mitandao ya kijamii

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    GE2025 Kurasa za mitandao ya kijamii za serikali, kuchapisha maudhui ya kampeni kwa mgombea mmoja ni sahihi?

    Tarehe 29.08.2025, Ukurasa rasmi wa Ikulu Mawasiliano ulichapicha taarifa zenye kichwa kisemacho "Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili Ngerengere kwa ajili ya kuzungumza na wananchi...
  2. Damaso

    Utalii, Mitandao ya Kijamii na Hatima ya Utamaduni wa Wahadzabe

    Wahadzabe wamekuwa na mfumo wa maisha unaoheshimika duniani, wakihusishwa na uwindaji wa asili, maarifa ya mimea tiba na mfumo wa kijamii usio na mpangilio wa tabaka. Lakini mabadiliko ya karne hii yameingia kwa kasi isiyozuilika. Wageni na makampuni ya utalii wamevamia makazi yao kwa lengo la...
  3. Forgotten

    Tusiotumia mitandao ya kijamii tujuane!

    Kwanza kabisa kwanini hautumii mitandao ya kijamii? Ilikuwa hivyo toka mwanzo au ulifuta baada ya kutumia? Socia media zimekuwa sehemu mpya ya maisha ya binadamu kuendana na kasi na mabadiliko ya Teknolojia ila lengo kuu la mitandao ya kijamii limepotea ghafla baada ya teknolojia hii kupokewa...
  4. U

    Nina uhakika kabisa kama Uchaguzi Mkuu ungefanyika kwenye mitandao ya kijamii muda huu Chadema wangekuwa ikulu!

    Wapo busy na mitandaoni wakati kura hazipigwi wala kuhesabiwa huko!
  5. Tech Max

    Je unahitaji msimamizi wa Mitandao ya kijamii (social media manager)

    Je unahitaji msimamizi wa Mitandao ya kijamii (social media manager) Nitakuwa naweka maudhui ya picha na video pia nitakuwa najibu maswali ya wateja, n.k. Nina ujuzi wa IT (Information Technology), graphics design na masoko ya mtandaoni Mawasiliano: 0756704145 Napatikana Mkoa wa Dar es...
  6. Muuza madafu wa Ikulu

    Nyuzi za utani toka kwenye page za mitandao ya kijamii ya timu za Mpira wa miguu NBC Premier League

    Huu ni uzi maalumu kwa ajili ya utani wa timu zetu ta ligi kuu wanazopost kwenye page tao za mitandao ya kijamii. Wamepost Singida Big Stars. "Laiti Katika Timu Yenu Angetokea Mtu Mmoja mwenye Hekima na Busara Akatuuliza kwa nini Tumekubali Kumuachia Top Score wetu Buure kwa Kumpa Mpinzani...
  7. Tech Max

    Nasimamia akaunti za mitandao ya kijamii (social media manager) na kazi za IT

    Nasimamia akaunti za mitandao ya kijamii (social media manager) na kazi za IT kwa ujumla. Gharama za kusimamia akaunti zote ni 400,000 Tsh kwa mwezi mmoja. Napatikana Mkoa wa Dar es salaam, Mbezi. Mawasiliano: 0756704145
  8. Tech Max

    Nasimamia akaunti za mitandao ya kijamii za makampuni, maduka na biashara kwa ujumla

    Nasimamia akaunti za mitandao ya kijamii za makampuni, maduka na biashara kwa ujumla, Nina ujuzi wa IT (Information Technology) kama website hosting, development na management, graphics design, video editing, na ujuzi mwingine wa IT. Gharama ya usimamizi wa akaunti nafanya laki 200,000 Tsh kwa...
  9. Tech Max

    Je unahitaji msimamizi wa Mitandao ya kijamii (social media manager)

    Je unahitaji msimamizi wa Mitandao ya kijamii (social media manager) ambapo nitakuwa naweka maudhui ya picha na video mtandaoni, kujibu maswali ya wateja na mambo mengine. Gharama yake ni 150,000 Tsh kwa mwezi mmoja. Napatikana: Dar es salaam. Mawasiliano: 0756704145
  10. Webabu

    Marais wa nchi wazuiwe kisheria kuropoka kwenye mitandao ya kijamii

    Dunia inakwenda kwa kasi sana kuelekea inakoelekea dalili zikiwa ni wepesi wa mawasiliano baina ya mtu na mtu na kwa jamii kwa ujumla. Katika miaka ya karibuni tumeshuhudia viongozi wakuu wa nchi wakizungumza mambo mazito ya nchi kwa umma bila kizuizi chochote kile.Kuna mambo mazito ya nchi...
  11. Tech Max

    Natoa offa bure ya usimamizi wa Mitandao ya kijamii (wiki 2)

    Natoa offa bure ya usimamizi wa Mitandao ya kijamii ndani ya wiki 2 , mitandao ni mitatu Facebook, Instagram na TikTok.... Offa hii nitakutengenezea video(1) ukihitaji ya bidhaa au huduma na poster(1) ya bidhaa au huduma yako na kujibu maswali ya wateja Kwenye ukurasa wako...... Huduma hii ya...
  12. Fbn

    Serikali ya Tanzania kitendo cha kufungia Mitandao ya Kijamii ila Bado wenyewe mnatumia tuna wakumbusha yale ya Telegram kwa Urusi

    Katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekuwa mojawapo ya nchi za Afrika ambazo zimechukua hatua kali dhidi ya uhuru wa mtandao, ikiwemo kufungia au kudhibiti matumizi ya mitandao ya kijamii hasa wakati wa matukio ya kisiasa kama uchaguzi mkuu, maandamano, au migogoro ya kijamii...
  13. Tech Max

    Nasimamia mitandao ya kijamii (social media manager)

    Je unahitaji msimamizi wa mitandao ya kijamii nitakuwa naweka posti za bidhaaa zako, kujibu maswali ya wateja na mambo mengine. Malipo kwa mwezi ni 150,000 Tsh. Napatikana: Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
  14. Tech Max

    Nasimamia akaunti za mitandao ya kijamii

    Je unahitaji msimamizi wa mitandao ya kijamii nitakuwa naweka posti za bidhaaa zako, kujibu maswali ya wateja na mambo mengine. Malipo kwa mwezi ni 150,000 Tsh. Napatikana: Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
  15. T

    Naona ikitungwa sheria ya serikali kujimilikisha account za mitandao ya kijamii ya viongozi na social influencers wote

    Kwa mambo yanayoendelea Kuna uwezekano kuna sheria zinatungwa serikali kujimilikisha account za viongozi na social influencers, maana yake hata kama account ni yako binafsi, as long as we ni public figure au kiongozi, utatakiwa ku handle credentials kwa serikali Ili ukija kuhasi, basi usipate...
  16. Liu Yun

    Matumizi ya mitandao ya Kijamii

    Nimekuwa nikitazama umuhimu wa mitandao ya Kijamii katika nchi yetu, lakini bado tunatatizo kubwa Sana la uelewa wa baadhi ya watu. Kwamfano: mtu kauliza swali, "Kuna watu watatoa majibu mazuri zuri tuu" lakini kuna watu "Hushusha matusi na vitu visivyo eleweka" Hii ni kwanini?
  17. Tech Max

    Je unahitaji msimamizi wa mitandao ya kijamii (social media manager)

    Kama unahitaji social media manager (msimamizi wa mitandao ya kijamii) nitakuwa naweka posti za bidhaa zako, kujibu maswali ya wateja na kazi zingine. Bei kwa mwezi ni 150,000 Tsh Napatikana: Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
  18. Manyanza

    Memes kutoka JamiiAfrica; Mitandao si mahali pa kuficha chuki. Tumia sauti yako kwa Hekima, Heshima na Huruma

    Chuki haijengi Jamii. 'Comment' Kistaarabu
  19. Tech Max

    Msimamizi wa mitandao ya kijamii (social media manager) nipo

    Nasimamia mitandao ya kijamii (social media manager), Nina uzoefu wa kutosha, elimu yangu ni stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering). Pia najua website hosting na management (kusimamia tovuti kuanzia kulipia Hadi ufundi) Naishi: Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
  20. Manyanza

    Msimamizi wa mitandao ya kijamii (Social Media Manager) anatakiwa

    Wasalaam Wakuu anatakiwa msimamizi wa mitandao ya kijamii awe na sifa zifuatazo ili aweze kufanya kazi kwa ufanisi: 1. Awe ni Mkazi wa jiji la Dar es Salaam, itafaa zaidi akiwa ni Mwanaume (umri usizidi miaka 30) 2. Uwezo wa mawasiliano bora – Awe na uwezo wa kuandika na kuwasiliana kwa...
Back
Top Bottom