michezo

  1. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Tuzo za Baraza la Michezo la Taifa (BMT) ukumbi wa the Dom Masaki Leo

    Leo ndio usiku ambao wanamichezo mbalimbali Tanzania watapewa tuzo katika shughuli inayoendelea Sasa hapa ukumbi wa the Dom Masaki. Mgeni rasmi ni Kasim Majaliwa na MC ni msemaji wa Azam NB Nje ni gari tupu ============= Ahmed Arajiga: Ameshinda tuzo ya Mwamuzi bora wa kiume Esther Chabruma...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Serikali inatenga bajeti kubwa michezo ya UMISETA na UMITASHUMTA ya nini wakati haiendelezi zaidi wenye vipaji?

    Nauliza kwa sasa tunaona UMISETA na UMITASHUMTA unafanyika, serikali imetenga fungu lakini matokeo yake ikifika hatua ya kitaifa yaani mfano tumepata vijana kikosi cha taifa kwenye football, volleyball, netball, basketball, handball, matokeo yake hawaendi popote wanarudi tu makwao! Maana yake...
  3. 100 others

    JamiiForums Tanzania Video: Waziri wa Michezo akionyesha Vijana Namna ya kusakata kabumbu

    Ndio inapaswa iwe hivi, waziri wa kilimo ajue kupiga jembe haswa tena la mkono. Waziri wa TEHAMA ajue masuala ya IT na wizara zingine zote wawe wanafanyiwa majaribio na kupewa mitihani kabla hawajaingia kwenye wizara husika. Minister Of Sports Uganda.
  4. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu tujengeni utamaduni wa kuhudhuria viwanja vya michezo ⚽

    Nimegundua kushindwa kwangu kuhudhuria viwanja vya michezo kumenifanya nikose vingi. Najutia sana
  5. Kidaya

    JamiiForums Tanzania SoC04 Mikopo kwa wanamichezo ili kuinua sekta ya michezo, sanaa na utamaduni

    Michezo, Sanaa na utamaduni ni ajira, burudani, biashara na utambulisho wa Taifa. Sekta ya michezo, sanaa na utamaduni ni sekta muhimu kiuchumi katika nchi zilizoendelea kwa mfano nchini Uingereza, sekta ya michezo inakadiriwa kuchangia kiasi cha Tsh. trilioni 110.9 kwa mwaka kwenye pato la...
  6. lugoda12

    JamiiForums Tanzania Utofauti wa Simba na Liverpool

    Utofauti wa Simba na Liverpool ni mmoja tu, Liverpool anacheza CHAMPIONS LEAGUE na Simba anacheza CONFEDERATIONS CUP ila zote zipo nafasi ya 3 katika ligi zao! ✍🏾
  7. Extrovert24

    JamiiForums Tanzania Michezo ya leo NBC premier league, timu zipi zitaenda CAF champions league au CAF confederation

    Wakuu habari za asubuhi, Leo Kuna Mechi za maamuzi kwa team nyingi eidha kwenda Caf champions league au Caf confederation, na wengine eidha kusalia kwenye league au kucheza play off au kushuka daraja. Je JKT ataweza ku-maintain asicheze play off? Je Mashujaa naye atamaintain? Je Kagera...
  8. H

    JamiiForums Tanzania SoC04 Michezo ni chanzo cha ajira Tanzania ikiwekezwa vizuri

    Tz yetu hii imejikita kwenye michezo michache sana na hiyo michezo serikali ndio hitoa sapoti Kwa kiasi chake ila mm Kwa miaka kumi ijayo ni wkati wa serikali pamoja na wadau wote nchini kuunga mkono michezo yote halali inayoweza kuongeza Pato la taifa na kuongeza ajira Kwa vijana. Michezo yote...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Manchester United mabingwa Kombe la FA 2024 baada ya kuifunga Man City 2-1

    Ni baada ya leo kuichapa ManCity 2-1 uwanja wa Wembley huku golikipa Onana akiwa man of the match. --- Manchester United imefanikiwa kubeba Ubingwa wa FA Cup 2024 kwa kuifunga Manchester City katika Fainali kwa magoli 2-1 kwenye Uwanja wa Emirates Jijini London Magoli ya Alejandro Garnacho na...
  10. Kaka yake shetani

    JamiiForums Tanzania Swala la michezo Wana JF naomba mtoe maoni hapa

    Kulikuwa na mashindano ya kikapu ambayo chini umri 16.Washirki wawili walikutana ambao USA na el salvador's . Matokeo USA alishinda kwa vikapu 114 huku El salvador's 19. Umejifunza nini hapa kuhusu michezo
  11. F

    JamiiForums Tanzania SoC04 Kichwa: Uvumbuzi wa Michezo ya Kubashiri kwa vijana na Maendeleo ya Tanzania katika miaka 25 ijayo

    Michezo ya kubahatisha imekuwa sehemu muhimu ya utamaduni wa vijana duniani kote, na Tanzania haiko nyuma. Kwa miaka 25 ijayo, michezo ya kubahatisha inaweza kuwa na jukumu muhimu katika kusaidia maendeleo ya nchi kwa njia mbalimbali. Kwanza kabisa, michezo ya kubahatisha inaweza kuchangia...
  12. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo yaomba Bajeti ya Tsh. Bilioni 258 kwa mwaka 2024/25

    Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imewasilisha Bungeni maombi ya Bajeti ya Tsh. 285,318,387,000 kwaajili ya matumizi ya Wizara na Taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2024/25 Kati ya fedha zilizoombwa, Tsh. 11,280,116,000 zitatumia kulipa Mishahara ya Watumishi na Tsh. 15,847,483,000 ni kwaajili...
  13. lugoda12

    JamiiForums Tanzania Hongera sana kwa huyu mwamba

    Kongole sana kwa huyu mwamba kuwa bingwa kwa mara nyingine “BACK TO BACK wa EPL! 🏆👏🏾
  14. G-Mdadisi

    JamiiForums Tanzania Wanawake wapewe fursa ya kushiriki michezo kwa maendeleo

    JAMII imetakiwa kubadili mitazamo hasi juu ya suala la ushiriki wa wanawake katika michezo mbalimbali ili nao waweze kupata haki yao ya msingi ya kuchangamana kupitia michezo hiyo. Wito huo umetolewa na mtaalam wa masuala ya kijinsia na mwandishi wa habari mkongwe nchini, Bi Hawra Shamte...
  15. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania EPL: Makombe Mawili Yaliyofanana yatapelekwa kwenye Viwanja vya Emirates & Etihad katika michezo ya leo ya kuamua nani awe bingwa

    Bodi la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wameamua kupeleka makombe mawili yanayofanana katika viwanja viwili vya Emirates ambapo utapigwa mchezo wa Arsenal Vs Everton. Kombe la pili litapelekwa kule Etihad ambapo kutakuwa na mchezo wa Man City Vs West Ham. Sambamba na hayo pia, watapeleka medali 40...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta sehemu ya michezo ya watoto Kigamboni

    Habari, Mwenye kufahamu tafadhali. Sehemu ambayo kuna michezo ya watoto Kigamboni. Asante.
  17. R

    JamiiForums Tanzania SoC04 Uwekezaji kwenye sanaa na michezo kupunguza wimbi la tatizo la ajira

    Sanaa kwa kiasi kikubwa katika ukanda wetu wa bala la Africa kwa kiasi kikubwa imeanza kuwa sekta rasmi ambayo kama itawekewa mkazo kwa kiasi kikubwa sana inaweza kutoa ajira kwa watu wengi sana kwani cheni ya ajira kwenye sanaa ni kubwa sana kuanzia kwenye chimbuko ambalo ni kipaji cha mtu...
  18. lugoda12

    JamiiForums Tanzania Huyu ni Kylian Mbappe au sio?

    Bado tunabishana kijiweni wapo wanaosema huyu ni Kylian Mbappé wapo wanaosema huyu si Kylian Mbappé kwa ukali wa macho yako, huyu ni yeye au si yeye?
  19. U

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Waziri wa michezo wa nchi ya Rwanda Aurore Mimosa Munyangaju

    Wadau hamjamboni nyote? Mfahamu Waziri wa michezo Rwanda Aurore Mimosa Munyangaju Aurore Mimosa Munyangaju (born as Aurore Mimosa), is a Rwandan businesswoman and politician who serves as Minister of Sports since 5 November 2019. Mimosa holds a certificate in dealing simulation, awarded by...
  20. Wimbo

    JamiiForums Tanzania Betting, michezo ya kubahatisha ni dhambi hata kama inaingizia nchi pesa nyingi

    Naliomba Bunge tunapofikia kujadili ustawi wa jamii michezo ya kubahatisha toeni sauti Taifa linaangamia, hata kama Mwigulu anaona ni sawa tu kwa kuwa pesa inaingia, faida ya pesa inayopatikana na madhara ya michezo hiyo kwa Taifa ni ni sawa na tone. Mwenyezi Mungu ameharamisha betting kwa...
Back
Top Bottom