MEXICANA
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 1,772
- 2,032
Mimi si mzawa wa Bukoba ila nazijua vizuri siasa za Bukoba. Kwa sasa hivi CCM haina mtu wa kumtikisa mgombea ubunge wa CHADEMA Ndg. Chief Kalumuna.
Nasema ukweli kabisa bila kuficha, Chief anatakiwa apambanishwe na vichwa vyenye nguvu ya ushawishi kama King James otherwise wanaCCM tujiandae kuongozwa tena mpinzani.
Kwa bahati mbaya jamii ya Bukoba huwa haitishiwi na nguvu ya Vyombo vya Dola, na mnajua kabisa hata mambo ya kupelekana Mahakamani huku ni kama kwenda mgahawani.
I love u CCM❤
Nasema ukweli kabisa bila kuficha, Chief anatakiwa apambanishwe na vichwa vyenye nguvu ya ushawishi kama King James otherwise wanaCCM tujiandae kuongozwa tena mpinzani.
Kwa bahati mbaya jamii ya Bukoba huwa haitishiwi na nguvu ya Vyombo vya Dola, na mnajua kabisa hata mambo ya kupelekana Mahakamani huku ni kama kwenda mgahawani.
I love u CCM❤