Uchaguzi 2020 Hatima ya CCM Babati Mjini

Iwaay

Member
May 21, 2016
36
55
Katibu mkuu wa CCM Taifa Dkt. Bashiru Ally anatakiwa kuwa makini katika harakati za kumteua mwakilishi wa CCM katika uchaguzi wa Oktoba mwaka 2020. Anatakiwa kuhakikisha na kumleta Mgombea ambaye atawafaa Wananchi wa babati na siyo mtu anayempenda yeye au anayependwa na chama au wajube wa mkutano mkuu.

CCM wanatakiwa kujifunza kwa kilichotokea mwaka 2015 babati mjiniwalipompitisha mgombea ambeye alikuwa hapendwi na wananchi na mwishowe wapinzani wakachukua jimbo, 2010 katika jimbo Mbulu CCM pia walifanya kosa la kumteua mtu aliyechokwa na Wananchi na mwishowe wananchi wakatoa jimbo upinzani, vivyo hivyo mwaka 1995 jimbo la karatu walifanya makosa na mwishowe ikawa ni shida hadi leo jimbo liko upinzani.

Kutokana na mifano hii Dkt. Bashiru anatakiwa kuwa makini sana safari hii katika jimbo hili la babati mjini maana akifanya kosa litagarimu chama na mwishowe wataachia tena jimbo upinzani.
 
Katibu mkuu wa ccm Taifa Dr Bashiru Ally anatakiwa kuwa makini katika harakati za kumteua mwakilishi wa CCM katika uchaguzi wa oktoba mwaka 2020. Anatakiwa kuhakikisha na kumleta Mgombea ambaye atawafaa Wananchi wa babati na siyo mtu anayempenda yeye au anayependwa na chama au wajube wa mkutano mkuu.

CCM wanatakiwa kujifunza kwa kilichotokea mwaka 2015 babati mjiniwalipompitisha mgombea ambeye alikuwa hapendwi na wananchi na mwishowe wapinzani wakachukua jimbo, 2010 katika jimbo Mbulu CCM pia walifanya kosa la kumteua mtu aliyechokwa na Wananchi na mwishowe wananchi wakatoa jimbo upinzani, vivyo hivyo mwaka 1995 jimbo la karatu walifanya makosa na mwishowe ikawa ni shida hadi leo jimbo liko upinzani.

Kutokana na mifano hii Dr Bashiru anatakiwa kuwa makini sana safari hii katika jimbo hili la babati mjini maana akifanya kosa litagarimu chama na mwishowe wataachia tena jimbo upinzani.
Mwenyekiti wako alishasema itategemea siku hiyo amelalaje? Bashiru hana chake, chama ni mali binafsi ya Mwenyekiti
 
Ukweli ni kwamba,wagombea wa ubunge ni wengi tena wazuri iwe wa ccm au wa upinzani,isitose wengi wanaupenda ubunge kwa kuwa una maslahi mazuri
Changamoto ni kwamba majimbo ni machache na wagombea ni wengi.
Wakiweza wapunguze waweke sawa mshahara sawa na kima cha chini
 
Katibu mkuu wa CCM Taifa Dkt. Bashiru Ally anatakiwa kuwa makini katika harakati za kumteua mwakilishi wa CCM katika uchaguzi wa Oktoba mwaka 2020. Anatakiwa kuhakikisha na kumleta Mgombea ambaye atawafaa Wananchi wa babati na siyo mtu anayempenda yeye au anayependwa na chama au wajube wa mkutano mkuu.

CCM wanatakiwa kujifunza kwa kilichotokea mwaka 2015 babati mjiniwalipompitisha mgombea ambeye alikuwa hapendwi na wananchi na mwishowe wapinzani wakachukua jimbo, 2010 katika jimbo Mbulu CCM pia walifanya kosa la kumteua mtu aliyechokwa na Wananchi na mwishowe wananchi wakatoa jimbo upinzani, vivyo hivyo mwaka 1995 jimbo la karatu walifanya makosa na mwishowe ikawa ni shida hadi leo jimbo liko upinzani.

Kutokana na mifano hii Dkt. Bashiru anatakiwa kuwa makini sana safari hii katika jimbo hili la babati mjini maana akifanya kosa litagarimu chama na mwishowe wataachia tena jimbo upinzani.

Pamoja na ukweli ulioandika hapa, mazingira ya sasa ya kisiasa huyajui au hujayaona. Ni kweli wapinzani walishinda uchaguzi mwaka 2015 Babati na sehemu nyingine kutokana na sababu ulizozisema. Uchaguzi wa 2020 ni tofauti kabisa haijawahi kutokea. Mwaka 2018 ulifanyika uchaguzi mdogo kule Korogwe baada ya kufariki mh. Maji Marefu. NEC ilikata jina la mwana CCM aliyeshinda kwenye kura za maoni na ikarudisha jina la mtu aliyeshika nafasi ya nne, kimsingi hakubaliki hata na CCM wenyewe. kwa upande mwingine CHADEMA walisimamisha mtu mwenye mvuto kweli kweli.
matokeo yake mkurugenzi hakupokea fomu ya mgombea wa CHADEMA na hivyo mwana CCM akapita bila ya kupingwa. malalamiko ya CHADEMA hayakusaidia kwa ngazi zote mpaka mahakamani.
ninachotaka kusema hapa ni kwamba maelekezo ya kuwa wapinzani wasitangazwe washindi yamekwishatolewa, na yalianza kutekelezwa muda mrefu hata kabla ya uchaguzi wa serikali za vijiji na mitaa iliyofanyika mwaka jana.
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama kweli kuna mpinzani atatangazwa mshindi 2020. yeyote atakayepitishwa na CCM kwa mazingira ya sasa ni mshindi tayari.
 
Pamoja na ukweli ulioandika hapa, mazingira ya sasa ya kisiasa huyajui au hujayaona. Ni kweli wapinzani walishinda uchaguzi mwaka 2015 Babati na sehemu nyingine kutokana na sababu ulizozisema. Uchaguzi wa 2020 ni tofauti kabisa haijawahi kutokea. Mwaka 2018 ulifanyika uchaguzi mdogo kule Korogwe baada ya kufariki mh. Maji Marefu. NEC ilikata jina la mwana CCM aliyeshinda kwenye kura za maoni na ikarudisha jina la mtu aliyeshika nafasi ya nne, kimsingi hakubaliki hata na CCM wenyewe. kwa upande mwingine CHADEMA walisimamisha mtu mwenye mvuto kweli kweli.
matokeo yake mkurugenzi hakupokea fomu ya mgombea wa CHADEMA na hivyo mwana CCM akapita bila ya kupingwa. malalamiko ya CHADEMA hayakusaidia kwa ngazi zote mpaka mahakamani.
ninachotaka kusema hapa ni kwamba maelekezo ya kuwa wapinzani wasitangazwe washindi yamekwishatolewa, na yalianza kutekelezwa muda mrefu hata kabla ya uchaguzi wa serikali za vijiji na mitaa iliyofanyika mwaka jana.
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama kweli kuna mpinzani atatangazwa mshindi 2020. yeyote atakayepitishwa na CCM kwa mazingira ya sasa ni mshindi tayari.
Umeongea ukweli mchungu mno. Sias hiz za JPM ni msiba kwa taifa.
 
Kwa awamu hii ushinde usishinde kama jimbo lilipangwa liende CCM msimamizi ataagizwa atangaze mshindi upande wa kijani tu
Katibu mkuu wa CCM Taifa Dkt. Bashiru Ally anatakiwa kuwa makini katika harakati za kumteua mwakilishi wa CCM katika uchaguzi wa Oktoba mwaka 2020. Anatakiwa kuhakikisha na kumleta Mgombea ambaye atawafaa Wananchi wa babati na siyo mtu anayempenda yeye au anayependwa na chama au wajube wa mkutano mkuu.

CCM wanatakiwa kujifunza kwa kilichotokea mwaka 2015 babati mjiniwalipompitisha mgombea ambeye alikuwa hapendwi na wananchi na mwishowe wapinzani wakachukua jimbo, 2010 katika jimbo Mbulu CCM pia walifanya kosa la kumteua mtu aliyechokwa na Wananchi na mwishowe wananchi wakatoa jimbo upinzani, vivyo hivyo mwaka 1995 jimbo la karatu walifanya makosa na mwishowe ikawa ni shida hadi leo jimbo liko upinzani.

Kutokana na mifano hii Dkt. Bashiru anatakiwa kuwa makini sana safari hii katika jimbo hili la babati mjini maana akifanya kosa litagarimu chama na mwishowe wataachia tena jimbo upinzani.
 
Pamoja na ukweli ulioandika hapa, mazingira ya sasa ya kisiasa huyajui au hujayaona. Ni kweli wapinzani walishinda uchaguzi mwaka 2015 Babati na sehemu nyingine kutokana na sababu ulizozisema. Uchaguzi wa 2020 ni tofauti kabisa haijawahi kutokea. Mwaka 2018 ulifanyika uchaguzi mdogo kule Korogwe baada ya kufariki mh. Maji Marefu. NEC ilikata jina la mwana CCM aliyeshinda kwenye kura za maoni na ikarudisha jina la mtu aliyeshika nafasi ya nne, kimsingi hakubaliki hata na CCM wenyewe. kwa upande mwingine CHADEMA walisimamisha mtu mwenye mvuto kweli kweli.
matokeo yake mkurugenzi hakupokea fomu ya mgombea wa CHADEMA na hivyo mwana CCM akapita bila ya kupingwa. malalamiko ya CHADEMA hayakusaidia kwa ngazi zote mpaka mahakamani.
ninachotaka kusema hapa ni kwamba maelekezo ya kuwa wapinzani wasitangazwe washindi yamekwishatolewa, na yalianza kutekelezwa muda mrefu hata kabla ya uchaguzi wa serikali za vijiji na mitaa iliyofanyika mwaka jana auw
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama kweli kuna mpinzani atatangazwa mshindi 2020. yeyote atakayepitishwa na CCM kwa mazingira ya sasa ni mshindi tayari.
Huyu mzee siasa zake za kipumbavu anatakiwa akutane watu walioamua kujitoa ufahamu ili wakinukishe! Safari ma-DED wakifunga ofisi wakati wa kupokea fomu wafuatwe hukohuko walikojificha wapotezwe huko huko au watekewe wapendwa wao mpaka akili iwakae sawa!
 
CHADEMA tumekuja na hii mbinu "If you cant fight them, confuse them" CCM wako so confused, hawaaminiani, hawaelewani, unafiki mtupu.

Hahahaha aisee ungekuwa jirani ningekununulia kvant kubwa nimecheka sanaaa
 
Katibu mkuu wa CCM Taifa Dkt. Bashiru Ally anatakiwa kuwa makini katika harakati za kumteua mwakilishi wa CCM katika uchaguzi wa Oktoba mwaka 2020. Anatakiwa kuhakikisha na kumleta Mgombea ambaye atawafaa Wananchi wa babati na siyo mtu anayempenda yeye au anayependwa na chama au wajube wa mkutano mkuu.

CCM wanatakiwa kujifunza kwa kilichotokea mwaka 2015 babati mjiniwalipompitisha mgombea ambeye alikuwa hapendwi na wananchi na mwishowe wapinzani wakachukua jimbo, 2010 katika jimbo Mbulu CCM pia walifanya kosa la kumteua mtu aliyechokwa na Wananchi na mwishowe wananchi wakatoa jimbo upinzani, vivyo hivyo mwaka 1995 jimbo la karatu walifanya makosa na mwishowe ikawa ni shida hadi leo jimbo liko upinzani.

Kutokana na mifano hii Dkt. Bashiru anatakiwa kuwa makini sana safari hii katika jimbo hili la babati mjini maana akifanya kosa litagarimu chama na mwishowe wataachia tena jimbo upinzani.
Bashiru yeye tayari ana jina lake mfukoni yaani Paulina
 
Back
Top Bottom