Mwanamme kushindwa kutungisha mimba

Mwanamme kushindwa kutungisha mimba

Atukuzwe Mungu

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2018
Posts
209
Reaction score
280
Salam ndugu zangu wanaJF,

JF imekuwa na msaada mkubwa sana kwangu. Leo nimekuja na kuomba msaada, je mwanamme kushindwa kutungisha mimba tiba yake ni Nini?

Vipimo vya hospital vinaonesha sperm hazina speed na sio matured. Naomba msaada kwa mtu ambaye anajua matibabu ata ya kienyeji. Nimetumia za hospital bila kupona.
 
Back
Top Bottom