Mributz
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 292
- 656
Habarini wana jamvi
Mimi na mke wng tuna mtoto mmoja sasa amekua miaka 8 nahitaji mtoto wa pili
Sasa kila akishika mimba inavyofikisha miezi miwili inatoka.
"Nakumbuka ya kwanza kabisa kutoka mtoto alikuwa na miezi 3 alifia tumboni wakati sisi tunajua mimba ina miezi saba tulivyoenda utra sound tukaambiwa mtoto kafariki akiwa na miezi 2. Tokea apo zinazofata mimba ikifika mwezi tu akienda chooni anatokwa na mabonge ya damu mimba zinaharibika.
Tukikaa mwezi anashika mimba vizuri kabisa ikifikisha mwezi au miezi 2 inatoka
Naombeni msaada wana jamii nawaomba sana kama kuna mwenye mawazo utaaalamu
Imefika hatua mke wangu anasema amelogwa
Mimi na mke wng tuna mtoto mmoja sasa amekua miaka 8 nahitaji mtoto wa pili
Sasa kila akishika mimba inavyofikisha miezi miwili inatoka.
"Nakumbuka ya kwanza kabisa kutoka mtoto alikuwa na miezi 3 alifia tumboni wakati sisi tunajua mimba ina miezi saba tulivyoenda utra sound tukaambiwa mtoto kafariki akiwa na miezi 2. Tokea apo zinazofata mimba ikifika mwezi tu akienda chooni anatokwa na mabonge ya damu mimba zinaharibika.
Tukikaa mwezi anashika mimba vizuri kabisa ikifikisha mwezi au miezi 2 inatoka
Naombeni msaada wana jamii nawaomba sana kama kuna mwenye mawazo utaaalamu
Imefika hatua mke wangu anasema amelogwa