Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
"Leo asubuhi nilikuwa miongoni mwa viongozi na maafisa wa Chama tuliofika kumjulia hali Mh Mwenyekiti Freeman A. Mbowe. Pamoja nami alikuwepo Mh. Godbless Lema Mbunge na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, James Mbowe na Aallan Bujo.
Mwenyekiti wetu kaumizwa sana, kaumizwa sana, Tumuombee kama ni oparesheni na matibabu mengine yaende salama apone haraka.
Mwenyekiti wetu kaumizwa sana, Wanaoendeleza porojo kuwa alilewa akateleza na kuanguka wapuuzeni, Jeshi la Polisi ikiwa litakuwa na dhamira ya kuchunguza jambo hili naamini halitaacha kuwahoji wapotoshaji hawa wakiongozwa na Job Ndugai, Lusinde, Lijualikali, Silinde nk.
Uzuri Mbowe hajafa, akili yake na Moyo wake ni nzima isipokuwa mwili ndio umeumizwa. Hivyo uzushi wowote unaofanywa na makundi toka ccm watambue Mbowe anazungumza na akili yake iko vizuri.
Na Yericko Nyerere"
Mwenyekiti wetu kaumizwa sana, kaumizwa sana, Tumuombee kama ni oparesheni na matibabu mengine yaende salama apone haraka.
Mwenyekiti wetu kaumizwa sana, Wanaoendeleza porojo kuwa alilewa akateleza na kuanguka wapuuzeni, Jeshi la Polisi ikiwa litakuwa na dhamira ya kuchunguza jambo hili naamini halitaacha kuwahoji wapotoshaji hawa wakiongozwa na Job Ndugai, Lusinde, Lijualikali, Silinde nk.
Uzuri Mbowe hajafa, akili yake na Moyo wake ni nzima isipokuwa mwili ndio umeumizwa. Hivyo uzushi wowote unaofanywa na makundi toka ccm watambue Mbowe anazungumza na akili yake iko vizuri.
Na Yericko Nyerere"