Kahe wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro anasababisha kero kwa wakazi wa maeneo inapopita barabara hiyo. Mkandarasi huyo ni Lenana Holding Company Limited yenye makao makuu yake jijini Arusha. Kero...
  6. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Ambana Mkandarasi Kasi Ndogo Ujenzi wa Barabara ya Nyamwage - Utete

    BASHUNGWA AMBANA MKANDARASI KASI NDOGO UJENZI WA BARABARA YA NYAMWAGE - UTETE Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa hajaridhishwa na usimamizi na kasi ya ujenzi wa wa barabara ya Nyamwage - Utete (km 33.7) kwa kiwango cha lami na kumuagiza Meneja wa Wakala ya Barabara (TANROADS) Mkoa wa Pwani...
  7. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa Amkabidhi Mkandarasi Ujenzi wa Barabara Kyerwa - Omurushaka (Karagwe)

    BASHUNGWA AMKABIDHI MKANDARASI UJENZI WA BARABARA KYERWA - OMURUSHAKA (KARAGWE). Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemtambulisha kwa Wananchi na kumkabidhi eneo la mradi Mkandarasi Kampuni ya Shandong Luqiao Group atakayeanza ujenzi wa barabara ya Kyerwa - Omurushaka (km 50) kwa kiwango...
  8. S

    Mkandarasi wa barabara ya Mbeya mjini inayokwenda kwenda Zambia amesusa kutokana na kutolipwa na serikali?

    Wakuu, weekend hii nimeingia Mbeya kwa ku-drive toka Dar, na nikashangaa sana kukuta maendeleo kidogo sana ya ujenzi wa hii barabara ya kwenda Tunduma hadi Zambia toka nitembelee hapa miezi minne iliyopita. Nimeuliza wenyeji kwa nini kasi ya ujenzi wa barabara hii uko chini kiasi hiki...
  9. Roving Journalist

    Kamati ya Bunge yamtaka Mkandarasi kumaliza ujenzi wa Uwanja wa Ndege Mikumi kwa wakati

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imemuelekeza Mkandarasi wa mradi wa ujenzi wa kiwanja cha ndege Kikoboga katika Hifadhi ya Taifa Mikumi, Badr East Africa Enterprises Ltd. wenye gharama ya Sh. Bilioni 20.6 kuongeza kasi ili kukamilisha mradi huo kwa wakati. Ujenzi huo...
  10. A

    KERO Askari wanatukamata Wafanyakazi wa SGR kisa tumesema Mkandarasi hajaingiza malipo yetu ya NSSF

    Sisi Wafanyakazi wa Ujenzi wa SGR kwa hapa Lot 1 ambayo inahusisha Dar – Moro baada ya kulalamika kuhusu Mkandarasi Mkuu, Yapi Merkezi kuwaondoa watu kazini kwa gia ya likizo huku wakiwa hawatulipi stahiki zetu ikiwemo, malipo ya NSSF, kumeibuka baadhi ya Askari wa Jeshi la Polisi wanatukamata...
  11. Roving Journalist

    DC Mboni Mhita: Mkandarasi aliyeng'oa milango kisa deni aliirudisha na shughuli zinaendelea kama kawaida

    Imeelezwa kuwa milango ambayo iling’olewa na Mkandarasi katika Kituo cha Afya cha Bulige, Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, ilirejeshwa na shughuli zinaendelea kama kawaida. Awali Mkandarasi aling’oa milango kwa madai ya kuwa hajalipwa gharama za kazi yake kutoka kwa Ofisi ya Mkurugenzi, Mkuu...
  12. Roving Journalist

    Wafanyakazi wa SGR (Lot 1) wafanya mgomo, washinikiza Mkandarasi awalipe stahiki zao ikiwemo NSSF

    Wafanyakazi wa SGR - Lot 1 wameamua kufanya mgomo wakishinikiza malipo yao ya NSSF kuingizwa kwenye akaunti Pia soma ~Yapi Merkezi: Hakuna Mfanyakazi wa SGR atakayefutwa kazi bila kulipwa stahiki zake ikiwemo NSSF ~ Mkandarasi wa SGR (Yapi Merkezi) anawaondoa Wafanyakazi kwa gia ya kuwapa...
  13. Li ngunda ngali

    Huyo Naibu Meya wa Kinondoni ninayo hakika hatomsahau huyo Mkurya

    Jibu moja tu na hakutaka kupepesa aisee! Heraaaaa!
  14. M

    Huko mtaani, wilayani kwako ni mradi gani wa serikali kama ni barabara kiwango cha lami, kiwango cha tope mkandarasi anaendelea na ujenzi?

    Nyie chawa mko na shida sana. Niwaulize hivi kwanini Bakhresa, Rostam hatuoni wakihangaika kumsifia Samia. Hivi ni serikali gani inayohitaji kusifiwa kutokana na ufugaji wa pesa hadi kupelekea kushindwa kuwalipa Wazayuni kwa miezi mi3 sasa. Tokea june 30 mfumo wa malipo wa serikali daktari wa...
  15. BigTall

    Mkandarasi wa SGR (Yapi Merkezi) anawaondoa Wafanyakazi kwa gia ya kuwapa likizo ya lazima, pia hajaingiza malipo ya NSSF

    Sisi Watumishi wa SGR ambao tupo chini ya Mkandarasi Mkuu wa mradi huo, Yapi Merkezi tunasikitishwa na kitendo cha Muajiri wetu kupunguza Wafanyakazi kwa gia ya kuwapa likizo ya lazima. Uongozi wa SGR Lot One inayoanzia Dar es Salaam kwanza ulitutaka kwenda likizo ya miezi minne, wengine...
  16. James Hadley Chase

    DOKEZO Responded Mkandarasi ang'oa milango ya kituo cha afya cha Bulige akilalamika kutolipwa pesa zake

    Muonekano wa milango ya kituo cha afya Bulige baada ya kung'olewa na mafundi ambao wanadai haki zao kwa muda mrefu ambapo mafundi hao wanataka kuuziwa nyumba kutokana na mikopo waliochukua kwa ajili ya kutengeneza milango hiyo Muonekano wa milango ya kituo cha afya bulige baada ya kung'olewa na...
  17. Kitotole

    Wimbo: Blessure D'amour {jeraha La Mapenzi} Mwimbaji: Madilu System :1993 Tafsiri: Sule Mkandarasi

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : BLESSURE D'AMOUR {𝙅𝙚𝙧𝙖𝙝𝙖 𝙡𝙖 𝙢𝙖𝙥𝙚𝙣𝙯𝙞} 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : MADILU SYSTEM :1993 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI ~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~ 𝙒𝙞𝙫𝙞...𝙒𝙞𝙫𝙪...𝙒𝙞𝙫𝙪...𝙋𝙞𝙣𝙙𝙞 𝙬𝙞𝙫𝙪 𝙪𝙣𝙖𝙥𝙤𝙥𝙞𝙩𝙞𝙡𝙞𝙯𝙖 𝙪𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖 𝙠𝙪𝙟𝙞𝙠𝙪𝙩𝙖 𝙪𝙣𝙖𝙜𝙤𝙢𝙗𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙠𝙞𝙡𝙖 𝙢𝙬𝙖𝙖𝙣𝙖𝙪𝙢𝙚/𝙢𝙬𝙖𝙣𝙖𝙢𝙠𝙚 𝙪𝙩𝙖𝙠𝙖𝙮𝙚𝙢𝙪𝙤𝙣𝙖 𝙖𝙢𝙚𝙨𝙞𝙢𝙖𝙢𝙖 𝙣𝙖 𝙢𝙬𝙚𝙣𝙯𝙖 𝙬𝙖𝙠𝙤. 𝙈𝙗𝙖𝙮𝙖 𝙯𝙖𝙞𝙙𝙞 𝙪𝙣𝙖𝙬𝙚𝙯𝙖...
  18. Roving Journalist

    Bashungwa: Mpasuko Barabara ya BUSUNZU - KIGOMA sio makosa ya Mkandarasi, hakuna upigaji, ni sababu za Kigeolojia

    Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kuwa uchunguzi umebaini mpasuko wa ardhi na kuporomoka kwa tuta la barabara uliojitokeza katika eneo la Busunzu lenye urefu wa mita 200 haijatokana na makosa ya Mkandarasi kwenye ujenzi bali umesababishwa na sababu za kigeolojia. Amebainisha kuwa...
  19. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa: Nitakuja Kumkabidhi Mkandarasi, Ujenzi wa Lami ya Barabara ya Omurushaka - Kyerwa

    NITAKUJA KUMKABIDHI MKANDARASI, UJENZI WA LAMI BARABARA YA OMURUSHAKA - KYERWA: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS) imeshampata Mkandarasi wa kuanza Ujenzi wa barabara ya Omurushaka – Kyerwa kwa kiwango cha lami ambapo...
  20. Kitotole

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: MARIO 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: MADILU & FRANCO 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: SULE MKANDARASI

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊: MARIO 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄: MADILU & FRANCO 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄: SULE MKANDARASI 𝙈𝙖𝙧𝙞𝙤 𝙣𝙞 𝙟𝙞𝙣𝙖 𝙡𝙖 𝙠𝙞𝙟𝙖𝙣𝙖 𝙖𝙣𝙖𝙮𝙚𝙥𝙚𝙣𝙙𝙖 𝙠𝙪𝙡𝙚𝙡𝙚𝙬𝙖 /𝙠𝙪𝙞𝙣𝙜𝙞𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙢𝙖𝙝𝙪𝙨𝙞𝙖𝙣𝙤 𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙣𝙖𝙬𝙖𝙠𝙚 𝙬𝙖𝙡𝙞𝙤𝙢𝙯𝙞𝙙𝙞 𝙪𝙢𝙧𝙞. 𝙆𝙬𝙖 𝙣𝙮𝙖𝙠𝙖𝙩𝙞 𝙝𝙞𝙯𝙞 𝙠𝙬𝙖 𝙝𝙖𝙥𝙖 𝙏𝙯 𝙫𝙞𝙟𝙖𝙣𝙖 𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙩𝙖𝙗𝙞𝙖 𝙯𝙖 𝙣𝙖𝙢𝙣𝙖 𝙝𝙞𝙞 𝙬𝙖𝙢𝙚𝙥𝙚𝙬𝙖 𝙟𝙞𝙣𝙖 𝙟𝙞𝙥𝙮𝙖 𝙣𝙖 𝙠𝙪𝙩𝙖𝙢𝙗𝙪𝙡𝙞𝙠𝙖 𝙠𝙖𝙢𝙖 "𝙆𝙞 𝙗𝙚𝙣 𝙩𝙚𝙣". 𝙆𝙬𝙖...
Back
Top Bottom