Mh. Rais Samia Suluhu ni kama Rais wa Serikali ya Awamu ya 6. Huyu mama hakuwepo kabisa awamu ya 5. Ni Rais mpya ambaye hakuwahi kuwepo katika Serikali iliyopita.
Kama alikuwepo haya anayoyashangaa leo na kuyakosoa akinanga Serikali ile yalifanyika yeye akiwa kwenye Coma? Hakujua kabisa...
Kuwa mtoto wa mama kuna raha sana,
Hivi unajua mama anavyodekeza eeh hasa kwa watoto wake sasa imagine unakuwa mtoto wa mama yaani ni full kudeka, ukiwa mtoto wa mama mtoto wa jirani akikufinya tu ukiita ma... hata ujamaliza kupiga kelele mama huyu hapa kashafika,
Ukiwa mtoto wa mama hata...
Ujumbe wangu binafsi na maoni yangu binafsi Mimi Mtanzania mwenzenu kwenu enyi Watanzania wenzetu watu wa Chato.
Mimi binafsi Sina chuki Wala tatizo kuhusu nyinyi kuletewa maendeleo, kwani ni haki yenu na mnastahili Kama wanavyostahili Maeneo mengine ya Tanzania, kwa sababu nyie pia ni sehemu...
Binafsi hiki chama ninakichukia kutoka uvunguni mwa moywan
I'm 23yrs ila Ccm nimetokea kuichukia tangu nasoma primary Uganda hadi secondary Lake view mpaka namaliza chuo University of dsm 2018 hii.
Nilichogundua Mapenzi hayalazimishwi yankj automatically.
Na huu ndo ukweli.
"Hakika kunguru...
Nawauliza wanasaikolojia kwamba, Mtu yupo kwenye hafula Fulani hivi, anakaribishwa kusema machache, badala ya kuongelea mambo yanayohusu hafula hiyo, mtu anaanza kujitetea kusema, watu wanavumisha eti huyu simpendi, sjui hivi sijui vile
Huyu mbona ni Rafiki yangu, tumetoka mbali, mbona Sisi...
"NDUGU YAKO YUKO WAPI? DAMU YAKE INANILILIA UDONGONI"
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Leo katika pita pita zangu kwenye kitabu cha Biblia, nilianza kusoma kitabu cha mwanzo sura ya 1, 2, 3 nilipofika sura ya 4 nikashangaa akili yangu ikipata fikra mbalimbali. Nikashangaa nikimkumbuka Ben Saanane...
Habar zenu madoktor humu ndani.
Mnisamehe Kama kichwa cha habari kitakuwa na ukakasi wowote. Nilioa miaka 5 iliyopita, baada ya mwezi mmoja nikagundua mke wangu alikuwa ni muathirika wa HIVna aliambukizwa na mama yake kipindi cha unyonyeshaji.
Mwaka wa tano sasa kila kipindi ninachopima...
Wasalaam wakuu
Kipenzi mke wangu najua ananijali sana na kunipenda , ndiyo maana akakubali kwa kila hali na namna ifaayo kunipokea
Na kabisa baraka tele ziwe juu ya huyu mwanadada juu ya maswahibu yangu aendeelee kutunza familia yangu na watato wangu
Nayeye haachagi kunisifia kuwa ni...
Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo la Rulenge Ngara, Severine Niwemugizi amesema aliyekuwa Rais wa Tanzania marehemu, John Magufuli aliagiza arejeshewe hati yake ya kusafiria na alimtamkia mara mbili kuwa kiongozi huyo wa kiroho ndiye atakayemzika.
Akizungumza leo Alhamisi Machi 25, 2021 katika...
Mchungaji wa Kanisa la KKKT Kimara, Dr Mastai amesema yeye alimuunga mkono hayati Magufuli kuanzia siku ya kwanza aliyoingia madarakani hadi Jumapili iliyopita alipomfanyia maombezi maalumu Kanisani.
Mchungaji Mastai amesema hata sasa anamuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan lakini akitugeuka...
Mimi hapa nilipo nchini Herzegovina ( yalipo Makazi yangu ya Kudumu ) kiukweli Ninalia mno ila nashangaa Mtaa wa Pili kuna Mijitu naiona ndiyo Kwanza tu inaagiza Supu na Chapati, Mwingine anaagiza Bia ya 19 huku akicheka zake tu na lingine linapanga Kete za Kucheza Pool Table.
Je, nawe huko...
Mara baada tu ya Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan Kula Kiapo (Kuapishwa) rasmi Jana kuna Kitu si cha Kawaida nimekiona nikasema niwaulizeni JF Great Thinkers ili mnifunulie kile nisichokijua.
Nilianza Kuona Chama cha CHADEMA na Kingine cha Upinzani vikionyesha Matumaini makubwa kwa Rais...
Jina: Alfred Yohanis Msunza
Umri: Miaka 23
Natafuta kazi ya ualimu wa hesabu na uchumi(mathematics and economics), yeyote mwenye uhitaji naomba msaada.
Elimu yangu ni shahada nimemaliza chuo kikuu cha Dar es Salaam 2020 katika ndaki ya sayansi asilia na tumizi yaani pale makao makuu ya chuo...
Habari wadau!
Tuko kwenye mjadala hapa!
Wapo wanaodai ni mwalimu nyerere wengine wanasema ni Mboma, wengine wanasema ni Rais Moi!
Je, ni nani aliyetunga wimbo huo uliosikika kwa maneno "Iddi Amin Akifaa, Mimi siwezi kuliaa, nitamtupa kageraa, ili awe chakula cha mamba!
Je, wimbo huo ulikuwa...
BINADAMU WOTE TAYARI TULISHA KUFA, KWASASA TUNAONESHWA KILA MTU JINSI ALIVYO ISHI.
Unaweza kuta wote tupo mbinguni tayari, halafu haya maisha yanayo endelea ni kumbukumbu ya kila mtu kwa maisha aliyo yaishi kipindi yupo duniani. mungu anakuonesha ulivyo ishi kumbukumbu ikiisha inaonekana...
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu ya kazi, naombeni ushauri wenu maana nimeshikwa na gadhabu sana tangu siku ya jana.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 39, na kwetu tumezaliwa watatu tu mimi nikiwa wa kwanza, elimu yangu ni degree 1, baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikawa tu...
Msemaji mkuu wa Serikali ya Tanzania, Dk Hassan Abbas ametoa onyo kwa vyombo vya habari na watu binafsi kutoa taarifa za maradhi, vifo au wagonjwa bila kuzingatia misingi ya utoaji wa taarifa kwa sababu Serikali ina utaratibu wake wa kutoa taarifa.
Dk Abbas ameyasema hayo leo Alhamisi Machi 4...
Habari wadau..
Nimeona documentary ya enyimba success timu ya kwanza nigeria ku win caf champions league.. nimeiangalia kwa umakini nikajua ilikuwaje?
Kwa nilichokiona kwa enyimba kama nakiona kwa Mo na simba yake ya zama hizi.
Enyimba ilikuwa timu ya kawaida sana nigeria haijawai...
Nimepigwa na butwaa baada ya kuona clip ikisambaa kwenye mitandao ikimuonesha Naibu Spika Tulia Ackson akidai kuwa alishawahi kuugua Covid 19 mara mbili.
Clip hii inamuonesha mwanamama huyu akitoa salamu za rambirambi kwenye msiba wa aliyekuwa Katibu Mkuu Hazina Dkt. Likwelile.
Mbali ya kudai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.