mbalimbali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mngony

    JamiiForums Tanzania Mabango ya picha ya Rais kwenye shughuli mbalimbali haukuwepo kabla ya 2015. Uondolewe kupunguza gharama?

    Habari wakubwa, Kwa kumbukumbu zangu kama sijakosea kuanzia awamu ya 5 na hii ya sasa tuliyonayo shughuli za kitaifa anazohudhuria Rais zinambatana na mabago 'banners' makubwa yenye picha ya Rais pamoja jumbe au kaulimbiu kulingana na shughuli husika iwe maadhimisho, sikukuu za kitaifa na...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya CAG yatangaza Nafasi za Kazi 104 kwa Kada mbalimbali

    Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi mia moja na nne (104) kama ilivyoainishwa katika tangazo hili.
  3. STUKA M1

    JamiiForums Tanzania Jamani fuatilieni Halmashauri mbalimbali, sasa zinamwaga ajira

    Kweli Mama Samia anaupiga mwingi, Ajira zinazomwagwa Sasa hv na Halmashauri mbalimbali nchini ni kufuru yaan Kila Halmashauri Ajira kibao Watendaji wa mitaa, mabwana Shamba na mifugo, madereva, maafisa manunuzi. Tembeleeni tovuti za halmashauri mbalimbali ili mufahamu namna ya kuomba kazi hzi...
  4. mwanamwana

    JamiiForums Tanzania Uteuzi: Rais Samia afanya teuzi mbalimbali za Wenyeviti wa Bodi/Baraza la Chuo na Watendaji Wakuu wa Taasisi. Balozi Sefua na Eliachim Maswi ndani

    Rais Samia afanya teuzi mbalimbali za Wenyeviti wa Bodi/Baraza la Chuo na Watendaji Wakuu wa Taasisi. Balozi Sefua na Eliachim Maswi ndani
  5. Greatest Of All Time

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jezi mpya kwa timu mbalimbali kwa msimu ujao 2022/2023

    Tukiwa tunamalizia msimu huu, baadhi ya timu zimeshaanza kutoa jezi mpya kwa msimu ujao. Timu kubwa ya kwanza kuachia jezi zao ni Liverpool. Uzi huu utakuwa unakuletea jezi mpya kadri tunavyozipata kutoka katika vyanzo mbalimbali. Karibu...
  6. Mwande na Mndewa

    JamiiForums Tanzania Miaka 58 ya Muungano; Maoni mbalimbali yaliyopata kuzungumzwa juu ya Muungano

    MIAKA 58 YA MUUNGANO;MAONI MBALIMBALI YALIYOPATA KUZUNGUMZWA JUU YA MUUNGANO. Leo 12:15pm 26/04/2022 Muungano wetu ni muungano wa pekee na wa aina yake duniani,hakuna Muungano mwingine wowote kama huu Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar kuzaa Tanzania,bado najiuliza jina la Tanganyika...
  7. ommytk

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa wastaafu kupeana changamoto mbalimbali na connection

    Wastaafu hebu tukutane hapa tupeane taarifa za kupambana mtaani, changamoto mbalimbali na connection mbalimbali na kielekezana na mbalimbali kukabiliana na maisha ya mtaani
  8. Mwandwanga

    JamiiForums Tanzania Nukuu muhimu toka kwa Baba wa Taifa Hayati Mwl. J. K. Nyerere

    WanaBodi Wasalaam, Zifuatazo ni baadhi ya nukuu za Hayati Mwl. J. K. Nyerere unaweza zisoma na kuweka komenti kwenye nukuu moja wapo ukihusianisha na Tanzania ya leo. "Amini nawaambieni enyi Waswahili wachache mnaotawala; mnategemea kweli kuwa mtawaongoza Watanzania kwa lazima wakati...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Picha mbalimbali za watu wa Jamii ya Wangbetu iliyo Congo namna wanavyorefusha vichwa vyao

    An elongated head was an ideal of beauty among the Mangbetu people, 1930 The Mangbetu stood out to European explorers because of their elongated heads. The Mangbetu people had a distinctive look and this was partly due to their elongated heads. At birth, the heads of babies’ were tightly...
  10. Fall Army Worm

    JamiiForums Tanzania Special thread: Busara za wazee (mkusanyiko wa busara mbalimbali )

    Wapendwa wana JF hbr za asubuhi...!!!!,nianze kwanza kumshukuru MUNGU mwingi wa rehema na neema aliyetuamsha salama na kutujalia kuiona siku hii ya leo tukiwa tu bukheri wa afya,kwa wale wenzetu wanao umwa tuwaombee kwa Mungu ili awape uponyaji,na kwa ndugu zetu waliotangulia mbele ya...
  11. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Tuwanyambue viongozi wetu mbalimbali na utendaji wao uliotukuka kwa taifa letu Tanzania

    Naanza na Mwl. Julius kambarage Nyerere, Rais wa kwanza kwa Tanzania yetu. * Aliupigania Uhuru wetu * Alituunganisha watanzania kuwa kitu kimoja na kuwa na lugha moja (kiswahili). * Alishawishi muungano wetu kati ya bara na visiwani (muungano adhimu na imara) * Alitetea vyema ardhi YETU...
  12. U

    JamiiForums Tanzania Uzi Mahsusi wa kuweka picha mbalimbali za Ndugu Fiston Mayelle

    Hamjamboni nyote Huu Ni uzi maalumu kwa ajili yetu sote Naomba moderator muuache uzi huu Kama ulivyo Naomba mwenye picha mbalimbali za Ndugu yetu Fiston Mayelle atuwekee tupate kumfahamu vema Karibuni
  13. Green Bird

    JamiiForums Tanzania Fataawa Za Wanachuoni Mbalimbali Kuhusu Ramadhwaan

    Fatwa Kutoka: ‘Allaamah Swaalih Ibn Fawzaan Al-Fawzaan Swali: Tunataka uwape vijana Nasaha kuhusiana na kuchunga wakati wao katika Ramadhaan? Jibu: Waislamu wote sawa Vijana na wengine wote wanatakiwa kutumia wakati wao katika kumtii Allaaah – wala Ramadhaan isiwajie kwa ghafla, au ikawakuta...
  14. babukijana

    JamiiForums Tanzania Unapokutana na viongozi mbalimbali ambao hukutarajia kuwajua

    Wakuu kuna mambo yanachekesha sana. Kusema ukweli sikuwahi kuwaza kukutana na hawa wakubwa hata siku moja, nimejikuta nimekutana nao sana tu kila mahali. Nimekumbuka hili nilipomuona Mh. Makongoro Nyerere nikacheka sana. Huyu jamaa zamani sana MK huko yani nafikiri ilikuwa ni kicheko tu. Story...
  15. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kati ya watumishi wa Mungu wenye majina makubwa na wanaoonekana kwenye TV, hakuna hata mmoja aliyetabiri kinagaubaga vita ya Ukraine.

    Sasa nimeamini kuwa kadri elimu inavyoongezeka basi ujinga inapungua na nafasi yake kushikwa na upumbavu. Kwenye haya makanisa ya kitapeli kuna wasomi wa level zote lakini huwaambii kitu kuhusu kiongozi wao. Kabla ya vita ya UKRAINE sijasikia mtu wa Mungu yeyote aliyetabiri kwa uwazi mahali...
  16. U

    JamiiForums Tanzania Uzi mahsusi wenye picha za Inspector Mwala akiwa na marafiki zake mbalimbali

    Hamjamboni nyote! Nimeambatanisha picha mbalimbali Niwatakie Sabato Njema Karibuni
  17. B

    JamiiForums Tanzania Ridhiwani Kikwete afungua maonyesho ya viwanda vya kuzalisha Nishati kwa kutumia Teknolojia mbalimbali

    Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete Jana Alhamisi Machi 24, 2022 alikuwa Mgeni rasmi kwenye Ufunguzi wa maonyesho makubwa ya Viwanda vinavyozalisha Nishati kwa kutumia Teknolojia mbalimbali. Ufunguzi wa maonyesho hayo yaliyoandaliwa na Kampuni ya Expo...
  18. Ofisho mlinzi

    JamiiForums Tanzania Ili niweze kuonesha michezo inahitajika mtaji wa Tsh ngapi?

    Naona ni fursa ya kujiajiri kupitia kutoa huduma ya kuonyesha mpira, masumbwi, tamthilia pamoja na michezo mingine pia hata matukio mbalimbali, Je mchanganuo wa mtaji wake upoje?
  19. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Tunapoenzi siku ya kifo cha Magufuli tukumbuke Hotuba zake mbalimbali

    Mimi naikumbuka sana hii.
  20. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tunawapenda sana kwa sababu mnatufariji

    Tunawapenda sana kwa sababu mnatupa faraja mbalimbali; pale tunapokuwa tumechoshwa na mihangaiko ya hapa na pale huwa mnatufariji. Ila kuna wengine ni vichomi au mabomu, wanaosababisha tuwachukie na kuwachukulia wote mko hivyo. Tunaomba mbadilike, ila amini tunawapenda sana hasa kwa yule...
Back
Top Bottom