Mengi is a common masculine Turkish given name. It means "eternal", "without a beginning", "having no beginning". It is an Oghuz accented version of Mengü which is also a Turkish given name. Compared to Mengü, Mengi has an additional meaning: "happy".
Hakuna ulichokosa tokea mama yako kawa raisi.
Kwa kutajwa tajwa kwako kila matukio yanayoendelea hapa.
Umekuwa wa kujificha sana yani kama umejifungia mwenyewe uhuru wako.
Hata ukaenda kuishi nchi za nje kumbuka kuna watu wanandugu zao uliowafanyia mabaya wewe na mama yako
Achana na lile vibe la msiba la waombolezaji, kwikwi na vilio vya chinichini, simanzi na majonzi wakati wa ibada.. Hayo mambo jana hayakuonekana kabisa
Kilichoonekana jana ni mambo ya kutisha sana
Ukimya usio wa kawaida
Hofu ya dhahiri nyusoni
Taswira zilizohamanika na kukosa utulivu kabisa...
Neno mama:-
1. Kwa kiha (watu wa Kigoma) ni "nyoko".
Mfano.
(a) Ndamhamagala nyoko wawe (namuita mama yako).
(b) Jewe ndi nyoko wawe (mimi ni mama yako).
2. Kwa lahaja nyingi za kiswahili; neno "mama" ni nyoko.
Mfano. K*ma"nyoko" ni tusi la kiswahili lenye muunganiko wa maneno mawili; "k*ma" na...
Hamjambo!
1. Waislam ni kama Kaini kwa ndugu yake Habil. Wanaona wivu na kuwa na hasira na maendeleo ya Wakristo.
2. Mimi kwa upande wa Baba ni Waislam. Mara yangu ya Kwanza kuingia msikitini nilishangaa Sana. Waislam wengi hawajaujenga uislam kama taasisi.
3. Unaweza kuingia msikitini Siku...
1.Wazee wanaoishi kwa kuombaomba mitaani waliotelekezwa na ustawi wa jamii
2.Waliodhurumiwa pesa zao baada ya kufanya biashara na serikali
3.Waliofukuzwa kazi serikalini kwa uonevu bila sababu za msingi na kinyume na utaratibu
5.Wastaafu waliodhurumiwa mafao yao na serikali bila sababu za...
Hii statement siyo nzuri kwa kipindi hiki inaweza kum cost.
Kwamba waje 9 Disema au 25 Disemba au siku yeyote tumejipanga. Who are You.
Ameyasema haya leo akinukuu clips za Mange Kimambi za mitandaoni.
Picha hii inayosambaa mitandaoni ikiwaonyesha wanajeshi wa JWTZ wakipokea maelekezo kutoka kwa Polisi imeibua mjadala mkubwa. Huku wengine wakiona kama ni kushusha hadhi ya jeshi la wananchi, swali linabaki ni Je! Itifaki ya vyombo vya ulinzi na usalama inawezekana kwa jambo hili?
Hivi Hili ni...
Naona kila mmoja wa polisi anatoa vitisho kama vya 29.10.
Kwahiyo mnajiandaa na genocide nyingine?
Cc Larry Madowo elekeza satellite zote Tanzania nzima for uncontroverted evidence
Leo naona ghafla jamaa wakiwa na silaha wamerudi tena kwenye barabara kuu hadi vituo vya mwendokasi wapo.
Hapa katikati waliondoka wakawaachia polisi ila leo chap kama wamerudishwa wamezagaa mjini
Kanisa la leo limekosa maana, linajificha nyuma ya Mungu na kuomba badala ya kuuathiri ulimwengu kwa sheria na kanuni za Mungu. Kwa nini kanisa limekosa maana? Kulingana na uzoefu binafsi, kupitia hotuba mbalimbali za watumishi wa Mungu akiwepo Hayati Dr. Myles Munroe mambo Kanisa kukosa maana...
Tanzania ya Sasa hivi ni ya moto sana, zamani yalipoitishwa maandamano watu walichukulia poa tu, Kwa kujua hakuna atakayetoka.
Kilichotokea MO29, kimetoa blueprint ya maandamano nchini.
Sasa Toka maandamano ya D9 yatangazwe, serikali imenywea kabsa inaogopa kutoa vitisho,na kufanya mazoezi ya...
Unaambiwa ile 2015 Mwamba akamuweka pembeni Dkt. Slaa kwa kumkaribisha Lowassa lakini kabla ya hapo masharti ilikuwa Lowassa alipe dollar za kimarekani million moja kwa Mwamba.
Lowassa akampa cash, mwamba akatia mfukoni.
Mwamba Akaenda kumdanganya/ kumrubuni Mengi, Mengi naye akampa 1m USD...
Hawa watu ni muhimu sana kwa uchumi na maendeleo ya taifa. Sio rahisi ila wanapambana. Binafsi nina uhakika ni wafanyabiashara wachache sana nchini ambao wanafanya biashara zao pasipo kuwa na stress kubwa. Wengi presha zinapanda na kushuka.
Kuna kundi kubwa sana ni kama linawafanyia kazi...
Huu ujumbe niliuandika na kumpa mtu mashuhuri auchalaze sehemu Ila ame delay nauleta mwenyewe
Ni week ya 3 sasa am sick ila na recover
Naandika kwa umakini Uzi usifutwe au ukawaletea matatizo JF
Inashangaza kuona kwa level ya kutokuwaamini Watanganyika, kuna baadhi ya Viongozi hasa wa Jeshi...
Jeshi letu ni taasisi imara, ni wazalendo, tunalipeda, tunajivunia kuwa nala, ni nembo ya ujasiri na ulinzi si hapa Tanzania pekee bali Afrika Mashariki nzima kwa muda mrefu limekuwa jeshi lenye heshma yake kubwa.
Tupunguze lawama, haijakaa sawa kabisa, Na pia Tukumbuke jeshi ni Mfumo, Jeshi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.