Naomba ushauri kwa wazoefu, wataalamu, wajuzi n.k
Amebakiza miezi 2 kwa makadirio.
Ni safari ya almost 8Hrs, kutoka Dar kwenda mkoani.
Tayari nipo out of time, safari hio ni either kesho/keshokutwa or never.
Kama inawezekana, nini vya kuzingatia?
NOTE: ni kwa njia ya Public transport/Bus.