miaka

Fushigi Yūgi (Japanese: ふしぎ遊戯, lit. "Mysterious Game"), also known as Fushigi Yûgi: The Mysterious Play or Curious Play, is a Japanese shōjo manga series written and illustrated by Yuu Watase. It tells the story of two teenaged girls, Miaka and Yui, who are pulled into The Universe of the Four Gods, a mysterious book at the National Diet Library. It is essentially based on four mythological creatures of China. Shogakukan serialized Fushigi Yûgi in Shōjo Comic from December 1991 to May 1996 and later compiled the manga into eighteen tankōbon volumes.
Studio Pierrot adapted it into a fifty-two episode anime series that aired from April 1995 to March 1996 on TV Tokyo. The anime spawned three original video animation (OVA) releases, with the first having three episodes, the second having six, and the final OVA, Fushigi Yûgi: Eikoden, spanning four episodes.
A thirteen-volume Japanese light novel series, written by Megumi Nishizaki, followed Fushigi Yûgi. Shogakukan published the novels from January 1998 to September 2003. Watase also released two prequel manga series: Fushigi Yûgi: Genbu Kaiden, which ran from March 2003 to February 2013, and Fushigi Yûgi: Byakko Senki, which began serialization in August 2017.
In North America, Viz Media licensed the manga series for an English-language release in 1999. The anime series was first licensed by Geneon Entertainment and re-licensed by Media Blasters in 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. Mung Chris

    Tunastaafu bado madeni ya Polisi wanayoidai Serikali ni miaka 7 bado haijalipwa

    Haya ni mateso juu ya mateso, Nauli za baada ya kustaafu ni kitendawili, Penesheni ya PSSSF kulipwa ni kitendawili, Madeni pindi tunaenda kozi za vyeo pamoja na kukatwa kwenye mshahara kila mwezi laki 290 elfu kujisomesha kwenye chuo cha serikali kila mwezi bado hatujalipwa nauli zetu za safari...
  2. Red Giant

    Unafikiri mipaka ya nchi miaka 40 ijayo itakuaje?

    Habari wakuu. Mipaka ya nchi ni kitu kinachobadirika kila leo. Miaka 30 iliyopita kulikuwa na nchi kubwa ya USSR. Leo haipo, imetoa nchi kibao. Ujerumani haikuwa nchi moja, hakukuwa na Sudan kusini wala Somaliland. Leo Kurdistan ni kama nchi, Syria inataka kuvunjika nk. Unaionaje mipaka...
  3. Jidu La Mabambasi

    Tuliwahi kuwa Taifa moja na Utaifa ulikuwa juu, kimetokea nini miaka ya karibuni?

    Regardless of chama , hii ilipendeza sana kuona baina ya vyama, kuunganishwa na nchi yetu kwa umoja. Nani aliingiza sumu ya kuondoa utaifa wetu?
  4. The Guitarist

    SoC01 Safari ya miaka 7 katika uraibu wa filamu za ngono

    Habari Natumaini upo na Uzima. Basi tumshukuru Mungu kwa hilo. Lakini kama Pia haupo sawa amini kwamba wakati wako Utafika tu. Bila kupoteza wakati acha nikushirikishe mkasa huu ulionipata na namna nilifanikiwa kujitoa Katika Uraibu wa Machapisho, Picha na Video za Ngono kwa Miaka 7. Nikiwa...
  5. Kamanda Asiyechoka

    Kwa miaka 20 tunashiriki uchaguzi, CHADEMA hatujakubalika, yaliyotokea Zambia hayawezi kutokea hapa Tanzania

    Ili chama kichukue dola lazima kikubalike kwa wananchi kuwa kina uwezo wa kutatua shida,kero na matatizo ya wananchi baada ya chama tawala kufeli. CHADEMA haijajenga imani kwa wananchi kuwa ni chama chenye uwezo wa kutawala na kutatua kero za umma. Wazambia wanajua kuwa ili kero zao zitatuliwe...
  6. Sky Eclat

    Madonna mwenye umri wa miaka 63 akiwa na mpenzi wake mwenye umri wa miaka 27

    Tafuteni pesa, uzee mwisho Chalinze
  7. Mystery

    Serikali kuanzisha utaratibu wa kuzisajili taasisi za dini kila baada ya miaka 5 una lengo la kuwaziba midomo viongozi hao wa dini

    Kila mwananchi ameona utaratibu mpya ambao umeanzishwa na serikali hii ya awamu ya 6 ya kuanza kuzifanyia "monitoring" taasisi zote za dini na kuzisajili upya kila baada ya miaka 5. Huu ni utaratibu mpya kabisa, ambao haujawahi kuwepo tokea nchi yetu ipate uhuru wake, miaka 60 iliyopita. Ni...
  8. Pascal_TZA

    Yaliyojificha Mochwari, hatosahau, maiti kufufuka, kupakwa makeup aliekaa miaka 7 anahudumia maiti

    Ushawahi kujiuliza nani atakuandaaa siku yako ya mwisho pale mwili utakapotengana na roho, nani atakuosha, nani atakuvisha? au ushajiuliza inakuwaje pale mtu anapofariki katika ajali viungo vyake vya mwili vikatengana, utumbo ukatoka nje? Maswali hayo yakanifanya nifunge safari mpaka Hospitali...
  9. Chizi Maarifa

    Guilty until proven Innocent : Afungwe miaka 20 halafu akitoka kesi yake ndo Isikilizwe

    Kwa baadhi ya Wanasiasa na viongozi mbalimbali madhira ambayo wameifanyia nchi hii.... Mi kweli nasema mtu wa namna kwanza anahukumiwa kifungo cha kwenda Jela Miaka 20. Akimaliza akitoka ndo kesi yake sasa inaanza sikilizwa ajitetee ili asiende tena ndani kwa kifungo cha miaka 100 bila msamaha...
  10. Replica

    Lionel Messi akubali kujiunga na PSG kwa mkataba wa miaka miwili, kulipwa £ milioni 25 kwa mwaka

    Messi (34) amekubali kujiunga na PSG baada ya kuondoka katika Klabu ya FC Barcelona aliyoichezea kwa miaka 21 Inaelezwa atasaini mkataba wa miaka 2 wa thamani ya kulipwa Paundi Milioni 25 (baada ya kodi) kwa mwaka. --- ✍Lionel Messi amefikia makubaliano na PSG kujiunga nao akiwa mchezaji huru...
  11. Mzee makoti

    Binti wa umri wa miaka tisa amuuguza Bibi yake kwa zaidi ya miaka Mitatu

    More by this Author Mwanza. Shamsa Yusuph (9) ambaye kwa umri wake anapaswa kuwa shule, amejikuta akikosa fursa hiyo baada ya kulazimika kubeba jukumu la kumhudumia bibi yake mgonjwa aliyelala kitandani kwa maradhi kwa miaka mitatu sasa. Mtoto huyo anayeoonekana kuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa...
  12. T

    Miaka ijayo Rais Samia atakumbukwa kama 'Iron Lady', tumpe muda ya kuendeleza vita vya uhujumu uchumi na ugaidi

    Tukiachana na unafiki, hakika nikiri kusema Serikali ya Rais Samia ni imara na madhubuti kwenye kusimamia amani na usalama wa nchi yetu. Jukumu la Rais kama amri jeshi mkuu ni kuhakikisha usalama na amani vinalindwa kwa nguvu zote na yeyote anayeonesha viashiria vyovyote vya kuvunja amani...
  13. Kamanda Asiyechoka

    Kama akikutwa na hatia chairman Mbowe kufungwa miaka 15-20

    Kati ya makosa anayoshitakiwa nayo Mbowe mojawapo ni kufadhili ugaidi. Japokuwa anashitakiwa kwa makosa mengine lakini hili ndio kosa pekee linalomkabili yeye peke yake. Yale mengine ya kupanga njama za kufanya ugaidi ameundanishwa na watuhumiwa wengine. Kwa mujibu wa kifungu cha 13 cha POA...
  14. Erythrocyte

    Mkataba wa miaka 10 wa haki za kutangaza ligi kuu kati ya TFF na TBC uchunguzwe

    Kuingia mkataba mrefu wa miaka 10 na Taasisi moja tena Taasisi yenyewe kama TBC, ambayo siku yoyote yaweza kukatisha matangazo ya soka kwa vile kuna kiongozi anazindua vyoo vya Stendi lazima tuchunguze, hawa TBC hawako huru kiasi cha kuingia mkataba na mtu yeyote. Kwanza walishindanishwa na...
  15. Tony254

    Jamii ya Shona imepata uraia wa Kenya baada ya miaka 60 ya kuishi bila Uraia hapa Kenya

    Jamii hii ya Shona ilikuja Kenya mwaka wa 1959 kama missionaries yaani watu wanaoeneza injili. Sasa wameishi Kenya bila uraia kwa miaka 62 na hivi leo wamepata uraia kamili na hata kupata vitambulisho. Hii inafuatia Jamii la Wamakonde kutokea Msumbiji waliopata uraia huo miaka michache...
  16. Nyankurungu2020

    Miaka ya nyuma ilikuwa dili kumvua nguo ya ndani binti, siku hizi wanavua wao

    Miaka ya nyuma ilikuwa raha sana kwenda kuchapa demu. Kwanza unamsotea kutongoza halafu kama amekukubali anakupa penzi kwa mbinde. Kumvua nguo ya ndani inakua ugomvi na unakula mzigo kijasho kinakutoka. Siku hizi mabinti wakiingia geto wanavua kabla hata mwanaume hajavua!
  17. Kiume3000

    Nina miaka 43 na nimeshajenga, tatizo ni gari

    Wakuu wangu habari zenu. Ama baada ya kiwasabahi title inajieleza, hata watoto wanasema mama/bana nunua gari. Kiukweli shida kubwa kwangu ni usafiri uwezo wa kununua ninao, ada nalipa mamilioni, tatizo ni woga kuingia road. Woga mwingine ni mahuruma. Mimi nina mahuruma sana, nikikuta mtu...
  18. E

    Nakubaliana na Julius Malema sio busara kumfunga mzee wa miaka 73 katika jela ya umma

    Katika moja ya mahojiano na kituo cha tv Malema amesema sio busara kumfunga Jacob Zuma katika jela ya umma ukizingatia umri wake wa miaka 73, angeweza kutumikia kifungo cha nje akiwa nyumbani kwake "under house arrest" nimeona hii busara. Na sie kwanini tusiweke sheria mtu akifikisha umri wa...
  19. DustBin

    Serikali ijitathimini, kuna wimbi kubwa la vijana kuacha kazi ndani ya kipindi hiki cha miaka 7

    Nina washkaji zangu kadhaa nilisoma nao wameacha kazi za serikali. Na jana nimekutana na mwanangu nilikua nae room moja chuo ameniambia ameacha kazi aliyokua anaifanya huko serikalini. Nilipomhoji akanambia ishu ni maslahi ilihali muda mwingi anautumia kazini, hata muda wa kufanya shuguli...
  20. Opportunity Cost

    Tuanzishe leseni kwa walevi Ili kulinda watoto chini ya miaka 18

    Habari wakuu. Kuna haja ya Kuanzisha leseni ya ulevi kwa mdaraja tofauti tofauti Ili kuwa chanzo cha mapato na kulinda watoto chini ya miaka 18. Mfano wa leseni utakuwa kama hii hapa chini 👇👇
Back
Top Bottom