Wastaafu hebu tukutane hapa tupeane taarifa za kupambana mtaani, changamoto mbalimbali na connection mbalimbali na kielekezana na mbalimbali kukabiliana na maisha ya mtaani
WanaBodi Wasalaam,
Zifuatazo ni baadhi ya nukuu za Hayati Mwl. J. K. Nyerere unaweza zisoma na kuweka komenti kwenye nukuu moja wapo ukihusianisha na Tanzania ya leo.
"Amini nawaambieni enyi Waswahili wachache mnaotawala; mnategemea kweli kuwa mtawaongoza Watanzania kwa lazima wakati...
An elongated head was an ideal of beauty among the Mangbetu people, 1930
The Mangbetu stood out to European explorers because of their elongated heads.
The Mangbetu people had a distinctive look and this was partly due to their elongated heads. At birth, the heads of babies’ were tightly...
Wapendwa wana JF hbr za asubuhi...!!!!,nianze kwanza kumshukuru MUNGU mwingi wa rehema na neema aliyetuamsha salama na kutujalia kuiona siku hii ya leo tukiwa tu bukheri wa afya,kwa wale wenzetu wanao umwa tuwaombee kwa Mungu ili awape uponyaji,na kwa ndugu zetu waliotangulia mbele ya...
Naanza na Mwl. Julius kambarage Nyerere, Rais wa kwanza kwa Tanzania yetu.
* Aliupigania Uhuru wetu
* Alituunganisha watanzania kuwa kitu kimoja na kuwa na lugha moja (kiswahili).
* Alishawishi muungano wetu kati ya bara na visiwani (muungano adhimu na imara)
* Alitetea vyema ardhi YETU...
Hamjamboni nyote
Huu Ni uzi maalumu kwa ajili yetu sote
Naomba moderator muuache uzi huu Kama ulivyo
Naomba mwenye picha mbalimbali za Ndugu yetu Fiston Mayelle atuwekee tupate kumfahamu vema
Karibuni
Fatwa Kutoka: ‘Allaamah Swaalih Ibn Fawzaan Al-Fawzaan
Swali:
Tunataka uwape vijana Nasaha kuhusiana na kuchunga wakati wao katika Ramadhaan?
Jibu:
Waislamu wote sawa Vijana na wengine wote wanatakiwa kutumia wakati wao katika kumtii Allaaah – wala Ramadhaan isiwajie kwa ghafla, au ikawakuta...
Wakuu kuna mambo yanachekesha sana.
Kusema ukweli sikuwahi kuwaza kukutana na hawa wakubwa hata siku moja, nimejikuta nimekutana nao sana tu kila mahali.
Nimekumbuka hili nilipomuona Mh. Makongoro Nyerere nikacheka sana.
Huyu jamaa zamani sana MK huko yani nafikiri ilikuwa ni kicheko tu.
Story...
Sasa nimeamini kuwa kadri elimu inavyoongezeka basi ujinga inapungua na nafasi yake kushikwa na upumbavu.
Kwenye haya makanisa ya kitapeli kuna wasomi wa level zote lakini huwaambii kitu kuhusu kiongozi wao.
Kabla ya vita ya UKRAINE sijasikia mtu wa Mungu yeyote aliyetabiri kwa uwazi mahali...
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete Jana Alhamisi Machi 24, 2022 alikuwa Mgeni rasmi kwenye Ufunguzi wa maonyesho makubwa ya Viwanda vinavyozalisha Nishati kwa kutumia Teknolojia mbalimbali.
Ufunguzi wa maonyesho hayo yaliyoandaliwa na Kampuni ya Expo...
Naona ni fursa ya kujiajiri kupitia kutoa huduma ya kuonyesha mpira, masumbwi, tamthilia pamoja na michezo mingine pia hata matukio mbalimbali, Je mchanganuo wa mtaji wake upoje?
Tunawapenda sana kwa sababu mnatupa faraja mbalimbali; pale tunapokuwa tumechoshwa na mihangaiko ya hapa na pale huwa mnatufariji. Ila kuna wengine ni vichomi au mabomu, wanaosababisha tuwachukie na kuwachukulia wote mko hivyo.
Tunaomba mbadilike, ila amini tunawapenda sana hasa kwa yule...
Habari wadau,
Naomba kama una taarifa ya bei (prices) za vyakula vya kuku maeneo ulipo. Unaweza kutueleza pia bei hizo ni kwa kipimo gani, labda gunia, debe au hata kilo.
Lengo ni hasa kutambua wapi kuna fursa za kununua vyakula hivyo na kuuza. Mfano: Kwa Arusha bei ya gunia moja la Pumba...
Wakati vita ikishika kasi kule Ukraine dhidi ya Putin ,nashangaa baadhi ya watu kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii wakimuunga mkono kuivamia Ukraine na inasikitisha sana badala ya kukemea
Wengi hutetea uvamizi wa USA na NATO kwenye mataifa mbalimbali duniani ikiwemo Libya ,Iraq nk
Ukweli...
Marekani na mataifa mengine ya magharibi yaiwekea vikwazo mbalimbali vikiwemo vya kiuchumi nchi ya Urusi.
Nikianza na marekani:
Whitehouse
PRESIDENT BIDEN
IMPOSES SEVERE COSTS ON RUSSIA FOR ITS INVASION OF UKRAINE
FEBRUARY 22, 2022
Full blocking sanctions on two large Russian financial...
Hapa tutakuwa tunashare picha tulizopiga au picha zilizopigwa na wapiga picha wengine ila zimetuvutia. Ikiwezekana vile vile tutakuwa tunaweka tips jinsi gani tumepiga picha, post processing etc etc.
Tukiweka picha za wapiga picha wengine tujaribu kuweka source na jina la mpiga picha.
Hii...
Kama una tatizo katika mwili wako na inahitajika ufanyiwe upasuaji (operation/surgery).
Na wakawepo watu wawili, mmoja ni rafiki yako wa karibu unayempenda lakini hana utaalamu wowote juu ya upasuaji na mwili wa binadamu lakini wa pili ni mtaalamu na ana uwezo mkubwa wa upasuaji kutokana na...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria inawaalika wadau kutoa maoni ya wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 7 wa Mwaka 2021 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No. 7) Act, 2021.
Mkutano wa kupokea na kusikiliza maoni ya wadau (Public Hearing)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.