mimi

  1. The king mswati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi tu binafsi siipendi hii tabia wakati wa kunyanduana au tuko wengi

    Wanajamvi habarini za asubuhi. Binafsi kuna tabia moja huwe siipendi wakati wa kunyanduana, sijui ni mimi tu ndo mhanga wa hiki kitendo au tuko wengi. Tabia yenyewe ni hii "sipendagi wakati wa kunyanduana baada ya kupizi eti mimi ndo nijifute na kumfuta yeye genye zilizomwagika badala ya...
  2. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye na Mimi yamenikuta

    Nawasalimu wote. Nyie wanandoa aisee hebu heshimuni ndoa zenu. Nimeoa miaka 5 Sasa juzi nimegundua wife anachepuka na Jamaa. Tena kirahisi rahisi tu. Huyu mwanamke nilikuwa Nampenda aisee, Ila kaniona Fala. Kinachoniuma zaidi sijawahi kuchepuka pamoja na vishawishi vyote navyokutana navyo Ila...
  3. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania Kwangu mimi hiyo ndiyo hotuba ya maana kuliko zote zilizopata kuhutubiwa na Hayati mzee Nyerere

    Mzee Nyerere alijaaliwa hekima na busara za pekee mno na mwenyezi Mungu. Ukiisikiliza hotuba hiyo hapo juu kwa mfano ni wazi unaona u Walimu wake kwenye muktadha wa kuonya,kuelekeza na kutabiri yawayo huko mbele ya safari. Mengi kama si yote aliyopata kutuasa mzee wetu yule yalitimia ama...
  4. Kijogoodi

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

    Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi. Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za...
  5. Mbomozo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Urafiki na Ushemeji wa hivi Mimi siwezi na nimeujivua SITAKI LAWAMA

    Salaam ndg zangu rehma za mwenyezi mungu ziwe nanyi... Kufupisha maneno mwaka 2017 kuna rafiki wa mke wangu automatically ni shemeji yangu tulikuwa tunapanga nyumba moja nitamuita XY. Sasa familia yake especially mumewe alikosa kazi halikuwa yy mjamzito, akaja home analia kuhusu Huduma zake za...
  6. Kelela

    JamiiForums Tanzania Mwaka Unaisha, Mimi nimejitathmini hivi

    Kujitathmini umefanya nini ndani ya mwaka husika na miaka iliyopita kutakusaidia kujua hali ya maendeleo yako. Mimi mwaka huu nilijiona kama sijafanya chochote vile , Lakini nikasema ngoja kwanza. Nikafungua Microsoft Word Document Nikaanza kuangalia Pesa niliyoiweka kwenye Investments...
  7. Superbug

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada watano kwa mpigo walinionea aibu kweli mimi kidume ilikuwaje? Soma...

    Nilikuwa natembea barabarani mara paaap mbele yangu kama mita 30 hivi wakajitokeza wadada watano wako pamoja wanakuja uelekeo wangu yani mimi naenda kwao na wao wanakuja kwangu. Basi kidume nilichofanya nikayaelekeza macho yangu kwenye sehemu ya chini ya vitovu vyao pale kwenye V nikiwakazia...
  8. Da Vinci XV

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwambie mimi ni mwanaume mwenziye ananiumiza

    Hakymungu mnanionea,nyinyi Hivi kusema kwamba nawewe ulikuwa huna baba ambaye ni mwanaume kama mimi, je mama yako angamfanyia haya haki si angekufa kwa presha ujanani tu yule mzee?? Au huyu mwanaume uliyenaye hajui kwamba namimi ni mwanaume mwenzie na kibaya zaidi nlipitialo mimi nayeye anaweza...
  9. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwangu Mimi Mwanamke huyu 'aliyejiua' baada ya 'Kufumaniwa' Mubashara na Mumewe ndiyo Shujaa wangu wa Kufungia Mwaka 2021

    Marehemu Anna Shirima popote ulipo sasa hapo Kaburini ulikozikwa Mkoani Kilimanjaro GENTAMYCINE nakutunuku Tuzo ya Ushujaa Uliotukuka kwa Kitendo chako kizuri na cha Kimedani pia cha Kujiua baada tu Kufumaniwa na Mumeo ukiwa 'Unakazwa' na Hawara yako. Wala hukutaka Mambo mengi au kupotezeana...
  10. Ernestcuthbert

    JamiiForums Tanzania Dereva Wa uber na Bolt natafuta kazi

    Habari za muda naitwa Ernest mimi ni Dereva wa uber na Bolt Kama awali hapo mimi ni dereva wa Uber natafuta Gari ya hesabu au mkataba nina leseni class C3 na vigezo vyote vya kuendesha gari za Uber ikiwa plate number njano au nyeupe haina shida. Also apart from Uber, pia natafuta nafasi ya...
  11. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Leo nimeota nacheza Mpira namba 11 ambapo mimi nachezea mguu wa kulia. Hii ina maana gani?

    Habarini wakuu, Leo nimeota ndoto ya ajabu, naiita ya ajabu kwasababu ni mambo ambayo sipendi kuyafanya kwasasa japo nilikua nikifanya zamani. Nimeota nacheza mpira namba 11 ambapo mimi nachezea mguu wa kulia. Japo mara ya mwisho kucheza mpira ni miaka kumi iliyopita. Ndoto ilianza hivi...
  12. THE FIRST BORN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika: Wanangu watatu (3) wanatoka na mwanamke mmoja hawajuani na mimi tu ndio najua kila kitu

    Habarini. Naomba Niende Direct kwenye Mada husika. Ni kama Story hivi. Mimi Hapa Nina Washikaji 3 Let us tuwa name A, B, C by then tupo zetu chuo 4 year now, sa inshu ipo hivi Mshikaji wangu A anademu wake na hapa ndio ipo story sasa, Demu huyohuyo anatoka na Mwanangu B halaf tena Demu...
  13. sanalii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anayenitafuta sina muda, ninayemtafuta hana muda na mimi

    Nimepigiwa simu na A baada ya dakika mbili nikamwambia niko na kazi nafanya nitakutafuta, baada ya kukata nikampigia B, mara ya kwanza hajapokea, nikapiga tena kapokea anasema anataka apunzike. Ngoma drooo.
  14. MTV MBONGO

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa, maamuzi yapi sahihi nikikutana na hali hii barabarani?

    Naomba kujuzwa: kuna Kivuko (Zebra) na taa za kuongoza magari. Je, Ikiwaka taa ya kijani, NISIVUKE, NIWASUBIRI WATU WAVUKE? AU WAO WANISUBIRI MIMI? Niwapo barabarani huwa Najiuliza Sana juu ya hili, mwenye ujuzi WA uhakika, ANISAIDIE.
  15. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif na mimi

    MAALIM SEIF NA MIMI Nakumbuka kama jana vile siku niliyokutana na Maalim Seif kwa mara ya kwanza uso kwa uso Starlight Hotel mwaka wa 1992 na aliyenijulisha kwake alikuwa Sheikh Khalifa Hamisi. Siku zile Sheikh Khalifa alikuwa anaendesha gazeti la Mizani na mimi nikiwa mmoja wa waandishi wake...
  16. hp4510

    JamiiForums Tanzania Mimi kama mdau wa utalii nina ombi Kwa TANAPA

    Wakuu habari za weekend, Last week nilienda kupumzika mbugani mikumi, na nikalala kwenye bandas za Tanapa. Mambo ambayo nimejionea Aisee ni mambo ya aibu Sana hasa tukijua kuwa Tanapa inakusanya ela nyingi Sana kutoka kwa watalii. Bandas zote zina matatizo, na hata mhusika mwenyewe anakwambia...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mbowe anisikilize mimi na si yule mzungu, apige magoti chini kwa mama aje tujenge nchi Taifa linahitaji mchango wake

    Sisi kanisa tumefundishwa kuwa sharia haiwezi kumkomba mwanadamu, na mafundisho yetu kupitia bwana Yesu Kristo huwa tunaenda mbali zaidi kwa imani kuwa Taurati/sharia haiwezi kuleta haki kwa jamii, haiwezi kuleta amani kwa jamii isipokuwa kwa jina la Yesu mnakaa chini na kuonyanyana kwa zabiri...
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baby hakuna cha kututenganisha, Mimi ni wako, trust me

    BABY HAKUNA CHA KUTUTENGANISHA, MIMI NI WAKO, TRUST ME. Niliyavaa mapenzi nikiwa sekondari, sikuwa hodari wa kutongoza mabinti, nililelewa na kukulia kwenye familia iliyojitoa wakfu kumtumikia Mungu huku maisha yangu yote ya uvulana nikiyatumia kushuhudia habari za wokovu, kuhubiri neno la...
  19. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wife hanijali mimi kabisa wala lolote ninalofanya

    Kwema wakuu? Nilikua nimekaa mahali ninakula msosi, kuna jirani yangu pembeni akawa anaongea na mkewe kwenye simu. Ebana wanavyoongea hadi raha yani. Mkewe anamuuliza jamaa siku yake imeendaje, anamuuliza anakula nini na pia amemsisitiza jamaa awahi kurudi home jion. Kwa upande wangu...
Back
Top Bottom