hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Wakuu habari za weekend,
Last week nilienda kupumzika mbugani mikumi, na nikalala kwenye bandas za Tanapa.
Mambo ambayo nimejionea Aisee ni mambo ya aibu Sana hasa tukijua kuwa Tanapa inakusanya ela nyingi Sana kutoka kwa watalii.
Bandas zote zina matatizo, na hata mhusika mwenyewe anakwambia kabisa wakati unafanya uchaguzi ulale kwenye bandas gani.
Mfano me nilitaka kulala room ya mwanzo kabisa akanambia Ac mbovu, na Feni mbovu duuh, nikachagua nyingine, akanambia hiyo Ac mbovu Ila fen mzima haha, nikataka nyingine akanambia hiyo vyote vipo Ila hakuna maji ya moto na Choo hakiflush vizuri hahaha.
Nikalala room yenye Ac Tu but Choo kizima, sasa hiyo Ac yenyewe hakuna remote it's like bandaz zote wanatumia remote moja.
Ac I think hazina service Kwa muda mrefu, Tv ipo Tu imekaa kama mapambo nayo haina chochote.
Hayo mashuka sasa ndio balaa ni kama ya gest za sinza zile za elfu 15.
Sasa nashindwa kuelewa why wanashindwa kufanya maintenance? How come dunia ya Leo hata WiFi hakuna? Na kule ndani ni porini network za simu ni ishu.
Najua kuna wadau wa Tanapa kwenye hii JF please wafanyie kazi mapungufu ni mengi Sana.
Last week nilienda kupumzika mbugani mikumi, na nikalala kwenye bandas za Tanapa.
Mambo ambayo nimejionea Aisee ni mambo ya aibu Sana hasa tukijua kuwa Tanapa inakusanya ela nyingi Sana kutoka kwa watalii.
Bandas zote zina matatizo, na hata mhusika mwenyewe anakwambia kabisa wakati unafanya uchaguzi ulale kwenye bandas gani.
Mfano me nilitaka kulala room ya mwanzo kabisa akanambia Ac mbovu, na Feni mbovu duuh, nikachagua nyingine, akanambia hiyo Ac mbovu Ila fen mzima haha, nikataka nyingine akanambia hiyo vyote vipo Ila hakuna maji ya moto na Choo hakiflush vizuri hahaha.
Nikalala room yenye Ac Tu but Choo kizima, sasa hiyo Ac yenyewe hakuna remote it's like bandaz zote wanatumia remote moja.
Ac I think hazina service Kwa muda mrefu, Tv ipo Tu imekaa kama mapambo nayo haina chochote.
Hayo mashuka sasa ndio balaa ni kama ya gest za sinza zile za elfu 15.
Sasa nashindwa kuelewa why wanashindwa kufanya maintenance? How come dunia ya Leo hata WiFi hakuna? Na kule ndani ni porini network za simu ni ishu.
Najua kuna wadau wa Tanapa kwenye hii JF please wafanyie kazi mapungufu ni mengi Sana.