Kwa kilichotokea Oct 29/2025, na kinachoendelea sasa kinatafakarisha saaaana tutapouendea uchaguzi mkuu wa 2030.
Mihimili yote mitatu inaonekana wazi kabisa inajiendea ili mambo yaende na kula zao ziendelee kuwepo tu,haihitaji degree ya chuo kikuu kuliona hilo!
Bunge limekuwa la kusifia...