Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 421
- 1,583
Kisa cha kweli nilikuwa na mpenzi ambae kwa tulipenda sana kwa jina lake letina cosmatiko mtoto huyu kaumbia pia mzuri mimi ashampoo huwa napenda mataka mtoto alikuwa nayo nilikutana posta huko mwaka 2017sura nayo nzuri sana
Sijisifii kila siku nawaambia mungu alinibariki nikashika hela nikiwa na miaka 22 tayari nikiwa chuo niliweza kuweka 50 million pale stanibic bank nikisoma IFM miaka hiyo nilikuwa hela kuwazidi hata malecturer baadhi hata mitihan nilinunua sana
Nilipanga apartment kali mitaa kisutu pale posta kiukweli nilifanya sana starehe biashara ilikuwa inalipa sasa katika pita pita zangu nikaja zama kwenye penzi la huyu letina kama kweli nilimpenda sana ila bila kumuonesha ila kwa kuwa hela ipo nilimpa kila kitu
Tulisafiri sana tulilala mahotel makubwa hadi laki tano kwa siku kiukweli mapenzi ukiwa na hela ni raha sana
Basi bwana kisanga kili anza mwaka 2019 december kuja 2020 biashara yangu yote ilitegemea kuagiza china kwa 100% corona ilivyokuja biashara iliyumba hadi ninavyoongea leo sijakaa sawa niliikuwa naingiza faida ya millioni 16 kwa mwezi hadin 20 faida ghafla nikaanza kuona 6 million mara 1 mara laki tano nikajua sina jinsi zaid ya kufunga
Madeni yakanizonga nikalipa baadhi ...mama angu mzazi akaumwa nikatumia kama 10 million kumtibu ni hakuna kitu akafarik ...mwezi mmoja baadae akaja dada angu nae akavuta nikawa nimeishiwa kabisa na wote nilitoa hela za matibabu
Nikahama kwenye apartment ambayo nilipenda sana nikaamia nje ya mji sababu ya ukata wa hela nilikuwa nalipa laki 9 kwa mwezi baba mwenye nyumba alikuwa boss wa serikalini roho nzuri mno nilimuuzia maheater ana AC zote nilizoweka mule
Sasa ikafika kipindi nikauza hadi gari langu la milion 22 kurudi kwenye business lakin wapi hasara hadi hela zikaisha moyoni nikajitangazia kuwa nimefulia sasa nikajua u uboss umeisha sasa
Hela za kodi zikaanza kusumbua hela za kula sometimez ila sijawahi muomba mtu hata siku huwa naamini katika mishe zangu narudia sijawahi muomba mtu hata nifulie vipi
Turudi kwa letina aliendelea kuwa na mimi na kuniheshimu hivyo hivyo heshima ilienda inashuka inashuka hadi juzi kati hapo kwa sababu kiukweli nilikuwa sina cha kumpa kama alivyozoea akaniacha niliumia sana ni mwezi akapata lijamaa lina vihela vikamzonga akaanza kufanya comparison nikaamua kumuacha kiukweli mimi ndo niliachwa nilijiwahi tu
Nashukuru alivumilia hata hiyo miezi sita maana hali niliyonayo hata mimi mwenyewe najivumilia basi tu.... baada ya kuachwa i almost lost my mind yaani nimeachwa hela sina hata kutafuta mwingine uwezo bado sina ashampoo kiukweli nimepatika
Nimeandika haya ili siku nikija kufanikiwa niwe na reference ...kuna deal nalicheza hapa nahisi kufikia mwezi wa saba nitapata 50 million hivi
Namuonea huruma aliyenipokonya letina na safari hii hela zikianza kuingia 1@ni mwendo wa kujenga apartment siji rudia mchezo wa kununua vi assset vya kishamba shamba nitaachia ma apartment tu uzuri mungu kanibariki bahati hela nyingi
Ila letina kaniuma jamani ilibaki kidogo nichanganyikiwe maana nilikuwa nashindwa kumove on sababu ya ukata lla bado nakidonda cha mapenzi ndo kimeanza kukaukaa kwa mbali
Wadau ushauri hata mtu akupende vipi kuna hali ikifika kama mwanaume hauvumiliki kabisa ataondoka huku anakupenda mapenzi bila hela sawa na chai bila sukari unaweza ukanywa ila chachu sana
Wadau nikianza kushika hela nitarudi tena nataka muwe mnanipa ushauri kuinvest kwenye vitu vya maana mwezenu kwa kuinvest kwenye vitu vya ajabu ajabu sijambo ila kupata hela kwangu huwa rahisi ila kuzifanya zikae ndo shida ...nimetoa tu story huu ni page moja ya maisha yangu
Mwezi sita nimeapa kumuumiza moyo jamaa maana nitakuwa nakula letina afu simrudii wala sina mpango wa kumrudia letina nataka jamaa amuoe kabisa ili nianze kula akiwa ndoani na jamaa nitafanya ajue
Nacha kunifanya wala kunifanya hana kipindi nikiwa na hela nilinunuaga bastola ....so hana la kunifanya hata akinifumania
Narudia tena hela zangu zikiazangq kuingia utashanga mara mil 30 mara mil 40 mara mil 50 mara mara mil 80 ....yana nakuaga kama drug dealer kumbe mtu tu wa kariakoo
My one page of my life 2023 ..nitarudi siku nyingine
Sijisifii kila siku nawaambia mungu alinibariki nikashika hela nikiwa na miaka 22 tayari nikiwa chuo niliweza kuweka 50 million pale stanibic bank nikisoma IFM miaka hiyo nilikuwa hela kuwazidi hata malecturer baadhi hata mitihan nilinunua sana
Nilipanga apartment kali mitaa kisutu pale posta kiukweli nilifanya sana starehe biashara ilikuwa inalipa sasa katika pita pita zangu nikaja zama kwenye penzi la huyu letina kama kweli nilimpenda sana ila bila kumuonesha ila kwa kuwa hela ipo nilimpa kila kitu
Tulisafiri sana tulilala mahotel makubwa hadi laki tano kwa siku kiukweli mapenzi ukiwa na hela ni raha sana
Basi bwana kisanga kili anza mwaka 2019 december kuja 2020 biashara yangu yote ilitegemea kuagiza china kwa 100% corona ilivyokuja biashara iliyumba hadi ninavyoongea leo sijakaa sawa niliikuwa naingiza faida ya millioni 16 kwa mwezi hadin 20 faida ghafla nikaanza kuona 6 million mara 1 mara laki tano nikajua sina jinsi zaid ya kufunga
Madeni yakanizonga nikalipa baadhi ...mama angu mzazi akaumwa nikatumia kama 10 million kumtibu ni hakuna kitu akafarik ...mwezi mmoja baadae akaja dada angu nae akavuta nikawa nimeishiwa kabisa na wote nilitoa hela za matibabu
Nikahama kwenye apartment ambayo nilipenda sana nikaamia nje ya mji sababu ya ukata wa hela nilikuwa nalipa laki 9 kwa mwezi baba mwenye nyumba alikuwa boss wa serikalini roho nzuri mno nilimuuzia maheater ana AC zote nilizoweka mule
Sasa ikafika kipindi nikauza hadi gari langu la milion 22 kurudi kwenye business lakin wapi hasara hadi hela zikaisha moyoni nikajitangazia kuwa nimefulia sasa nikajua u uboss umeisha sasa
Hela za kodi zikaanza kusumbua hela za kula sometimez ila sijawahi muomba mtu hata siku huwa naamini katika mishe zangu narudia sijawahi muomba mtu hata nifulie vipi
Turudi kwa letina aliendelea kuwa na mimi na kuniheshimu hivyo hivyo heshima ilienda inashuka inashuka hadi juzi kati hapo kwa sababu kiukweli nilikuwa sina cha kumpa kama alivyozoea akaniacha niliumia sana ni mwezi akapata lijamaa lina vihela vikamzonga akaanza kufanya comparison nikaamua kumuacha kiukweli mimi ndo niliachwa nilijiwahi tu
Nashukuru alivumilia hata hiyo miezi sita maana hali niliyonayo hata mimi mwenyewe najivumilia basi tu.... baada ya kuachwa i almost lost my mind yaani nimeachwa hela sina hata kutafuta mwingine uwezo bado sina ashampoo kiukweli nimepatika
Nimeandika haya ili siku nikija kufanikiwa niwe na reference ...kuna deal nalicheza hapa nahisi kufikia mwezi wa saba nitapata 50 million hivi
Namuonea huruma aliyenipokonya letina na safari hii hela zikianza kuingia 1@ni mwendo wa kujenga apartment siji rudia mchezo wa kununua vi assset vya kishamba shamba nitaachia ma apartment tu uzuri mungu kanibariki bahati hela nyingi
Ila letina kaniuma jamani ilibaki kidogo nichanganyikiwe maana nilikuwa nashindwa kumove on sababu ya ukata lla bado nakidonda cha mapenzi ndo kimeanza kukaukaa kwa mbali
Wadau ushauri hata mtu akupende vipi kuna hali ikifika kama mwanaume hauvumiliki kabisa ataondoka huku anakupenda mapenzi bila hela sawa na chai bila sukari unaweza ukanywa ila chachu sana
Wadau nikianza kushika hela nitarudi tena nataka muwe mnanipa ushauri kuinvest kwenye vitu vya maana mwezenu kwa kuinvest kwenye vitu vya ajabu ajabu sijambo ila kupata hela kwangu huwa rahisi ila kuzifanya zikae ndo shida ...nimetoa tu story huu ni page moja ya maisha yangu
Mwezi sita nimeapa kumuumiza moyo jamaa maana nitakuwa nakula letina afu simrudii wala sina mpango wa kumrudia letina nataka jamaa amuoe kabisa ili nianze kula akiwa ndoani na jamaa nitafanya ajue
Nacha kunifanya wala kunifanya hana kipindi nikiwa na hela nilinunuaga bastola ....so hana la kunifanya hata akinifumania
Narudia tena hela zangu zikiazangq kuingia utashanga mara mil 30 mara mil 40 mara mil 50 mara mara mil 80 ....yana nakuaga kama drug dealer kumbe mtu tu wa kariakoo
My one page of my life 2023 ..nitarudi siku nyingine