"Leo asubuhi nilikuwa miongoni mwa viongozi na maafisa wa Chama tuliofika kumjulia hali Mh Mwenyekiti Freeman A. Mbowe. Pamoja nami alikuwepo Mh. Godbless Lema Mbunge na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, James Mbowe na Aallan Bujo.
Mwenyekiti wetu kaumizwa sana, kaumizwa sana, Tumuombee kama ni...