mimba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Arch Barrel

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji Mwanamke Tasa (Mwanamke asie na uwezo na kushika mimba na kuzaa)

    Naenda moja kwa moja kwenye maada. Nina miaka 33, kabila langu (siri), kazi yangu (siri) na mkoa ninaoishi kwa sasa (siri) ingawa ni kanda ya ziwa. Nina watoto wanne, wakiume wawili na wakike wawili pia. Watoto watatu nimepata kwa mama mmoja na mmoja nimepata kwa mama mwngine. Mzazi mwenzangu...
  2. Uwesutanzania

    JamiiForums Tanzania Ni wakati sasa wa serikali kuwapima wanafunzi UKIMWI na MIMBA

    Kwangu haya mawili ni majanga makubwa kuliko majanga yeyote yaliyowahi kuwapata watoto (wanafunzi. Naiomba serikali na wizara husika kuchukua hatua ya haraka ikiwemo ya kupima UKIMWI NA MIMBA kwa lazima kila wanaporudi likizo. Pia kuwepo na njia salama za kutoa wanafunzi mimba changa pale tu...
  3. Genesis_2030

    JamiiForums Tanzania 🩺 Je, Unakumbwa na Changamoto ya Kupoteza Mimba Mara kwa Mara?

    📍 Imeandaliwa na: Hillary Francis Ndeng’aso Radiographer | Health Educator 📲 IG: @hillary_officialtz Hii inaweza kuwa ishara ya BOH – Historia Mbaya ya Mimba. BOH ni kifupi cha “Bad Obstetric History”, yaani historia ya matatizo ya ujauzito au uzazi katika mimba za awali. 🔍 Dalili za BOH ni...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Yanga ni kama kitinda mimba mkiwaendekeza watawapanda kichwani; TFF na bodi Msiogope; wasipocheza kateni point sheria itajitetea yenyewe mbeleni

    Yanga ni miongoni mwa timu nzuri Tanzania bara! Lakini uongozi wa Yanga una utoto mwingi sana! Ukipitia historia ya maamuzi ya Yanga hutaacha kuona utoto ndani yake! Hawahawa Yanga WALIKIMBIA CHAMAZI COMPLEX kama uwanja wao wa nyumbani NBC league kwa sababu za kitoto, uwanja ulikuwa mzuri...
  5. Mr Fan

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleimishwa kuhusu mimba ya huyu mke wangu

    Nina mwanamke wangu mara ya mwisho kuingia hedhi ilikua tarehe 20 august 2024 na tulisex tarehe 31 august na tarehe 1 september ila tarehe za kujifungua naona zmepitiliza zile siku 280 lakini mpka leo tarehe 8 june 2025 bado anayomimba au mm calculation zangu sijapiga vzur naona tarehe...
  6. Champion number one

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi nimebambikiziwa mimba

    Wakuu habari zenu, nilikuwa naomba ushauri wenu katika pitapita zangu za kupambana na maisha nikapata mda kidogo wa kukaa nyumbani mkoani. Baada ya kufika kuna kama stationary ipo jilani nikamuomba mwenye stationary nijishikize apo akasema hakuna shida, ni mtu ninaye muheshimu, ..... Baada ya...
  7. 1academ

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina mimba ya shemejii.. Ushauri jamanii

    Toka kw pm yangu jamani dah.. Mwaka jana dada yangu alikuja kumtambulisha mwanaume wake, akatoa mahari na mipango ilikuwa ni kufunga ndoa mwaka jana hiyo hiyo mwezi 6. Mimi kipindi hicho nilikuwa niko kwenye mahusiano na mpenzi wangu, baada ya kumwambia kuhusu harusi ya dada yangu nilidokeza...
  8. NostradamusEstrademe

    JamiiForums Tanzania Ni sababu ya mimba kutoka

    Nimeona niulize kupita ukurasa huu ni kitu gani hasa kinachosababisha mimba kutoka Mods najua hii mada hii sio sehemu yake naomba muiache kwanza watu waelimike mtakuja kuhamishia kule baadae
  9. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke aliyetoa Mimba ana nuksi balaa

    I will be short ukitaka nuksi, tembea na mwanamke aliye toa mimba, yani amna kitu kitaenda, kama ni business kila siku mambo magumu, ukiajiliwa ndo kabisa, life utoboi wanawake wengi walio toa mimba ndo wanaongoza kwa nuksi mjini, Kama unabisha test zali, kama una demu ukipiga tu napata shida...
  10. AmKATRINA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Safari yangu ya Pemba, Kojani kwa mganga, imerudi na mimba

    Rejea hapa safari yangu hii ya kwenda Pemba kutafuta mganga wa kienyeji kwa ajili ya kunitibia. https://www.jamiiforums.com/threads/naumwa-sana-nimefika-pemba-ili-nitibiwe-kienyeji-naombeni-msaada-wa-mtaalamu.2298569/ Sasa baada ya kushuka bandarini (Mkoani) nilipanda gari (coaster) ya...
  11. W

    JamiiForums Tanzania Mimba miezi 10 (wiki 40) bado hajajifungua

    Naombeni ushauri nn nifanye Mke wangu ana mimba ya wiki 40 (leo ndo siku yake ya mwisho katika hizo wiki 40) ila bado hajajifungua. Tumbo halimuumi wala hakuna hali yoyote ya hatari inayomsumbua. Mtoto anacheza vizuri kabisa ila sasa wiki zake za makaridio ya kujifungua zimeisha ila bado...
  12. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Huenda Mimba zetu zilitungwa kwa bahati mbaya, pengine hatukutarajiwa tuzaliwe.

    Najaribu kuwaza tu asubuhi hii hapa. Pengine ni matokeo ya mihemko ya kimwili ya wazazi wetu ikapelekea mimba zetu zikatungwa. Hawakutarajia. Labda washua wetu walikuwa na ile mentality ya "Hit n Run". Na mama zetu walikuwa na ile mentality ya "Nakupa tu kwa leo ila sitaki mazoea"😅😅🤣. Paap...
  13. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Kenya: Visa 700,000 vya utoaji mimba vinaripotiwa kwa Mwaka, kati ya hivyo 80% vinawahusu Wanandoa

    Ripoti ya Wizara ya Afya kwa ushirikiano wa African Population and Health Research Centre (APHRC) na Taasisi ya Guttmacher imeeleza kuwa kati ya Aprili 2023 na Mei 2024, zaidi ya visa 792,000 vya utoaji mimba vimeripotiwa Nchini Kenya. Ripoti imeeleza namba hiyo ni sawa na wastani wa visa 57.3...
  14. Q

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Katoa mimba zangu 2 ananijibu majibu mepesi nimekasirika sikutegemea

    Aisee kuna demu nilikua nae kwenye mahusiano niliwekeza kwake kumbe mwenzangu yeye lengo lake ni kunyeteshana tuu hana mpango mwingine amekiri mwenyewe kuwa ametoa mimba zangu 2 na ya pili kidogo ingemtoa uhai.. nikamuuliza kwa umetoa akasema eti mimi na wewe hatukua na mpango wa kuzaa ni...
  15. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini hukumuoa/ulimkimbia Mwanamke uliempa mimba?

    Wimbi kubwa la wasichana wengi wanazalia nyumbani, hasa kwa miaka ya hivi karibuni, changamoto inakua ni nini? Na unakuta jamaa aliyempa mimba yupo tu. Tumekua mstari wa mbele kuwashutumu Wanaume kwa kuwapa mimba na kukimbia, lakini ukiingia deep unakuta wanawake wenyewe ndio chanzo cha...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Mkazi wa Ngudu, Kwimba afungwa jela miaka 30 kwa kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi

    Mahakama ya wilaya ya Maswa,mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela mkazi wa Ngudu wilaya ya Kwimba mkoa wa Mwanza,Jumanne Clement(23)kwa kosa la kubaka,kumpa ujauzito na kupoka mwanafunzi mwenye umri wa miaka 15 wa kidato cha kwanza. Hukumu hiyo imetolewa leo jumatano,Aprili 30,2025...
  17. Smith Rowe

    JamiiForums Tanzania Hii mimba ya kwangu au nimepigwa?

    Habari, Msaada wenu wanajukwaa Mara ya mwisho kuingia hedhi ni tarehe 30 mwezi wa tatu, nimesex nae tarehe 23 mwezi wa 4, leo tarehe 27 amepima ana mimba. Hii mimba ni yangu? Jee kipimo kile cha mkojo kinaweza kutoa majibu baada ya siku nne after sex?
  18. Half american

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu hapa kuna mimba?

    Kabla hatujafikia uamuzi wa kwenda kupima naomba kufahamu machache kwa wajuvi wa mambo. Huyu binti kachelewa kuingia hedhi, alitegemea kuingia hedhi kuanzia tarehe 20 lakini hadi sasa hamna dalili. 22 March ndio ilikuwa tarehe ya kuanza hedhi yake ya mwisho, kati ya tarehe 1 au 2 april...
  19. immortanity

    JamiiForums Tanzania Mwanamke mwenye uvimbe anaweza kushika mimba?

    Msaada tafadhali wakuu Hivi mwanamke mwenye uvimbe tumboni namaanisha kwenye mfuko wa uzazi uterus anaweza shika mimba na kuzaa?
  20. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Jamani acheni kujihusisha katika kutoa mimba

    Mnaua kiumbe kilichoanza uhai ndani ya mfuko huo ambapo ndipo haki yake ilipo. Usitoe uhai kwa maana tu uliteleza Usitoe uhai kwa sababu unajisikiaga raha ukiwa haujavaa kondomu. ABORTION IS SATANIC
Back
Top Bottom