Sanamu ya shaba ya kumbukumbu ya Victor Noir, mwandishi wa habari wa Kifaransa aliyeuawa mwaka 1870, ipo katika makaburi maarufu ya Père Lachaise Cemetery jijini Paris.
Kwa miaka mingi, sanamu hii imekuwa kivutio cha kipekee kwa watalii na wageni kutoka sehemu mbalimbali duniani.
Kwa nini...