mimi

  1. JamiiForums Tanzania Ifahamu Toyota Rush. Moja ya gari pendwa sana kwa baadhi ya watu ni kiwemo mimi

    Toyota Rush ni gari aina ya SUV ndogo (compact SUV) inayotengenezwa na kampuni ya Toyota Rush. Inajulikana kwa kuwa ya familia, yenye nafasi na uwezo wa kuhimili barabara mbaya. Sifa kuu za Toyota Rush Injini ya petroli ya 1.5L Ina uwezo wa kubeba abiria 7 Ground clearance kubwa (huisaidia...
  2. JamiiForums Tanzania Je, ushawahi kuumizwa Kama Mimi?

    Aisee yamenikuta nikahisi nipo kwenye njozi ni wiki mbili tu lakini nilikonda kiasi ambacho hata upepo kidogo ukija napepesuka Kiufupi siku moja nimelala usiku naskia simu vuuu, vuuu, vuuu nilikuwa nimeweka vibration kuangalia mama ndio alikuwa anapiga ile kupokea tu hakuna salamu Wala Nini...
  3. L

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi tuliohitimu clinical medicine chuo cha Kilimanjaro College of Health and allied sciences mwaka 2025 mpaka leo hatujapata vyeti vyetu

    Habarini za kazi , Wahitimu wa diploma ya Clinical medicine wa chuo cha Kilimanjaro college of health and allied Sciences (KICOHAS)tulihitimu mwaka 2025 mwezi wa nane mpaka leo hatujapata vyeti Soma Pia: Wahitimu wa Chuo cha Uhasibu Arusha wa Mwaka 2025 hatujapatiwa vyeti vyetu, wanatupiga...
  4. JamiiForums Tanzania Kila nikitafuta cha kujivunia mimi kuwa mwafrika nakikosa

    Sio kwamba najichukia binafsi ila naichukia hii jamii ya kuitwa afrikana. Ni ngumu kukaa katika jamii ambayo utimamu ni adui, utimamu ni kihere here. Afrika aliesoma zaidi yako ni amesoma ili akuminye wewe usio na uwezo wa kisomo chake maana hauwezi kukaa katika kiti cha ku-control vile uishi...
  5. JamiiForums Tanzania Hiki kizazi kinachofanya siasa miaka ya sasa bado kina fikra za miaka ya 70's zenye roho ya u Swahili Swahili mostly hata ibada hawafanyi

    Siku wakizeeka hawa wanaofanya siasa sahz ndipo Tanzania tutakuja kuwa na kizazi chenye siasa za malengo na kizalendo (functional politics) Kitakuja kizazi ambacho hakitataka kijue hata historia ya Tanzania kitaanzisha siasa za kisasa ambazo zitajikita zaidi kwenye kulinda heshima ya nchi...
  6. JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa: Sikujua kama Watu walikuwa wamekasirishwa sana, mimi kuhama kutoka CHADEMA kwenda CCM

    Mchungaji Msigwa aliyekuwa mbunge wa Iringa Mjini kupitia Chadema kwa miaka 10 (2010/20), alijiunga na CCM Juni 30, 2024 kabla ya kutangaza kurejea rasmi Chadema Mei 23, 2026 amesema; "Mimi sikujua kwamba watu walikuwa wamekasirishwa sana na kitendo cha mimi kuhama kutoka Chadema kwenda CCM...
  7. JamiiForums Tanzania Trump: Bila mimi kusingekuwa na taifa linaloitwa Israel wakati huu

    Trump anakwambia bila yeye Iran ilikuwa inaenda kuibananga na kuisambaratisha kabisa Israel. Vipi Wayahudi wa Nampula, Matuta na Segera, mna nini cha kumuambia Trump!?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Tuheshimianeni humu ndani, nyuzi zangu hazina muendelezo leo nikisema mimi polisi, kesho kutwa mganga.. nisiulizwe

    Hamjambo nyie waja Binafs sitaki niulizwe, yaani ukute leo nimetoa uzi mimi mwizi, kesho kutwa mimi askofu au sheikh sitaki niulizwe au nikumbushiwe Uwa nawa replesent watu wangu wa karibu, sasa mkiniuliza mimi nilikuwa mlevi vipi leo naswalisha sitak maswali ya hivyo Humu kuna watu...
  9. JamiiForums Tanzania Kuna hili jina sasa hivi kila Mtoto anaezaliwa anapewa sio kwa ubaya mimi nimesema tu

    Alvin and The Chimpanzee Monkey ni katuni fulani ya watoto inayofurahisha sana watoto. Sasa hivi kila nyumba ninayokatisha imejaa Alvin and the Chimpanzee Monkey. I am Outside.
  10. JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi sijui Hesabu au Mabeberu Wana Hela? Apple Pekee ina Thamani Sawa na Bajeti ya Tanzania ya Miaka 200?

    Ni either mimi hesabu za Kihasibu sijui au Hawa jamaa waheshimiwe! Makala inaniambia kampuni la Marekani Apple, wenye iPhone, Mac, na iPads zao, wana net-worthy ya zaidi ya US$4.5 trillion tunavyoongea. Hapo hapo budget yetu kwa mwaka ni US$24 billion. Kwahiyo ukigawa hapo si kwamba Apple...
  11. JamiiForums Tanzania Mimi ni mwanachama mpya, naomba mnipokee

    Habari wana JamiiForums, mimi ni mwananchama mpya naomba mnipokee
  12. JamiiForums Tanzania Wakazi wa Songwe nipo kwenu toka Jumatano nimekuja kubalizi kidogo na majini wenzangu 😂😂 karibuni mnaotaka kuonana na mimi

    Wakazi wa Songwe nipo kwenu toka Jumatano nimekuja kubalizi kidogo na majini wenzangu 😂😂 karibuni mnaotaka kuonana na mimi
  13. JamiiForums Tanzania Hakuna "Mimi" Wala "Wewe": Spiritual awakening(non-duality)

    Kabla sijaanza, nataka niweke wazi kuwa spiritual awakening si sawa na dini. Dini mara nyingi hutufundisha namna ya kumtafuta Mungu nje yetu, lakini spiritual awakening ni safari ya kujitambua ndani yetu. Si kuhusu kubadilisha dini, kuacha imani fulani au kuwa “mtakatifu”… bali ni kuanza kuhoji...
  14. JamiiForums Tanzania Demokrasia si kwa ajili yako na mimi. Ni mfumo wa kuwaserve elites.

    Mfumo wowote wa utawala huwa unawekwa na watu walioshika uchumi. Upo kuwaserve walioshika uchumi. Kabla ya ubepari kulikuwa na ukabaila. Kwenye ukabaila kunakuwa na mabwana(feudal lords/aristocrats) na watwana(serfs). Mabwana huwa wanamiliki eneo kubwa la ardhi. Wanawapangishia watwana maeneo...
  15. JamiiForums Tanzania MH LISSU atafurahi na atakua Wakwanza Kumpokea Mchungaji Msigwa kwa Furaha, vifijo na Ndelemo!!

    Na wahakikishia, hata itokee Leo hiii Lissu Yuko Nje, HATUA YA KWANZA NI KUKUTANA NA PETER MSIGWA !!.
  16. JamiiForums Tanzania Mimi ni kijana natamani mtu anipe muongozo wa maisha kwa kifupi ili nifanikiwe..ntamshukuru sana.

    Iwe kazi Biashara Ajira Mahusiano na ndoa Yani naomba ushauri wowote ili niweze kufanikiwa Ahsante
  17. JamiiForums Tanzania Mimi Napenda mno kusoma

    Starehe ya ubongo wangu na kilevi Cha kwanza ni kusoma.cha pili ni kulakula Cha tatu movie na mziki.vingine vitafuatia. Mie Niko addicted na kusoma tangu Niko mdogo hata kabla sijaanza shule.hata kabla sijaanza chekechea tayari najua kusoma na kumultiply,kujumlisha.kuna muda nlikuwa nasoma...
  18. JamiiForums Tanzania Mimi sifanyi maombi yoyote zaidi ya kusali sala ya baba yetu uliye mbinguni kila baada ya lisaa limoja

    mimi ni mkristo nishaamuaga sifanyi maombi yoyote sijui kuombea taifa sijui kuombea mambo mbalimbali mara kulia sijui kunena kwa lugha sijui kusali rozali mimi huwa nasali sala moja tu..ya baba yetu uliye mbinguni na huwa nasubiri ifike saa fulani kamili..07;00,08;00 n.k kwa hiyo kwa siku...
  19. JamiiForums Tanzania Yahaya Upete: Pale alipopaacha Lukuvi Ismani mimi nitamalizia

    Mgombea Ubunge Jimbo la Ismani kupitia Chama Cha Wananchi CUF Nassim Yahaya Upete ameendelea na Kampeni za kuomba ridhaa kwa wananchi kwenye Uchaguzi Mdogo Jimbo la Ismani katika Kata ya Kising’a ambapo anewaahidi wananchi wa Kata hiyo kumaliza yale yote yaliyoachwa na Hayati William Lukuvi...
  20. JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi tu au Tanzania watu wengi wanaona kumuuliza mtu “unaitwa nani?” siku ya kwanza ni kama umemtongoza?

    Unaweza kukutana na mtu mkasalimiana, mkapiga story dakika 20, mkacheka kabisa… lakini hakuna anayesema jina lake. Mpaka mnaombana namba ndipo mchezo unaanza: “Ni-save nani?” Kuna ile culture ya kuzunguka sana kabla ya kuingia kwenye personal details. Watu wanaogopa kuonekana too direct au...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…