Habari za sasa wakuu, mpaka naandika uzi huu nipo njia panda sijui nielekee wapi? Sijui nifanyaje mimi!?
Ni muda sasa tangu mpenzi wangu aanze kulalamika anasumbuliwa na jamaa mmoja hivi (ambayo ni kilema)
Sasa anasema anamuonea huruma kwahiyo anataka amkubalie. Dah! Sasa mimi sielewi...